Kwanini watu wanaochepuka hawajuagi kujiongezea maarifa? kama whatsapp unaficha chat usizotaka zionekane kiurahisi tu kwa kuzipumzisha kona.
Mkeo yake kali "My" ili ukiikuta tayari anajua la kukujibu.
Sasa wewe si utulie usuburi kuona mienendo yake na huyo, ila fahamu kama wana mengine lazima pia anafuta maujumbe wakimaliza.
Chukua namba ya jamaa isevu kwako fatilia.
Ukitaka uweze kujua mida gani anatumia whatsapp etc na kupata notifications sema.
Pia kuna ile hata wanaume wenzako wamefundishana humu sana wanapouliza yakiwakuta ipo kwa muda sasa, ya kuweza kusoma wewe kwa PC au pengine.
Ila tulia, ukimuuliza hautapata kitu. Tulia lala anza kumsaka mbaya wako...usisahau kumfatilia lunch time. Maana wanawake wengi wanaliwa sana lunch time na kurudi home kama vile hawachepuki.
Usisijali punguza hasira, relax kwanza fikiria msome mtumbue ukiwa na proof zaidi.