Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]Uchochezi wa kiwango cha Phd
Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]Uchochezi wa kiwango cha Phd
If the symptoms persist seek medical adviceMaumivu ya kichwa uanza pooole pooole, dalili ya mvua ni mawingu
mliooa/mnaooa endeleeni kuishi kwa matumaini.Aisee huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa bp na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu sasa leo week end nipo kitandani nimeshika simu yake aisee kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake Kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".HAPA NILIPO NIMESHAPANIC JAPOKUWA WANASALIMIANA TU NA KUTAKIANA CHAKULA CHEMA ILA KIMENISHANGAZA HICHO KIBWAGIZO CHAO CHA KUITANA "MY" Nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".
Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.
NATAKA USHAURI SIO MATUSI.
Haaaaaaa huna roho mbaya unampa presha mwenzio kwani maana yake hiyo auMY means Mali Yangu
Nikuulize jina gani kam save huyo mtu mimi wifi yangu ananiitaga myAisee huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa bp na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu sasa leo week end nipo kitandani nimeshika simu yake aisee kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake Kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".HAPA NILIPO NIMESHAPANIC JAPOKUWA WANASALIMIANA TU NA KUTAKIANA CHAKULA CHEMA ILA KIMENISHANGAZA HICHO KIBWAGIZO CHAO CHA KUITANA "MY" Nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".
Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.
NATAKA USHAURI SIO MATUSI.
Mkuu tufundishe hp kwenye kushare whsapPole mkuu, wewe share tu whatsapp ya mke wako kwenye laptop yako, mrudishie simu yake umemaliza mchezo
Kwa ukhuty unamshauri avumilie.?Usiumie kak angu pole ndo ukubwa huo
Uvivu wake wa mwaka 2012 umemfanya mke wake atafute raha nje. Huu ni muendelezo tu.
We kazi ulishindwa. "Shamba limeshakushinda wanalilima wenzio"Kaka kweli huo uzi wangu na haiingiliani na tatizo la leo ni huyo huyo mke wangu vipi may be kuna tatizo labda au doubt?
Actions are reaction. Ulikua unalia lia anataka kugongwa kila siku na wewe huwezi unahitaji kupumzika. Guess what, alipata suluhisho. Women always want 100% kwako alikua anapata 70% kaenda kujazia 30% kwa "MY"Kutokewa na jambo moja hakuzuii kutokewa na jambo lingine hilo jambo ni la mda sana mke wangu alikuwa mjamzito na sasa tuna mtoto mmoja nae. SOMA POST YA MWAKA GANI.
Sasa tangu 2012 jamaa alikua anakula mzigo...Nipo mbeya na mke wangu nimeletwa kikazi.