Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HawasikiiHaya ndiyo madhara ya kutegea vikao vyetu .
Watu kama nyie nitakuja kuwalamba makofi siku moja .
Wakipata vijihela wanakimbilia kubeba wake za watu na kuwaoa .Hawasikii
Hapo ndiyo utawaona wanaosema mwanaume ni muhimu sana kuoa mwanamke bikra wana akili,hizo ngarangara choka mbaya wanazookota vijana siku hizi zitawaumiza sana kihisia.Bro ulioa mke wa mtu.
Vijana wakipata vi shiling hata kama ni tumilioni tuwili tutatu huwambii kitu.Wakipata vijihela wanakimbilia kubeba wake za watu na kuwaoa .
Inafct wanaoa malaya tu
Kwanza nani anaoa sikuhizi?
Hatari sana ndoa za kuokotana kariakoo na hostel za vyuo bila kujitayarisha matokeo yake ndio haya kijana analia lia jukwaani mwanaume anamaliza changamoto bila vikao ondoka hapa nyambafu!Niende moja kwa moja kwenye mada. Ni miaka minne toka nimemuweka ndani zamani alikua mtiifu tuu vizuri ila kuanzia mwaka huuu mwanzoni nimeanza kuona dalili ambazo sio nzuri. Kwanza nilishawai kuikagua simu yake kwenye call zake nikakuta anampigia Sana ex wake yaaan unakuta amempigia wameongea ata zaidi ya dakika kumi nikamuuliza akajibu tuu ni stori walikua wanapiga aliniuzi Sana nikataka kumfukuza arudi kwao aliomba msamaha na nikiangalia nina mtoto mdogo nikaona isiwetabu nikafunika kombe . Juzi juzi hapa anapigiwa simu na namba ngeni sauti ya mwanaume anajing'ang'ata tuuuu anadanganya tu unakuja kugundua ni mtu wanatongozana anadai anamtongoza tuuuu. Pia unamtuma labla aende dukani unakuta mtu anakaaa kabisa yaaan anasema mbali yaaan nimeumia Sana mke niliye muoa anakaaa kutumwa na Mimi. Ni mengi Sana huyu mwanamke anachangamoto Jana amenizilia simu na kutoa laini ya simu baada ya Mimi kumuomba simu niingie mtandaoni maana mm natumia kisimu kidogo. Naombeni ushauri jaman maana nahis kuchanganyiwa.
100% perfectMwanamke hahitaji mwanaume dhaifu na usie na maamuzi kama wewe.
Kakuweka kwenye mizani yake kaona wewe ni dhaifu na huwezi kuishi bila yeye hata ukimfumania yuko uchi chumbani kwako kitandani kwako anajua bado hutaweza kumuacha.
Mapenzi hayaongezwi kwa kuonyesha udhaifu na badilika.
Mjumbe wetu hawa vijana acha wachapike watakuja tu kwenye vikao wenyewe🤣🤣🤣🤣.Na tarehe ya kikao usiwaambie watajua tu.Haya ndiyo madhara ya kutegea vikao vyetu .
Watu kama nyie nitakuja kuwalamba makofi siku moja .
Uko wapi sahivi.....Nilikua naitafuta hi reply yako😅😅
Mpandishe cheo awe Mke mkubwaNiende moja kwa moja kwenye mada. Ni miaka minne toka nimemuweka ndani zamani alikua mtiifu tuu vizuri ila kuanzia mwaka huuu mwanzoni nimeanza kuona dalili ambazo sio nzuri. Kwanza nilishawai kuikagua simu yake kwenye call zake nikakuta anampigia Sana ex wake yaaan unakuta amempigia wameongea ata zaidi ya dakika kumi nikamuuliza akajibu tuu ni stori walikua wanapiga aliniuzi Sana nikataka kumfukuza arudi kwao aliomba msamaha na nikiangalia nina mtoto mdogo nikaona isiwetabu nikafunika kombe . Juzi juzi hapa anapigiwa simu na namba ngeni sauti ya mwanaume anajing'ang'ata tuuuu anadanganya tu unakuja kugundua ni mtu wanatongozana anadai anamtongoza tuuuu. Pia unamtuma labla aende dukani unakuta mtu anakaaa kabisa yaaan anasema mbali yaaan nimeumia Sana mke niliye muoa anakaaa kutumwa na Mimi. Ni mengi Sana huyu mwanamke anachangamoto Jana amenizilia simu na kutoa laini ya simu baada ya Mimi kumuomba simu niingie mtandaoni maana mm natumia kisimu kidogo. Naombeni ushauri jaman maana nahis kuchanganyiwa.
Nipo kitandan 😆Uko wapi sahivi.....