Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Mbingu iko wapi wewe, unamaanisha kuku wote uliowala wako mbinguni?Kwa ushauri wako unadhani nitaingia mbinguni kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbingu iko wapi wewe, unamaanisha kuku wote uliowala wako mbinguni?Kwa ushauri wako unadhani nitaingia mbinguni kweli?
Hao wanaokupa hizo habari, walishamuona mungu?; acheni stori za kusadikikaKwani kuku wanamjua Mungu?
Babu Njunju unatumia mbinu gani?pole sana. nipe namba yake nitakusaidia na ataacha huo mchezo. kua na amani. nina uzoefu kuwaondosha hizo shida watu wa hivyo
Mpaka hapo hujashtuka tuYaani 😮💨😭
Huyu dada tulioana naye kwa ndoa ya kidini. Ana tabia zote nzuri ila ni mtundu sana kitandani...
Kama ni mkeo,kamusi yako haipaswi kuwa na neno "dada"!Hìi ni hadhira, kuna baadhi ni dada yenu, ila kwangu ni mke
Jifungie ndani usile siku utatu, uje utuletee majibu.Njaa nayo ni kitu cha kusadikika?
Kamusi yako.Achana na BAKITAAsante kamusi ya Bakita JF
hakika umenena.Kuna baadhi ya mada tukiwa kama watu Wazima tunapswa kuwa wasomaji tu kuliko kuchangia....