ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,719
- 14,506
Tunachezaga na akili za baadhi ya wanawake,yaani mimi ex kukutaka wakati umeshaolewa,inamaanisha najua kasoro zako ambazo zilifanya nisikuoe,hayo unayosema mahaba baada ya kuolewa,siyo mahaba,bali nataka nikulale tu,urudi kwa boya wako.Ukitaka kuamini,achika kwa huyo mwanaume wako aliyeingia king akakuoa,uje useme nioe,uone kama ntakuoa.Baadhi ya wanawake ni wajinga pro.Unajua kina sisi tukiolewa ma x wetu wanajipendekeza sana, mwanamke usipo kuwa na msimamo unarudiana na x wako, kwanza Kama huyo x wake alimpenda mbona hakumuoa ?kwakuwa kaolewa ndo mahaba yanazidi kwa x.