Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakemea hilo shetani linalokushikilia, kwa jina.... 😀Kama Zwazwa..
Hiyo hiyo part time lakini inakula pesa zako na haikusaidii chochote, ilihali mkeo anakusaidia wewe, halafu ukifilisika unataka yeye ndio akuvumilieHuwa tunasaidiana, ila michepuko ni part time tu; kwa sababu mke hawezi kukuhudumia kila siku tendo
Walioangukia kwa mashetani utawajua tu 😀huyu posts zake zote chai,
Hata mimi ndio nilivyowazaSijui ni akili yangu imekuwa negative sana! Maana nlivoona mkeo katoka kwa bwana nikajua labda umemfumania katoka kwa hawa mabwana wa hapa duniani 😅
Mwishoni ndio nimeelewaNipo mkoa wa huku kusini kwenye harakati zangu za utafutaji,nikaingia mtaa mmoja wa nyama choma; ile harufu ya nyama ikaufadhaisha mwili wangu, kuangalia mfukoni nina elfu tano tu, na kwenye simu sina salio lingine.
Wazo likanijia nimpigie simu mama k; ile kupokea simu tukaanza kujuliana hali, nikamwambia hapa nilipo nimepita mtaa x nimekutana na harufu ya nyama choma, naomba uniwezeshe salio, langu halisomi.
Akasema subiri, baada ya dakika tatu ikaingia salio la kuniwezesha kula na kunywa, akanipigia na kuniambia, kesho nitakuwa vizuri zaidi nitakutumia fungu kubwa.
Nikaishiwa nguvu, na kuanza kujiuliza kwa nini naangaika na michepuko inayokula hela zangu tu na hainisaidii; kweli mke wangu ametoka kwa bwana.
Michepuko siitaki tena; wkend itabidi nimpeleke mbugani akaangalie wale ndege jamii ya kongoni ambao hawaachani mpaka wanapokufa, na akifa mmoja wapo yule aliyebaki anabaki hivyo hivyo mpaka mwisho wake.
Kama mkeo au mpenzi wako wa kike hakutumii hela, huyo hajatoka kwa bwana, bali ametoka kwa shetani.
Oeni, ndoa inakupa heshima; huwezi kupewa uenyekiti wa kijiji bila kuwa na ndoa 😀Umeoa lini wewe mr mapenzi.
🤣Hongera sasa, kumbe unaanisha Mungu ungeeandika BWANA, kuandika bwana nikajua ametoka mchepukoni na ndo umempokea kwa bashasha
Mke mwema hutoka kwa bwanaKizuri kula na mwenzio
Kwaio unataka kusema hii ni TANZANIA TEA PACKERS.Tena TATEPA
Isomeke vipi mkuu?Rekebisha heading sheikh
Nyie mnaishi dunia ya wapi 😀
Wanaoishi na mashetani utawajua tuKweli kabisa katoka kwa bwana ndo maana alikuja kwako bila bikra.
Tatizo mlikosea kuoa mngeomba ushauri kabla 😀Huyu jamaa wetu muongo muongo.
Miaka 27 sasaNdoa yenu ina umri gani?
Najua lazima kichwa kiyumbe, kwa sababu uliyenaye muda wote anakupiga mizinga tu 😀Sijui ni akili yangu imekuwa negative sana! Maana nlivoona mkeo katoka kwa bwana nikajua labda umemfumania katoka kwa hawa mabwana wa hapa duniani 😅
Nyie hamfai, kila siku mizinga tuNdio mana unataka uhamie bushi kumbe michepuko imekufilisi.