AiseNahitaji kupungua Mwili/ Kilo. Naumia sana
Mimi nadhani maeneo unatakiwa kufocus ni mawili hapo, kwanza Gym, kubali kuingia gharama ya gym ya kisasa ambayo watakupa trainings za kukata huo mwili na kukupa athletic body maana una mwili mzuri tu wa kukatika na kutengeneza mbavu. Pili tazama sana ulaji wako ufanye kucut down Calories...www.jamiiforums.com
Huyo anataka kukua kwa kisukari na pressure endelea na mazoezi brother. Huyo hawezi ridhika. Pili anaonekana mswahili sana kama mzaramo hivi. Mchukulie poa afu wewe endelea na mambo yako. Utakufa kabla ya wakati.Kama kichwa cha khabari hapo Juu Kinavosema, nimeoa nina mke na mtoto mmoja Ila hii ndoa nahisi Kuanza kuishindwa kwasababu ya GUBU la mke wangu.
Kwamaana hioo tumuite MUUAJI 😂Huyo anataka kukua kwa kisukari na pressure endelea na mazoezi brother. Huyo hawezi ridhika. Pili anaonekana mswahili sana kama mzaramo hivi. Mchukulie poa afu wewe endelea na mambo yako. Utakufa kabla ya wakati.
Techniques za wanawake siku hizi ni kuua waume zao kwa kuwalisha vyakula vibaya. Coz wanaume wengi tu napenda kula vizuri atakupa mavyakula yenye mafuta, mwanga unenepe upate sukari na pressure ufe wewe unaona anakupenda kumbe anataka ufe uondoke abaki yeye.
So take care brother [emoji23] [emoji23]
Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
Kweli kaka..Anakupa Papuchi vizuri??
Anakuoigia, kufua,??
Nyumba safi?.
Mtoto wake yuko safi ?
Kama wajibu wake kama Mke anautekeleza.
Relax , uwe unampuuza, Kuna wakati Wanawake wanaanzisha chokochoko tu ili wewe umstue stue Kwa jaziba .
Kuna wenzako, wake zao wanaliwa nje, Wanawake wachawi, wachoyooo ,wanawadharau, wanatoa Siri za Ndoa nje Kwa mashost
So Bora ww
Asante ndugu..Ukiona mwanamke "anagubu sana" ujuwe hapati haki ya unyumba anayohitaji.
Wanawake na wanaume tupo wa sampuli tofauti, vijana inabidi mlielewe hilo, kna mtu kaweka uzi wa kitabu kizuri sana cha kuwafanya vijana mjielewe na muwaelewe wanawake na njia za kutatuwa matatizo. Tatizo kuu la unyumba, vipi unaliytatuwa? Bofya chini hapo:
Bustani ya Manukato
Bustani Yenye Manukato ya Furaha ya Kihisia (1886) na Muhammad al-Nafzawi , iliyotafsiriwa kwa Kingereza na Richard Francis Burton. zinazohusiana : Ngono . Miradi Dada.miradi dada : Makala ya Wikipedia , kategoria ya Commons , bidhaa ya Wikidata . Bustani Yenye Manukato ( الروض العاطر في نزهة...www.jamiiforums.com
Mwanamke akianza kukudharau hata kama ni mzuri au una mrudhisha basi hamna kitu hapo tafuta plan B......kasha kuona bwege hamna tabia ambao hataicha kukufanyia neenda upate anae kuheshimu.......hiyo ndoa ni swala la mda atakupiga chini mwenyewe utalia sana bonge mwenzangu.Kwahio hapo we ungefanyaje ungempiga..?Ungemfukuzaa...??
Asante...Bila Post kama izi ungesoma nini kwenye MMU...???Ndio mana hii sijaweka kwenye jukwaa la Ujenzi..!!Nimeweka huku MMU...Mnalalamika sana Jamii Forum , sasa hapo ana shida gani ? Gubu lake unalijua huo ndo msalaba wako ! Ubebe. Ndo mapungufu yake tafuta mbinu utakavyodeal nae!! Mahusiano ni kuchukuliana mkuu😂😂😂
Yaan siku hizi mtu hata akipata kipele tu anakimbilia JF kujiliza liza ! hata kama "Where we dare to talk openly" mmezidi