Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

Mwanamke akikutumia sms akakuit "MY " basi hapo mgegedo nje nje,mana ake kakubali kukutanisha viungo vyenu vya haja ndogo
 
Kwa ukhuty unamshauri avumilie.?
Hamn na mshauri akemee hilo pepo linalotaka kuingilia ndoa yake hapan dalili nzur hapo maan hili neno MY kwa kusema linatumiwa na wanawake napat ukakasi kidogo neno hili huwa linatumiwa na k kwenda kwa m au m kwenda kwa k
 
Hamn na mshauri akemee hilo pepo linalotaka kuingilia ndoa yake hapan dalili nzur hapo maan hili neno MY kwa kusema linatumiwa na wanawake napat ukakasi kidogo neno hili huwa linatumiwa na k kwenda kwa m au m kwenda kwa k
Akemee tu... Wewe umeolewa?.. Samahani kama nimetumia lugha kali
 
Mkuu usipanic sana coz hata mie kuna mdada kanizoe kunita my,swthat, dear. Mpaka boyfriend wake aliwahi nipigia simu kuniuliza Nina mahusiano na msichana wake nikamwambia sijawahi na sitegemei kudate nae so wadada wanatabia ya kuita hako kaneno My.
 
Aisee huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa bp na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu sasa leo week end nipo kitandani nimeshika simu yake aisee kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake Kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".HAPA NILIPO NIMESHAPANIC JAPOKUWA WANASALIMIANA TU NA KUTAKIANA CHAKULA CHEMA ILA KIMENISHANGAZA HICHO KIBWAGIZO CHAO CHA KUITANA "MY" Nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".
Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.
NATAKA USHAURI SIO MATUSI.
Washa Moto.
 
Back
Top Bottom