Mke wangu amezidisha dharau

Mke wangu amezidisha dharau

..hii nchi inawatu wa hovyo sana ukiwemo wewe! fukuza haraka hiyo kenge kabla haijageuka mamba
 
Nabet......Mleta mada amempenda sana mkewe na mkewe anajua,mleta mada ana huruma sana,mke anajua mleta mada anapiga kamoya kila siku la mwisho mleta mada hajawai kuchepuka hata kwa bahati mbaya.
We Acha tuuuu jamaa yangu yaani sikutaka kusema huyu wife ni yatima ila sasa kibuli ndo kimejaaa namuonea huruma
 
Jamaa hajui kutumia ukuni Vizuri. Mwanamke ukimtomba Vizuri hawezi kufanya hayo mawenge. Jifinze kutembeza ukuni wako vzr viungo vyake vipate takishishi ya moyo.
Shekheee anapekekewa Moto kisawasawa sema ni hivyo namuonea huruma kutokana na Hali yake
 
Hivi hii inakuwaje? Inawakumba wengi naona!

Kuna mshikaji wangu ndani ya mwaka 1 tu alitaka kumuacha mke wake.
Unaoa mtu ambae aliachwa na muhuni , kuachwa ni kawaida ila mbaya zaidi unakuta hataki kumove on !
Au waliachana kwa sababu ya vitu ambavyo viko nje ya uwezo wao labda dini , wazazi na hali za maisha ila chemistry haikuisha 🤣🤣 yaan hapo ni ngumu labda mmoja kati yao awe na msimamo ila vinginevyo kinakuramba !
 
Hapo ndiyo utawaona wanaosema mwanaume ni muhimu sana kuoa mwanamke bikra wana akili,hizo ngarangara choka mbaya wanazookota vijana siku hizi zitawaumiza sana kihisia.
Vip mkuu ndugu Yako aliokua anatibiwa kwa wakorea mbezii ameshapona ?
 
Vip mkuu ndugu Yako aliokua anatibiwa kwa wakorea mbezii ameshapona ?
Duh jamaa una kumbukumbu sana mzee.

Namshukuru Mungu kaka juzi august mwishoni nilikutana na dogo msibani (nilikuwa nimetoka kidogo nje ya Dar sikuwa karibu nae) akaniambia Mkorea alikuwa amempa clinic ya muda mrefu kutoka Nov mwaka jana to April mwaka huu alivyoenda akam-check akamruhusu kuanza kufanya kazi maana alikuwa haruhusiwi kwa muda kufanya kazi ngumu.

Nilimuuliza anavyojisikia akaniambia yupo sawa ila kichwani kwa mbali sana huwa kuna muda anasikia sauti alizokuwa akizisikia mwanzo ambapo aliambiwa zitaisha taratibu taratibu ila maumivu makali ya kichwa shingo kifua na kupooza upande mmoja kumeisha kabisa,Mungu ni mwema.
 
Duh jamaa una kumbukumbu sana mzee.

Namshukuru Mungu kaka juzi august mwishoni nilikutana na dogo msibani (nilikuwa nimetoka kidogo nje ya Dar sikuwa karibu nae) akaniambia Mkorea alikuwa amempa clinic ya muda mrefu kutoka Nov mwaka jana to April mwaka huu alivyoenda akam-check akamruhusu kuanza kufanya kazi maana alikuwa haruhusiwi kwa muda kufanya kazi ngumu.

Nilimuuliza anavyojisikia akaniambia yupo sawa ila kichwani kwa mbali sana huwa kuna muda anasikia sauti alizokuwa akizisikia mwanzo ambapo aliambiwa zitaisha taratibu taratibu ila maumivu makali ya kichwa shingo kifua na kupooza upande mmoja kumeisha kabisa,Mungu ni mwema.
Wakorea kumbe sio wajanja wajanja maana nakutaga watu kibao wanatibiwa pale
 
Kwa tamaduni za kwetu uku pwani mke hatumwi dukan.
Ukiruhusu kila wakat mke kutoka toka tu ndan uko ndo kumpoteza kwenyew wanawake hawajui kutumia uhuru kadri unavyompa uhuru ndo anaharibu.
Akajifunze kwa baba yetu Adam alimpa uhuru Hawa matokeo yake akina Hawa ndio hawa wanaharibu kila uchao kwa uhuru wanaopewa.

Kwa ujumla Adam aliishi mashariki ya kati yaani Asia, ndio maana waarabu kwa kujua hilo mke hana uhuru kwa baadhi ya mambo
 
Akajifunze kwa baba yetu Adam alimpa uhuru Hawa matokeo yake akina Hawa ndio hawa wanaharibu kila uchao kwa uhuru wanaopewa.

Kwa ujumla Adam aliishi mashariki ya kati yaani Asia, ndio maana waarabu kwa kujua hilo mke hana uhuru kwa baadhi ya mambo
Mwenye masikio na asikie mkuu
 
Kwa tamaduni za kwetu uku pwani mke hatumwi dukan.
Ukiruhusu kila wakat mke kutoka toka tu ndan uko ndo kumpoteza kwenyew wanawake hawajui kutumia uhuru kadri unavyompa uhuru ndo anaharibu.
Naungana na ninyi watu wa pwani,
 
Niende moja kwa moja kwenye mada. Ni miaka minne toka nimemuweka ndani zamani alikua mtiifu tuu vizuri ila kuanzia mwaka huuu mwanzoni nimeanza kuona dalili ambazo sio nzuri. Kwanza nilishawai kuikagua simu yake kwenye call zake nikakuta anampigia Sana ex wake yaaan unakuta amempigia wameongea ata zaidi ya dakika kumi nikamuuliza akajibu tuu ni stori walikua wanapiga aliniuzi Sana nikataka kumfukuza arudi kwao aliomba msamaha na nikiangalia nina mtoto mdogo nikaona isiwetabu nikafunika kombe . Juzi juzi hapa anapigiwa simu na namba ngeni sauti ya mwanaume anajing'ang'ata tuuuu anadanganya tu unakuja kugundua ni mtu wanatongozana anadai anamtongoza tuuuu. Pia unamtuma labla aende dukani unakuta mtu anakaaa kabisa yaaan anasema mbali yaaan nimeumia Sana mke niliye muoa anakaaa kutumwa na Mimi. Ni mengi Sana huyu mwanamke anachangamoto Jana amenizilia simu na kutoa laini ya simu baada ya Mimi kumuomba simu niingie mtandaoni maana mm natumia kisimu kidogo. Naombeni ushauri jaman maana nahis kuchanganyiwa.
ww msamehe tu maana ulishamsamehe mara ya kwanza endelea kumsamehe,,,,wewe ni Genius🤝
 
Niende moja kwa moja kwenye mada. Ni miaka minne toka nimemuweka ndani zamani alikua mtiifu tuu vizuri ila kuanzia mwaka huuu mwanzoni nimeanza kuona dalili ambazo sio nzuri. Kwanza nilishawai kuikagua simu yake kwenye call zake nikakuta anampigia Sana ex wake yaaan unakuta amempigia wameongea ata zaidi ya dakika kumi nikamuuliza akajibu tuu ni stori walikua wanapiga aliniuzi Sana nikataka kumfukuza arudi kwao aliomba msamaha na nikiangalia nina mtoto mdogo nikaona isiwetabu nikafunika kombe . Juzi juzi hapa anapigiwa simu na namba ngeni sauti ya mwanaume anajing'ang'ata tuuuu anadanganya tu unakuja kugundua ni mtu wanatongozana anadai anamtongoza tuuuu. Pia unamtuma labla aende dukani unakuta mtu anakaaa kabisa yaaan anasema mbali yaaan nimeumia Sana mke niliye muoa anakaaa kutumwa na Mimi. Ni mengi Sana huyu mwanamke anachangamoto Jana amenizilia simu na kutoa laini ya simu baada ya Mimi kumuomba simu niingie mtandaoni maana mm natumia kisimu kidogo. Naombeni ushauri jaman maana nahis kuchanganyiwa.
Ehhh Mungu weee! Huyu naye ni mwanaume kweli?
 
Haya ndiyo madhara ya kutegea vikao vyetu .

Watu kama nyie nitakuja kuwalamba makofi siku moja
Kila siku mijitu isiyojitambua inafungua nyuzi ikitaka ishauriwe,,,hv kama huwezi uanaume si ubaki single tu,,,,,yaani ujingaujinga tuuuu aaahh,,,,,yaani unaumia alafu bado unajiuliza kumuacha au kutomuacha, Sababu ya watoto tushaikataa nyie vilaza mje na sababu zenye mashiko infact nature inawakataa kimtindo since mnafeli kuishi uanaume. Yaani wavulana wa kizazi hiki wanaona uanaume ni mchezomchezo hv. Huyu mleta mada ni DOMO ZEGE na ukute na tendo la ndoa anapewa kwa masharti ujinga mtupu.

Unataka ushauriwe nn ww kilaza, ushauri wa nn na ww huna akili. Mwanamke akianza kukudharau ujue hawezi kukuheshimu tena dawa ni moja tu narudia dawa ni moja piga chini anza upya ukifeli tena piga chini anza upya hata ikikuchua miongo mia maana hio ndo ponapona yako tofauti na hapo ww ni mlemavu na hukupaswa kuoa.

#Point 3 kwa kataa ndoa,,,,,NDOA SIO KWA WATU WALAINIWALAINI NDOA NI KWA MANUNDA AMBAO KWAO KUFANYA MAAMUZI MAGUMU NI DAKIKA SIFURI!!!!UKIWA NA MAAMUZI MAGUMU NA MWANAMKE AKAJUA LAZIMA AKUHESHIMU!!!!

KAMA HUNA ROHO NGUMU HUWEZI NDOA KAA PEMBENI,,,,,ASIYESIKIA AENDELEE,,,,TUNAWASUBIRI TUWASHAURI🤗🤗🤗
 
Back
Top Bottom