Mke wangu ana gubu sana

Mke wangu ana gubu sana

Weka filter masikioni hao shetani akishaaza kuwapanda kichwan Huwa wanafyatuka hovyo,thus wanaume Huwa wanashinda bar kuliko home kuepukaa hizo poison zao.
Kuwa makini kipigo Sio solution, asilimia kubwa wapo hivyo wakishapata uhakika wa kutoachwa.
 
Weka pamba masikioni akianza kurap we mpotezee,unaumia sababu unayaweka moyoni maneno yake,hao wanaweza wakaropoka chochote haimaanishi wamemaanisha
 
We endelea kupelekea moto tu kama mwehu huku ukiziba pamba.
Hao chokochoko Huwa haziwaishi Huwa wanajiulizaga wenyewe na kujipatia conclusion wenyewe
 
Mkeo anakupenda na ana wivu juuu yako.

Vijana wengi wa Gym wana tabia na kesi za hovyo kuwa makini.
 
Wewe na mkeo,wote mna matatizo ya akili, AFYA YA AKILI ni somo pana sana & Mmume yahitaji akili kuishi na mmke
 
Ukiona mwanamke "anagubu sana" ujuwe hapati haki ya unyumba anayohitaji.

Wanawake na wanaume tupo wa sampuli tofauti, vijana inabidi mlielewe hilo, kuna mtu kaweka uzi wa kitabu kizuri sana cha kuwafanya vijana mjielewe na muwaelewe wanawake na njia za kutatuwa matatizo. Tatizo kuu la unyumba, vipi unalitatuwa? Bofya chini hapo:

Mahaba yako kwa Waarabu hayana mfano, nina uhakika unajuta kwa nini haukuzaliwa Mwarabu.
 
Kipipa kama kipipa [emoji23] haya bhn ila mazoezi sio mpaka gym kama unaweza mbn hata ndan unafanya tu tafta vifaa uwe unafanyia ndan mshirikiane na mkeo anakupenda ndo maana anakuwa na gubu na wivu alafu kukwambia hvyo sio kwamba anataka mgombane wenzetu wanapelekwa na hisia kulingana na hali iliyopo muda huo akikuona unatoka gym anakuwa na hasira ndo maana mkilala asubuh kuamka nikama hakikutokea kitu
 
Il inakera sana mtu anakuzushia vitu ambavyo hufanyi,wanasema mwanamke mpumbavu huibomoa ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe...
 
We jamaa ni noma
June 16 umekuja na story "Umefukuzwa na braza wako ukatafute maisha

Siku 9 baadae ushatafuta mwanamke, ushaoa na ushapata mtoto

This is JF!!🙄🙄
 
Aiseee ila nimecheka sana [emoji23][emoji23] mkuu mkeo anakupenda sana na hayo anayokufanyia ni matani tu ila anakupenda mnooo
 
Back
Top Bottom