Mke wangu amezidisha dharau

Mke wangu amezidisha dharau

Mda mwengine unajitakia mwenyewe bro kwanza ilikuaje ata ukaruhusu awe na mawasiliano na ex wake?

Jengine iyo kumtuma tuma dukan uko ni kumchoresha mke wako kama kuna uwezekano nenda mwenyewe.
Mhhh hapo kwenye aende mwenyewe, unampoteza!
 
Pole sana kijana ,kuwa mwanaume ,cha kwanza shida umeshaiona ni simu kwa kuwa amekususia mwenyewe kaa nayo mazima,laini zake kaa nazo wewe ila usizitumie ,na hata kama ana uwezo wa kununua simu nyingine usimruhusu,mawasiliano yake ya ndugu zake na watu wake wa karbu basi yapitie kwako kwa kipindi hata miezi 6 hivi halafu mpe laini mpya kwa kipindi utakapompa simu nyingine na mpe shart nakupa simu ila sina mipaka simu yako ni yangu sihitaji ruhusa yako kushika simu yako wala yangu,na ikibuma hiyo njia ujue kunguru hafugiki
Haya yote ya nini chief? Ya nini kuhangaika na mtu mzima kiasi hicho? Option pekee hapo km bado anampenda x wake amuandikie talaka aende kwa huyo x wake
 
1. Either Hamuhudumiii ipasavyo or hamkuni vizuri.

2. Anamuendekeza
3.Mwanamke amemzidi kipato

Kweli hayanaga fomula
Wanawake wana tabia ya kutulinganisha, akiona hauna kigezo flani ambayo anaipenda, anaamua kurudi kwa X.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada. Ni miaka minne toka nimemuweka ndani zamani alikua mtiifu tuu vizuri ila kuanzia mwaka huuu mwanzoni nimeanza kuona dalili ambazo sio nzuri. Kwanza nilishawai kuikagua simu yake kwenye call zake nikakuta anampigia Sana ex wake yaaan unakuta amempigia wameongea ata zaidi ya dakika kumi nikamuuliza akajibu tuu ni stori walikua wanapiga aliniuzi Sana nikataka kumfukuza arudi kwao aliomba msamaha na nikiangalia nina mtoto mdogo nikaona isiwetabu nikafunika kombe . Juzi juzi hapa anapigiwa simu na namba ngeni sauti ya mwanaume anajing'ang'ata tuuuu anadanganya tu unakuja kugundua ni mtu wanatongozana anadai anamtongoza tuuuu. Pia unamtuma labla aende dukani unakuta mtu anakaaa kabisa yaaan anasema mbali yaaan nimeumia Sana mke niliye muoa anakaaa kutumwa na Mimi. Ni mengi Sana huyu mwanamke anachangamoto Jana amenizilia simu na kutoa laini ya simu baada ya Mimi kumuomba simu niingie mtandaoni maana mm natumia kisimu kidogo. Naombeni ushauri jaman maana nahis kuchanganyiwa.
Mpaka hapo jibu unalo ila unajidanganya moyoni kwa kisingizio cha mtoto? Elewa mtoto na mke ni vitu viwili tofauti

Nenda kasome
1 Wakorintho 7:6-8 na 7:27-28

Fuata kile moyo unakwambia, ikiwa haujui kusoma, je hata kutizama picha kunakushinda?
 
Niende moja kwa moja kwenye mada. Ni miaka minne toka nimemuweka ndani zamani alikua mtiifu tuu vizuri ila kuanzia mwaka huuu mwanzoni nimeanza kuona dalili ambazo sio nzuri. Kwanza nilishawai kuikagua simu yake kwenye call zake nikakuta anampigia Sana ex wake yaaan unakuta amempigia wameongea ata zaidi ya dakika kumi nikamuuliza akajibu tuu ni stori walikua wanapiga aliniuzi Sana nikataka kumfukuza arudi kwao aliomba msamaha na nikiangalia nina mtoto mdogo nikaona isiwetabu nikafunika kombe . Juzi juzi hapa anapigiwa simu na namba ngeni sauti ya mwanaume anajing'ang'ata tuuuu anadanganya tu unakuja kugundua ni mtu wanatongozana anadai anamtongoza tuuuu. Pia unamtuma labla aende dukani unakuta mtu anakaaa kabisa yaaan anasema mbali yaaan nimeumia Sana mke niliye muoa anakaaa kutumwa na Mimi. Ni mengi Sana huyu mwanamke anachangamoto Jana amenizilia simu na kutoa laini ya simu baada ya Mimi kumuomba simu niingie mtandaoni maana mm natumia kisimu kidogo. Naombeni ushauri jaman maana nahis kuchanganyiwa.
" ..........aliniuzi Sana nikataka kumfukuza arudi kwao aliomba msamaha na nikiangalia nina mtoto mdogo nikaona isiwetabu nikafunika kombe..............."

👆🏻👆🏻👆🏻👆🏻 kosa la kiufundi
 
Niende moja kwa moja kwenye mada. Ni miaka minne toka nimemuweka ndani zamani alikua mtiifu tuu vizuri ila kuanzia mwaka huuu mwanzoni nimeanza kuona dalili ambazo sio nzuri. Kwanza nilishawai kuikagua simu yake kwenye call zake nikakuta anampigia Sana ex wake yaaan unakuta amempigia wameongea ata zaidi ya dakika kumi nikamuuliza akajibu tuu ni stori walikua wanapiga aliniuzi Sana nikataka kumfukuza arudi kwao aliomba msamaha na nikiangalia nina mtoto mdogo nikaona isiwetabu nikafunika kombe . Juzi juzi hapa anapigiwa simu na namba ngeni sauti ya mwanaume anajing'ang'ata tuuuu anadanganya tu unakuja kugundua ni mtu wanatongozana anadai anamtongoza tuuuu. Pia unamtuma labla aende dukani unakuta mtu anakaaa kabisa yaaan anasema mbali yaaan nimeumia Sana mke niliye muoa anakaaa kutumwa na Mimi. Ni mengi Sana huyu mwanamke anachangamoto Jana amenizilia simu na kutoa laini ya simu baada ya Mimi kumuomba simu niingie mtandaoni maana mm natumia kisimu kidogo. Naombeni ushauri jaman maana nahis kuchanganyiwa.
Inasikitisha sana.
 
Back
Top Bottom