Mke wangu ameweka kijiti cha uzazi wa mpango bila kunishirikisha tena nkiwa mbali kwa miezi minne

Mke wangu ameweka kijiti cha uzazi wa mpango bila kunishirikisha tena nkiwa mbali kwa miezi minne

Rejerea mada juu.

am 30yrs nna mke na mtoto wa kiume(1.7yrs). Nilikua mbali na mke kwa miezi minne, narudi ananipa hyo taarifa dah. Nmewaza sana aisee

Maswali najiuliza ni haya
1. Ameweka nkiwa sipo ili azuie mimba ya nani.

2. Kwa nini asinishirikishe hata kama niko mbali.

Kusema kweli mke wangu sio mjuaji, wala wa kujikuta born town wala sio mtu wa tamaa kivile na pia ni mvumilvu ila kwa hili sijui nini kimemshawishi.

Nikiwa kama victim nahitaji ushauri jamani. siwezi kunyamaza huku naumia
Walisha mgegeda huyo. Miezi minne upo m ali huko unadhani mkeo hana nyege 🤣🤣🤣🤣🤣
 
mashoga hamna nafasi ya kusikilizwa. We ukiamua kua shoga utulize. We kila siku unajtangaza ni bwabwa afu unataka kusikilizwa na kutoa maoni akat umeshndwa tunza jicho lako.
We endelea kubweka wakati mkeo anapasuliwa MBUNYE na LINJEMBA tena buree.

Halafu jicho tamu hujui tu, njoo nikupe upunguze machungu ya KULOMBEWA.
 
Rejerea mada juu.

am 30yrs nna mke na mtoto wa kiume(1.7yrs). Nilikua mbali na mke kwa miezi minne, narudi ananipa hyo taarifa dah. Nmewaza sana aisee

Maswali najiuliza ni haya
1. Ameweka nkiwa sipo ili azuie mimba ya nani.

2. Kwa nini asinishirikishe hata kama niko mbali.

Kusema kweli mke wangu sio mjuaji, wala wa kujikuta born town wala sio mtu wa tamaa kivile na pia ni mvumilvu ila kwa hili sijui nini kimemshawishi.

Nikiwa kama victim nahitaji ushauri jamani. siwezi kunyamaza huku naumia
80% ya wanawake wanafanya vitu kwasababu ya kushauriwa na marafiki zao mi wa kwangu alitaka kuleta huo upuuzi nikamwambia No tunatumia calendar and we are safe tuna miezi Saba tangia mungu atubariki mtoto.
 
Rejerea mada juu.

am 30yrs nna mke na mtoto wa kiume(1.7yrs). Nilikua mbali na mke kwa miezi minne, narudi ananipa hyo taarifa dah. Nmewaza sana aisee

Maswali najiuliza ni haya
1. Ameweka nkiwa sipo ili azuie mimba ya nani.

2. Kwa nini asinishirikishe hata kama niko mbali.

Kusema kweli mke wangu sio mjuaji, wala wa kujikuta born town wala sio mtu wa tamaa kivile na pia ni mvumilvu ila kwa hili sijui nini kimemshawishi.

Nikiwa kama victim nahitaji ushauri jamani. siwezi kunyamaza huku naumia
Lakini pia mkuu kama ni mtu wa kusafiri ukirudi kutoka safarini usipige mzigo mpaka uone siku zake.
 
Ndiyo maana una lia lia.
Angelikulea baba yako angeli kufundisha namna ya kumfundisha mkeo,sasa kwakuwa umelelewa na mama yako jikoni ndiyo maana mkeo anakupa hizo pigo na wewe unatupigia kelele huku.
Ameshasahau kumbe mi nlilelewa na mamaako chumbani, kwa hyo huku kulialia alinifundisha yeye.
 
Siyo kila mwanamke ni malaya... Wengine tunawadhania tu kuwa malaya kulingana na muonekano wao kwetu na si uhalisia wao.

Mfano nishawahi kuwa na rafiki wa kike nikiwa chuo kiasi kwamba km muda ukienda sana anaweza kulala geto na tusifanye lolote. Lakini kila mdau alikuwa anajua mi namkula yule mdada wakati haijawahi tokea hata mara moja.

Muonekano wetu (kulala pamoja=lazima mnakulana) kwa marafiki zetu ulikuwa ni tofauti na uhalisia wenyewe.

Inatakiwa kila mtu umchukulie ktk uhalisia wake na sio kuendeshwa na hisia
Hiyo ni heshima ya kipuuzi...
 
Ndo maana mnakufa haraka kwa kumind mambo madogo madogo na kuyakuza hadi kuyaleta humu. Jibu la mkeo huko lingetosha.
Unataka upewe majibu negative umezeshwe mawazo mabaya uanze kumchukia mke wako halafu uanze kumtafuta mchawi nani.

Akiamua kuliwa ataliwa tu bila hata kuwekewa hivyo vijiti.
 
Siyo kila mwanamke ni malaya... Wengine tunawadhania tu kuwa malaya kulingana na muonekano wao kwetu na si uhalisia wao.

Mfano nishawahi kuwa na rafiki wa kike nikiwa chuo kiasi kwamba km muda ukienda sana anaweza kulala geto na tusifanye lolote. Lakini kila mdau alikuwa anajua mi namkula yule mdada wakati haijawahi tokea hata mara moja.

Muonekano wetu (kulala pamoja=lazima mnakulana) kwa marafiki zetu ulikuwa ni tofauti na uhalisia wenyewe.

Inatakiwa kila mtu umchukulie ktk uhalisia wake na sio kuendeshwa na hisia
we jamaa ni lizembe sana 🚮🚮
 
Ndo maana mnakufa haraka kwa kumind mambo madogo madogo na kuyakuza hadi kuyaleta humu. Jibu la mkeo huko lingetosha.
Unataka upewe majibu negative umezeshwe mawazo mabaya uanze kumchukia mke wako halafu uanze kumtafuta mchawi nani.

Akiamua kuliwa ataliwa tu bila hata kuwekewa hivyo vijiti.

Usiwe unakoment post za vitu vidogox2. zipo post za vitu vikubwa kwa watu kama nyie msiokufa mapema wenye 527 yrs
 
Rejerea mada juu.

am 30yrs nna mke na mtoto wa kiume(1.7yrs). Nilikua mbali na mke kwa miezi minne, narudi ananipa hyo taarifa dah. Nmewaza sana aisee

Maswali najiuliza ni haya
1. Ameweka nkiwa sipo ili azuie mimba ya nani.

2. Kwa nini asinishirikishe hata kama niko mbali.

Kusema kweli mke wangu sio mjuaji, wala wa kujikuta born town wala sio mtu wa tamaa kivile na pia ni mvumilvu ila kwa hili sijui nini kimemshawishi.

Nikiwa kama victim nahitaji ushauri jamani. siwezi kunyamaza huku naumia
Unawapa credit kataa ndoa mkuu, vumilia tu kaka, ukimwelewesha ataelewa kuwa amekosa
 
Usasa usasa unahari mambo mengi. Kwa sababu ya hio elimu ya usasa aliyopewa, hii ndoa ipo matatani
 
Kwenye clinic anapompeleka mtoto kupima ile Kila mwezi wanatoaga elimu ya uzazi wa mpango na hivi mtoto Bado mdogo
Nikawaida usianze kutafuta yasiyokuwepo
Unaonekana ni mtu wa kada ya afya. Sasa mnapowapa elimu hii, hamuwaambii wamshirikishe mwenza wao kwenye maamuzi? Swala sio kuweka, swala ni kuweka bila kumshirikisha mwenzi wake
 
Kwani unafikiri kama angekuwa na hayo unayotaka kuyajengea hoja angeshindwa kuyafanya kisa tu hajatumia uzazi wa mpango? Kama ni suala ambalo hujalipenda na limekuumiza tumia wakati wako kumwambia ukweli badala ya kuja kulalamika huku.

Mwambie wazi kwamba hujapenda alichokifanya na usingependa achukue maamuzi bila kukushirikisha.
Issue ni kwa nini aliweka mumewe (mwenye haki ya hicho kipochi) akiwa hayapo?

Aliweka ili aepuke mimba ya nani?...alikuwa anachepuka? Kuna ulazima gani aweke wakati mumewe hayapo?

Unaweza ukachukulia kitu kwa urahisi lakini kwenye kichwa cha mwanaume tayari uneshaingia doa.
 
Back
Top Bottom