Mke wangu ana ngoma, kanieleza wazi alivyoipata

Ha ha haaa! Kumbe mnapenda sana umbea eeh! Aisee! Halafu mlichokitegemea sicho mlichokikuta! Sijui mlijua pana nini! Wengine naona mpaka wamechukia kabisa! Teh teh teh!

yani wengine tunajizolewa maujiko humu mbio mbio... ukikuta tatizo la mtu unamwambia kuna rafiki yangu naye hivyo hivyo kumbe rafiki mwenyewe ni jf hata simjui... ILA UKOME SI SIFA HIZI
 

Title ya thread inatengeneza dhana fulani lakini kumbe maelezo yake ni kitu kingine. Wewe kyalankota a.k.a Mungu ni Dawa acha kuchezea akili za watu
 
Hahahahaha!!Mie nikajua ngoma ile ya UKIMWI kumbe siyo!!
 
Kastory kazuri ila hakako mahali sahihi kalitakiwa kuwa jukwaa la jokes....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…