Huyo anataka kukua kwa kisukari na pressure endelea na mazoezi brother. Huyo hawezi ridhika. Pili anaonekana mswahili sana kama mzaramo hivi. Mchukulie poa afu wewe endelea na mambo yako. Utakufa kabla ya wakati.
Techniques za wanawake siku hizi ni kuua waume zao kwa kuwalisha vyakula vibaya. Coz wanaume wengi tu napenda kula vizuri atakupa mavyakula yenye mafuta, mwanga unenepe upate sukari na pressure ufe wewe unaona anakupenda kumbe anataka ufe uondoke abaki yeye.
So take care brother [emoji23] [emoji23]
Sent from my Infinix X672 using
JamiiForums mobile app