SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Wewe jichurie tu utaupata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliutoa wapi? Piga chini h u yoWakuu
Wiki iliyopita nilienda kupima ngoma a.k.a umeme mimi pamoja na mke wangu,cha kushangaza mke wangu akagundulika na maambukizi mimi sina.
mke wangu akaanzishiwa ARV mala moja,kisha tukarudi home, ila kuanzia siku hiyo naogopa kufanya nae tendo la ndoa kwani naamini ataniambukiza pia.
nifanye nini ili niendelee kuishi na mke wangu,tumejaaliwa kupata watoto7.
nimechanganyikiwa.
Ulisema Mke wako amegoma kukupa tendo la ndoaWakuu
Wiki iliyopita nilienda kupima ngoma a.k.a umeme mimi pamoja na mke wangu,cha kushangaza mke wangu akagundulika na maambukizi mimi sina.
mke wangu akaanzishiwa ARV mala moja,kisha tukarudi home, ila kuanzia siku hiyo naogopa kufanya nae tendo la ndoa kwani naamini ataniambukiza pia.
nifanye nini ili niendelee kuishi na mke wangu,tumejaaliwa kupata watoto7.
nimechanganyikiwa.
kama hayo matatizo yananipata,unataka nisiyalete hapa mkuu? Niogope kuwa jana nimeleta uzi nimekamatwa leo nimeleta tukio la mke wangu anaukimwi baada ya vipimo vya wiki mbili zilizopita. Je kosa langu lipi hapo?Mara ulishikwa ugoni leo mkeo ana ukimwi.Hivi mnalipwa watu waache kuzungumzia nchi
View attachment 3268899
Habari !Wakuu
Wiki iliyopita nilienda kupima ngoma a.k.a umeme mimi pamoja na mke wangu,cha kushangaza mke wangu akagundulika na maambukizi mimi sina.
mke wangu akaanzishiwa ARV mala moja,kisha tukarudi home, ila kuanzia siku hiyo naogopa kufanya nae tendo la ndoa kwani naamini ataniambukiza pia.
nifanye nini ili niendelee kuishi na mke wangu,tumejaaliwa kupata watoto7.
nimechanganyikiwa.
Mkuu tumefunga aisee...! Dah.
jambo hili linahitaji roho ngumu ndipo uishi na mtu wa namna hii vinginevyo ni kufukuza tu. Au kama unajiamini na upo tyr kuambukizwa mkuu. Kila nikiangalia pete yangu ya ndoa,na nikiwaza kumfukuza nakuta kuna kitu kinaniambia "muache uliapa mpaka kifo shida na raha" naishia kusonya tuWandugu hili jambo lipo. Wapo ambao wameishi na waathirika na hawajaambukizwa. Sema ukishajua unaingia hofu. Kinachotakiwa ni kuanza kutumia kinga na tahadhari ili uishi nae kwa amani.
Chapati zinavutia sana
Achana na ushauri kwanza vipi alipata pata vipi ?Wakuu
Wiki iliyopita nilienda kupima ngoma a.k.a umeme mimi pamoja na mke wangu,cha kushangaza mke wangu akagundulika na maambukizi mimi sina.
mke wangu akaanzishiwa ARV mala moja,kisha tukarudi home, ila kuanzia siku hiyo naogopa kufanya nae tendo la ndoa kwani naamini ataniambukiza pia.
nifanye nini ili niendelee kuishi na mke wangu,tumejaaliwa kupata watoto7.
nimechanganyikiwa.
Ya mtoa mada ni ya rangi na black pepper nyingi haina kitafunwa
Hii ni bhusara ya baridi muraa
Hehehehehehehehehehehehehehehehe!!!Wakuu
Wiki iliyopita nilienda kupima ngoma a.k.a umeme mimi pamoja na mke wangu,cha kushangaza mke wangu akagundulika na maambukizi mimi sina.
mke wangu akaanzishiwa ARV mala moja,kisha tukarudi home, ila kuanzia siku hiyo naogopa kufanya nae tendo la ndoa kwani naamini ataniambukiza pia.
nifanye nini ili niendelee kuishi na mke wangu,tumejaaliwa kupata watoto7.
nimechanganyikiwa.
Huna kazi ya kufanya mpaka uandike upupu usio na kichwa wala miguu. Tafuta kazi ya kufanya.Wakuu
Wiki iliyopita nilienda kupima ngoma a.k.a umeme mimi pamoja na mke wangu,cha kushangaza mke wangu akagundulika na maambukizi mimi sina.
mke wangu akaanzishiwa ARV mala moja,kisha tukarudi home, ila kuanzia siku hiyo naogopa kufanya nae tendo la ndoa kwani naamini ataniambukiza pia.
nifanye nini ili niendelee kuishi na mke wangu,tumejaaliwa kupata watoto7.
nimechanganyikiwa.
Ndio maana uandishi wenu unafanana 😃nina multiple id mkuu ikiwemo ya Binti Sayuni03