Triple G
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 3,018
- 4,369
Pia achunguze kwa makini je huyo ni mwanae kweli aangalie features zote muhimu kama kuna ufanano. Wanawake wengi wanabambikia vijana wa watu mimba.Pole mkuu chukua mwanao piga chin i hiyo kenge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia achunguze kwa makini je huyo ni mwanae kweli aangalie features zote muhimu kama kuna ufanano. Wanawake wengi wanabambikia vijana wa watu mimba.Pole mkuu chukua mwanao piga chin i hiyo kenge
Mhhh hapo kwenye aende mwenyewe, unampoteza!Mda mwengine unajitakia mwenyewe bro kwanza ilikuaje ata ukaruhusu awe na mawasiliano na ex wake?
Jengine iyo kumtuma tuma dukan uko ni kumchoresha mke wako kama kuna uwezekano nenda mwenyewe.
Mm ndo nilimnunulia hiyo simu ya kwangu ilipata shidaTafuta hela au kimbia hiyo familia au ugongewe upige kimya.kwanini ulioa huku huna hata smartphone,we mwehu kweli.
Haya yote ya nini chief? Ya nini kuhangaika na mtu mzima kiasi hicho? Option pekee hapo km bado anampenda x wake amuandikie talaka aende kwa huyo x wakePole sana kijana ,kuwa mwanaume ,cha kwanza shida umeshaiona ni simu kwa kuwa amekususia mwenyewe kaa nayo mazima,laini zake kaa nazo wewe ila usizitumie ,na hata kama ana uwezo wa kununua simu nyingine usimruhusu,mawasiliano yake ya ndugu zake na watu wake wa karbu basi yapitie kwako kwa kipindi hata miezi 6 hivi halafu mpe laini mpya kwa kipindi utakapompa simu nyingine na mpe shart nakupa simu ila sina mipaka simu yako ni yangu sihitaji ruhusa yako kushika simu yako wala yangu,na ikibuma hiyo njia ujue kunguru hafugiki
Wanawake wana tabia ya kutulinganisha, akiona hauna kigezo flani ambayo anaipenda, anaamua kurudi kwa X.1. Either Hamuhudumiii ipasavyo or hamkuni vizuri.
2. Anamuendekeza
3.Mwanamke amemzidi kipato
Kweli hayanaga fomula
Mpaka hapo jibu unalo ila unajidanganya moyoni kwa kisingizio cha mtoto? Elewa mtoto na mke ni vitu viwili tofautiNiende moja kwa moja kwenye mada. Ni miaka minne toka nimemuweka ndani zamani alikua mtiifu tuu vizuri ila kuanzia mwaka huuu mwanzoni nimeanza kuona dalili ambazo sio nzuri. Kwanza nilishawai kuikagua simu yake kwenye call zake nikakuta anampigia Sana ex wake yaaan unakuta amempigia wameongea ata zaidi ya dakika kumi nikamuuliza akajibu tuu ni stori walikua wanapiga aliniuzi Sana nikataka kumfukuza arudi kwao aliomba msamaha na nikiangalia nina mtoto mdogo nikaona isiwetabu nikafunika kombe . Juzi juzi hapa anapigiwa simu na namba ngeni sauti ya mwanaume anajing'ang'ata tuuuu anadanganya tu unakuja kugundua ni mtu wanatongozana anadai anamtongoza tuuuu. Pia unamtuma labla aende dukani unakuta mtu anakaaa kabisa yaaan anasema mbali yaaan nimeumia Sana mke niliye muoa anakaaa kutumwa na Mimi. Ni mengi Sana huyu mwanamke anachangamoto Jana amenizilia simu na kutoa laini ya simu baada ya Mimi kumuomba simu niingie mtandaoni maana mm natumia kisimu kidogo. Naombeni ushauri jaman maana nahis kuchanganyiwa.
Mm ndo nilimnunulia hiyo sim
Jama anakosa maamuzi kwa sababu ya huruma,Haya yote ya nini chief? Ya nini kuhangaika na mtu mzima kiasi hicho? Option pekee hapo km bado anampenda x wake amuandikie talaka aende kwa huyo x wake
u ya
Mbona picha liko wazi afsa, mkeo anaonekana hapendi hali ngumu
Kwa tamaduni za kwetu uku pwani mke hatumwi dukan.Mhhh hapo kwenye aende mwenyewe, unampoteza!
Ni kweli mkuuPia achunguze kwa makini je huyo ni mwanae kweli aangalie features zote muhimu kama kuna ufanano. Wanawake wengi wanabambikia vijana wa watu mimba.
Sasa usishike hiyo simu hata kama umenunua wewe sio yako.Mm ndo nilimnunulia hiyo simu ya kwangu ilipata shida
" ..........aliniuzi Sana nikataka kumfukuza arudi kwao aliomba msamaha na nikiangalia nina mtoto mdogo nikaona isiwetabu nikafunika kombe..............."Niende moja kwa moja kwenye mada. Ni miaka minne toka nimemuweka ndani zamani alikua mtiifu tuu vizuri ila kuanzia mwaka huuu mwanzoni nimeanza kuona dalili ambazo sio nzuri. Kwanza nilishawai kuikagua simu yake kwenye call zake nikakuta anampigia Sana ex wake yaaan unakuta amempigia wameongea ata zaidi ya dakika kumi nikamuuliza akajibu tuu ni stori walikua wanapiga aliniuzi Sana nikataka kumfukuza arudi kwao aliomba msamaha na nikiangalia nina mtoto mdogo nikaona isiwetabu nikafunika kombe . Juzi juzi hapa anapigiwa simu na namba ngeni sauti ya mwanaume anajing'ang'ata tuuuu anadanganya tu unakuja kugundua ni mtu wanatongozana anadai anamtongoza tuuuu. Pia unamtuma labla aende dukani unakuta mtu anakaaa kabisa yaaan anasema mbali yaaan nimeumia Sana mke niliye muoa anakaaa kutumwa na Mimi. Ni mengi Sana huyu mwanamke anachangamoto Jana amenizilia simu na kutoa laini ya simu baada ya Mimi kumuomba simu niingie mtandaoni maana mm natumia kisimu kidogo. Naombeni ushauri jaman maana nahis kuchanganyiwa.
Kosa kubwa sana hiliMda mwengine unajitakia mwenyewe bro kwanza ilikuaje ata ukaruhusu awe na mawasiliano na ex wake?
Mzinguaji ni mwenyewe halaf anamlaumu mke wake 😃Kosa kubwa sana hili
Mawasiliano na ex n redflag matata sana, unawasiliana na ex wanini kama hampashi.Mzinguaji ni mwenyewe halaf anamlaumu mke wake 😃
Inasikitisha sana.Niende moja kwa moja kwenye mada. Ni miaka minne toka nimemuweka ndani zamani alikua mtiifu tuu vizuri ila kuanzia mwaka huuu mwanzoni nimeanza kuona dalili ambazo sio nzuri. Kwanza nilishawai kuikagua simu yake kwenye call zake nikakuta anampigia Sana ex wake yaaan unakuta amempigia wameongea ata zaidi ya dakika kumi nikamuuliza akajibu tuu ni stori walikua wanapiga aliniuzi Sana nikataka kumfukuza arudi kwao aliomba msamaha na nikiangalia nina mtoto mdogo nikaona isiwetabu nikafunika kombe . Juzi juzi hapa anapigiwa simu na namba ngeni sauti ya mwanaume anajing'ang'ata tuuuu anadanganya tu unakuja kugundua ni mtu wanatongozana anadai anamtongoza tuuuu. Pia unamtuma labla aende dukani unakuta mtu anakaaa kabisa yaaan anasema mbali yaaan nimeumia Sana mke niliye muoa anakaaa kutumwa na Mimi. Ni mengi Sana huyu mwanamke anachangamoto Jana amenizilia simu na kutoa laini ya simu baada ya Mimi kumuomba simu niingie mtandaoni maana mm natumia kisimu kidogo. Naombeni ushauri jaman maana nahis kuchanganyiwa.