Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #61
Bwana ni nini? na kwanini herufi kubwa uanza mwanzoni mwa sentensi, au baada ya kituo kikubwa, sababu kuu huwa ni nini?Nenda katafute tofauti kati ya Bwana na bwana (buana) ndipo uje tena.
Yaani ndio unatafuta kwangu?Bwana ni nini? na kwanini herufi kubwa uanza mwanzoni mwa sentensi, au baada ya kituo kikubwa, sababu kuu huwa ni nini?
Mchepuko anakuja kwako kimaslahi sasa hisia zinatoka wapi?Kwa hiyo nyie huwa hamna hisia au?
Tofauti ya bwana vs Bwana ni nini?Yaani ndio unatafuta kwangu?
Aya, siibiwi tena πMchepuko anakuja kwako kimaslahi sasa hisia zinatoka wapi?
πΈπΈπΈπΈ
Mimi nimekupa kazi utafute siyo uniulize mimi.Tofauti ya bwana vs Bwana ni nini?
Hakuna tofauti, kwa sisi tuliosoma elimu ya mkoloniMimi nimekupa kazi utafute siyo uniulize mimi.
ndoa changa tamu sana!Nipo mkoa wa huku kusini kwenye harakati zangu za utafutaji,nikaingia mtaa mmoja wa nyama choma; ile harufu ya nyama ikaufadhaisha mwili wangu, kuangalia mfukoni nina elfu tano tu, na kwenye simu sina salio lingine.
Wazo likanijia nimpigie simu mama k; ile kupokea simu tukaanza kujuliana hali, nikamwambia hapa nilipo nimepita mtaa x nimekutana na harufu ya nyama choma, naomba uniwezeshe salio, langu halisomi.
Akasema subiri, baada ya dakika tatu ikaingia salio la kuniwezesha kula na kunywa, akanipigia na kuniambia, kesho nitakuwa vizuri zaidi nitakutumia fungu kubwa.
Nikaishiwa nguvu, na kuanza kujiuliza kwa nini naangaika na michepuko inayokula hela zangu tu na hainisaidii; kweli mke wangu ametoka kwa bwana.
Michepuko siitaki tena; wkend itabidi nimpeleke mbugani akaangalie wale ndege jamii ya korongo ambao hawaachani mpaka wanapokufa, na akifa mmoja wapo yule aliyebaki anabaki hivyo hivyo mpaka mwisho wake.
Kama mkeo au mpenzi wako wa kike hakutumii hela, huyo hajatoka kwa bwana, bali ametoka kwa shetani.
Hee mbona unam- quote genius man tena π₯ΊIla wewe kuna jambo unalitaka mwilini mwangu.
Genius Man β€οΈ
Utawajua tu, wale wasio wahudumia waume zaoKwa hiyo kesho naye atapata hela kutoka kwa bwana heri atakutumia eti eeh ?
Hapa sio kibosho kweli π€ Equation x
Ukanda huo huoHapa sio kibosho kweli π€ Equation x
Mimi mbona mpole tu, π€Ila wewe kuna jambo unalitaka mwilini mwangu.
Genius Man β€οΈ
#hii imekaa kimchongo sana_hio title haifanani na kilichoandikwa ndaniNipo mkoa wa huku kusini kwenye harakati zangu za utafutaji,nikaingia mtaa mmoja wa nyama choma; ile harufu ya nyama ikaufadhaisha mwili wangu, kuangalia mfukoni nina elfu tano tu, na kwenye simu sina salio lingine.
Wazo likanijia nimpigie simu mama k; ile kupokea simu tukaanza kujuliana hali, nikamwambia hapa nilipo nimepita mtaa x nimekutana na harufu ya nyama choma, naomba uniwezeshe salio, langu halisomi.
Akasema subiri, baada ya dakika tatu ikaingia salio la kuniwezesha kula na kunywa, akanipigia na kuniambia, kesho nitakuwa vizuri zaidi nitakutumia fungu kubwa.
Nikaishiwa nguvu, na kuanza kujiuliza kwa nini naangaika na michepuko inayokula hela zangu tu na hainisaidii; kweli mke wangu ametoka kwa bwana.
Michepuko siitaki tena; wkend itabidi nimpeleke mbugani akaangalie wale ndege jamii ya korongo ambao hawaachani mpaka wanapokufa, na akifa mmoja wapo yule aliyebaki anabaki hivyo hivyo mpaka mwisho wake.
Kama mkeo au mpenzi wako wa kike hakutumii hela, huyo hajatoka kwa bwana, bali ametoka kwa shetani.
Genius ni mpwa wangu, msiri wangu.....kwahiyo kwenye hatari kama hizi ni vyema nikanshirikishaHee mbona unam- quote genius man tena π₯Ί
Tuachane na hayo, kuhusu jambo ninalolitaka mwilini mwako ni hili hapa, angalia hii picha hapa chini, najua wewe una D mbili utanielewa π Madame B
View attachment 3125824
Mwanaume gani umepooza hivi?Mimi mbona mpole tu, π€
Kinyume cha kupooza siunakijua lakini mamaπMwanaume gani umepooza hivi?
Utanikera muda si mrefu π