Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

Ulitakiwa uwe ushamtia ngumu ndio ukaja huku
 
Mwanamke akikutumia sms akakuit "MY " basi hapo mgegedo nje nje,mana ake kakubali kukutanisha viungo vyenu vya haja ndogo
 
Kwa ukhuty unamshauri avumilie.?
Hamn na mshauri akemee hilo pepo linalotaka kuingilia ndoa yake hapan dalili nzur hapo maan hili neno MY kwa kusema linatumiwa na wanawake napat ukakasi kidogo neno hili huwa linatumiwa na k kwenda kwa m au m kwenda kwa k
 
Hamn na mshauri akemee hilo pepo linalotaka kuingilia ndoa yake hapan dalili nzur hapo maan hili neno MY kwa kusema linatumiwa na wanawake napat ukakasi kidogo neno hili huwa linatumiwa na k kwenda kwa m au m kwenda kwa k
Akemee tu... Wewe umeolewa?.. Samahani kama nimetumia lugha kali
 
Mkuu usipanic sana coz hata mie kuna mdada kanizoe kunita my,swthat, dear. Mpaka boyfriend wake aliwahi nipigia simu kuniuliza Nina mahusiano na msichana wake nikamwambia sijawahi na sitegemei kudate nae so wadada wanatabia ya kuita hako kaneno My.
 
Washa Moto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…