Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

Hakuna kitu,mimi huwa nachat na wadada kadhaa na wanatumia My....nakupa hi My........My umekula.......My wikiendi vipi........Ok My mbona kimya.Hizo ni vibwagizo tuu wanaongezea kunogesha cheatchat tuuu
 
Aisee huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa bp na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu sasa leo week end nipo kitandani nimeshika simu yake aisee kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake Kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".HAPA NILIPO NIMESHAPANIC JAPOKUWA WANASALIMIANA TU NA KUTAKIANA CHAKULA CHEMA ILA KIMENISHANGAZA HICHO KIBWAGIZO CHAO CHA KUITANA "MY" Nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".
Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.
NATAKA USHAURI SIO MATUSI.
mliooa/mnaooa endeleeni kuishi kwa matumaini.
 
Huu ndio wakati wa mwanaume kusimamia ndoa yake kwa Akili sana kiukweli hakuna kanuni ya kuishi na mwanamke zaidi ya kuishi nae kwa akili tu.Tabia nyemelezi za uchepukaji ni kama hizo hivyo mkuu fanya ile kazi kazi tuliyoagizwa na Mungu ya kumsimamia mkeo kwa akili.Kuwa straight kwenye kukemea tabia zozote hatarishi ila hilo litachagizwa vizuri na rekodi yako safi ya Ndoa.
 
Aisee huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa bp na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu sasa leo week end nipo kitandani nimeshika simu yake aisee kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake Kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".HAPA NILIPO NIMESHAPANIC JAPOKUWA WANASALIMIANA TU NA KUTAKIANA CHAKULA CHEMA ILA KIMENISHANGAZA HICHO KIBWAGIZO CHAO CHA KUITANA "MY" Nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".
Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.
NATAKA USHAURI SIO MATUSI.
Nikuulize jina gani kam save huyo mtu mimi wifi yangu ananiitaga my
 
Kama ni work mates, inaweza isiwe issue sana. Huwa "tunataniana" sana!
 
Kama huyo anaechat nae ni mwanaume, hakuna nia njema kati yao, nakushauri kemea tabia hiyo mapema.
 
(My=wangu) ooouuhhh...Moyo sukuma damu[emoji15] ila usipanic muulize kwa ustadi na hekima mambo yatajileta yenyewe tuu...Barnaba ana ngoma yake inaitwa Wahalade itasaidia your scenario
 
Kutokewa na jambo moja hakuzuii kutokewa na jambo lingine hilo jambo ni la mda sana mke wangu alikuwa mjamzito na sasa tuna mtoto mmoja nae. SOMA POST YA MWAKA GANI.
Actions are reaction. Ulikua unalia lia anataka kugongwa kila siku na wewe huwezi unahitaji kupumzika. Guess what, alipata suluhisho. Women always want 100% kwako alikua anapata 70% kaenda kujazia 30% kwa "MY"
 
Achana nae huyo ameshakusaliti. Jiongeze na ww mbona mademu bomba kibao tu ukizingatia hali hii ngumu ya maisha braza
 
Back
Top Bottom