Mke wangu ana Mawasiliano na Mkwe na Mashemeji wa X wake. Pia ana account ya Social Network ambayo ameniblock siwezi kuiona anachoweka huko

Mke wangu ana Mawasiliano na Mkwe na Mashemeji wa X wake. Pia ana account ya Social Network ambayo ameniblock siwezi kuiona anachoweka huko

Kubali tu umeshafanya kosa kuoa na ndoa ya pili (ambayo ni ya kwanza)inakuita. Achilia mbali huyo umemkuta ana X wake wapo wanaoa wake ambao hawajaungana kiroho na kihisia yaani hawawezi dumu kabisa. Utakita umeoa mwanamke bikra lakini hajali kuhusu mdoa yake, mkigombana kuondoka kwake ni chaap na hajutiii mkiwa mbali akiona maisha yamempiga (hasa kama ana mtoto/watoto mlozaa) anaomba msamaha ila sio mapenzi.
Wa hivi yakupasa muachane mapema utafute mnayeendana vinginevyo utakifa pressure.
 
Kuna mwenzako alioa single mama yaliyomkuta ilibidi aje aombe ushauri humu,ila kizur alichofanya alimpiga chini yule single mama na kizuri zaidi x wa single mama akaoa mwanamke mwingine na kuhama mkoa
 
Mambo.

Mi Ni mwanaume mimeoa muda si mrefu Sana, nampenda mke wangu, lakini changamoto ninazoziona hata raha ya ndoa siioni. Tatizo ninaloliona kwa mke wangu Kwanza Ni Mawasiliano na Mashemeji zake na Mkwe wa X wake.

Hili Jambo nimejaribu kumueleza aliache naona Mawasiliano yapo vile vile. Nimegundua Jambo lingine ana Account ya Social network ina picha Nyingi alizopiga na X wake, na ameandika maneno mengi ya mahaba kumuhusu huyo X wake anavyompenda. Kiukweli nimeumia kwa kuwa nampenda.

Hiyo account ipo active anaitumia Mara kwa Mara kuandika maneno ya mahaba anavyompenda huyo X wake. Mpaka leo nimeona maneno mengine ya mahaba.

Najikuta naumia kwanini alikubali kuolewa na Mimi ili Hali Moyo wake Bado unampenda X wake.

Nawaza na kuwazua sikupenda kuoa na kuacha Ila changamoto hii ya kuwa na Mke ambae ametunza picha za X wake na Mawasiliano na mashemeji, naona Kama ipo siku atarudi kwa X wake. Au Tuta shere(Magonjwa mengi ya zinaa).

Naomba ushauri wako, ndugu Yangu.
Braza huyo mwanamke bado ana strong bond na x wake pia inaonekana anayajua madhaifu yako lakini pia anajua huna cha kumfanya akitingisha kibiriti kidogo unanywea

Ukweli ni kwamba huyo mwanamke atakutesa na hii unayoina hivi sasa ni trelaa picha kamili itakuja kuanza pale mkeo akija kubeba mimba ya x wake ndio utajua kwanini uwanja wa fisi upo manzese tuu nchi nzima ushauli wangu kwako broo kuanza upya si vibaya fanya yafuatayo kuanzia hivi sasa

1.Mrudishe mkeo kwa wazazi wake bila kumueleza tatizo ni nini .

2.ukimaliza itisha kikao cha dhalula cha ndugu zako na ndugu zake kisha elezea kila kitu ukiwa na ushahidi uweke mezani yote

3.mwisho wa kikao weka msimamo wako kwa sasa umeamua kumpa mkeo uhuru wa kuendelea na mwanaume ampendaye wewe umeamua kujiweka pembeni kwa muda usojulikana

Nakuhakikishia ukifanya hivo kitu kitachoenda kutokea nakuhakikishia mkeo atakuheshimu narudia tena atakuheshimu

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Mambo.

Mi Ni mwanaume mimeoa muda si mrefu Sana, nampenda mke wangu, lakini changamoto ninazoziona hata raha ya ndoa siioni. Tatizo ninaloliona kwa mke wangu Kwanza Ni Mawasiliano na Mashemeji zake na Mkwe wa X wake.

Hili Jambo nimejaribu kumueleza aliache naona Mawasiliano yapo vile vile. Nimegundua Jambo lingine ana Account ya Social network ina picha Nyingi alizopiga na X wake, na ameandika maneno mengi ya mahaba kumuhusu huyo X wake anavyompenda. Kiukweli nimeumia kwa kuwa nampenda.

Hiyo account ipo active anaitumia Mara kwa Mara kuandika maneno ya mahaba anavyompenda huyo X wake. Mpaka leo nimeona maneno mengine ya mahaba.

Najikuta naumia kwanini alikubali kuolewa na Mimi ili Hali Moyo wake Bado unampenda X wake.

Nawaza na kuwazua sikupenda kuoa na kuacha Ila changamoto hii ya kuwa na Mke ambae ametunza picha za X wake na Mawasiliano na mashemeji, naona Kama ipo siku atarudi kwa X wake. Au Tuta shere(Magonjwa mengi ya zinaa).

Naomba ushauri wako, ndugu Yangu.

Nini kilitokea hakuolewa na X kama mkwe na mashemeji walimpenda. Pole kwa changamoto
 
Back
Top Bottom