Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

Mkeo atakuwa ana chart na analiwa na shoga tu hakuna kingine maana mwanamke mbele ya shoga hapindui.
 
Usiuwashe mkuu utakuwakia ,wewe piga mzigo kama dozi mpaka iume,hapo hawezi kulipa lile jamaa maana itakuwa inawaka moto.Kama huwez hilo,dah jamaa litakusaidia,my
 
Jiandae kisaikolojia kama hujapigiwa utapigiwa tu
 
[emoji86] [emoji86] Tayari aiseee... mkuu hapo shemeji wetu ashaliwa!!! mimi nakwambia hiyo My haiwezekani wakaitana hivi hivi....
[HASHTAG]#naongeaga[/HASHTAG] ukweli tu sitiagi moyo mtu mimi&#
 
Kwanza ningeingia tigo pesa au M-PESA kuangalia hiyo namba imesajiliwa kwa jina gani, pili naihifadhi sehemu salama ili niendelee kuusoma huo u-My wao nipate data za kutosha kuanzisha varangati
Kua makini usijkukurupuka bila kua na data
 
yani hapo ujue, anasogezwa karibu na wanawake wanavyopenda apte mtu wa kumcare kwa vimaneno kama hivyo sasa hivi ataenda gawa tunda lako...kama vipi na wewe ukiwa job anza kumtumia vimassage vitamu. mpe maneno matamu, kuna kitu anakosa pengine ndani kwahiyo hata ukiuwasha moto haimaanishi anaweza acha, bali atafanya kwa uangalifu, kwahiyo tafuta mzizi wa tatizo usolve, kama mwanzo hakuwa hivyo iweje sasa? kuna nini kimekosekana ndani? MUWAHI HARAKA KABLA HAJAONJA NJE.
 
Kuna dada sina mahusiano naye,na wala sijawah mtongoza.ila kila tukichat ananiita MY,nachukulia kawaida saana.japo kuwa mm simuiti my,,,
Vp hapo kwa tafsir zenu labda
 
Atakuwa ana mimba ake bro ka vipi anza kujipanga kugawana mali natania usipanic akama anakupa huduma zote zinazostahili unajihisi nini. Mhudumie huyo mwanamke atasahau wajinga wote.
 
Pole aiseee, hilo li 'my' lishamla mkeo mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…