Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

mkuu nakushauri wala usifanye lolote.Watch the movie itaishia wapi.Chukua hio namba uifiche ikiwezekana ujue ni nani na ukae kimya. Hewala siku ynaweza kumkamata mke au kula tigo ya huyo mwizi wako.
 
MY?????[emoji15]
Doh braza poole sana huna chako hapo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Aisee huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa bp na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu sasa leo week end nipo kitandani nimeshika simu yake aisee kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake Kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".HAPA NILIPO NIMESHAPANIC JAPOKUWA WANASALIMIANA TU NA KUTAKIANA CHAKULA CHEMA ILA KIMENISHANGAZA HICHO KIBWAGIZO CHAO CHA KUITANA "MY" Nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".
Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.
NATAKA USHAURI SIO MATUSI.
Inauma sana.
Kama kuna kitu humtimizii lazima akakitafute kwa wengine,hiyo ni kawaida ya wanadamu,kaa naye chini then tumia akili aliyekupa MUNGU jinsi ya kuishi na mke,ongea naye kwa kina halafu muulize y kafanya vile.If she loves you atabadilika bt asipobadilika ujue hakupendi
 
Kwanini watu wanaochepuka hawajuagi kujiongezea maarifa? kama whatsapp unaficha chat usizotaka zionekane kiurahisi tu kwa kuzipumzisha kona.

Mkeo yake kali "My" ili ukiikuta tayari anajua la kukujibu.

Sasa wewe si utulie usuburi kuona mienendo yake na huyo, ila fahamu kama wana mengine lazima pia anafuta maujumbe wakimaliza.

Chukua namba ya jamaa isevu kwako fatilia.

Ukitaka uweze kujua mida gani anatumia whatsapp etc na kupata notifications sema.

Pia kuna ile hata wanaume wenzako wamefundishana humu sana wanapouliza yakiwakuta ipo kwa muda sasa, ya kuweza kusoma wewe kwa PC au pengine.

Ila tulia, ukimuuliza hautapata kitu. Tulia lala anza kumsaka mbaya wako...usisahau kumfatilia lunch time. Maana wanawake wengi wanaliwa sana lunch time na kurudi home kama vile hawachepuki.

Usisijali punguza hasira, relax kwanza fikiria msome mtumbue ukiwa na proof zaidi.
 
Inawezekana mkeo hana nia mbaya ila hyo jamaa najua mbele ya safari ataitumia hyo MY vibaya.itakolezwaa itafikia sweatie.siku ukimbore atambeleza kwa honey.ukisafiri tena kwa miezi miwili ukirud ukashika simu ya mkeo hutakuta sms za jamaa tena.utafkr upo safe kumbe sikuzi hawabakizi hata manyoya
 
Atakua ni shangazi yake,.. usiogope mkuu ukifuga nyani...........
 
Aisee huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa bp na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu sasa leo week end nipo kitandani nimeshika simu yake aisee kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake Kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".HAPA NILIPO NIMESHAPANIC JAPOKUWA WANASALIMIANA TU NA KUTAKIANA CHAKULA CHEMA ILA KIMENISHANGAZA HICHO KIBWAGIZO CHAO CHA KUITANA "MY" Nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".
Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.
NATAKA USHAURI SIO MATUSI.
Itakuwa wana flirting
 
Aisee huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa bp na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu sasa leo week end nipo kitandani nimeshika simu yake aisee kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake Kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".HAPA NILIPO NIMESHAPANIC JAPOKUWA WANASALIMIANA TU NA KUTAKIANA CHAKULA CHEMA ILA KIMENISHANGAZA HICHO KIBWAGIZO CHAO CHA KUITANA "MY" Nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".
Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.
NATAKA USHAURI SIO MATUSI.
Kaka chunguza sana kwanza na ujiridhishe kwamba huyo jamaa ni mwanaume kwanza kwani wanawake wana desturi ya kuitana majina hayo wao kwa wao mfano utaskia sweet , mpenzi na mengine kama hayo
 
My mbona neno la kawaida!

My friend
My dear
My...
My...

Neno tu la kishkaji hilo
 
Back
Top Bottom