Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

Ile amri ya usiue izingatie sn mkuu
 
Mambo yapo haya... Jana tu mimi inenitokea sem nilizugaa balaaaa...!!!
Na mm imenitokea sana kuna manzi anadinyana balaa siku nkajagongana na kamanz kangu katikat ya mechi nkaropoka jina jamila weeee ilikua shida
 
Kama ni ivyo na alex unamjua fanya uchunguzi kwa watu wa karibu na alex utaujua ukweli usiwe na pupa,mbona utajua tu kama amekosea au lah.....
 
Ohooooo,mwanamke akitembea nje akija kwako anajifanya anakupenda balaa.huyo ni mwanamke sio mke.
Hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…