Mke wangu anadai ana ujauzito wangu lakini kwenye kadi la clinic kaweka jina la mtu mwingine!

Mke wangu anadai ana ujauzito wangu lakini kwenye kadi la clinic kaweka jina la mtu mwingine!

MTU ISIPOMFAA AKILI YAKE BASI UTAMDHURU UJINGA WAKE.,

A WORD IS ENEOGH FOR THE WISE!
 
Asa we hapo huoni umeliwa? au mkuu umefukiziwa?
Mke wangu anadai anaujauzito wangu lakini kwenye kadi la clinic kaweka jina la mtu mwingine!

Ukimuuliza Mama yake mzazi na mke wangu anasema lile jina ni la mjomba wake yeye! Cha Ajabu kila nilipotaka kuliona kadi la Clinic nilikua napigishwa chenga!

Mnanishaurije wadau!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeanza lini kuacha kumuamini mkeo! Sasa we ulitakaje? Si mlishakubaliana,mtavumiliana...Au ndoa imeanza kukushinda utaachika shauri yako.
 
Mke wangu anadai anaujauzito wangu lakini kwenye kadi la clinic kaweka jina la mtu mwingine!

Ukimuuliza Mama yake mzazi na mke wangu anasema lile jina ni la mjomba wake yeye! Cha Ajabu kila nilipotaka kuliona kadi la Clinic nilikua napigishwa chenga!

Mnanishaurije wadau!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu lini mtoto wako akapewa jina la mjomba wa mke wako ?
 
Mke wangu anadai anaujauzito wangu lakini kwenye kadi la clinic kaweka jina la mtu mwingine!

Ukimuuliza Mama yake mzazi na mke wangu anasema lile jina ni la mjomba wake yeye! Cha Ajabu kila nilipotaka kuliona kadi la Clinic nilikua napigishwa chenga!

Mnanishaurije wadau!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkeo kivipi hapo
 
Mke wangu anadai anaujauzito wangu lakini kwenye kadi la clinic kaweka jina la mtu mwingine!

Ukimuuliza Mama yake mzazi na mke wangu anasema lile jina ni la mjomba wake yeye! Cha Ajabu kila nilipotaka kuliona kadi la Clinic nilikua napigishwa chenga!

Mnanishaurije wadau!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Usikubali
 
Mke wangu anadai anaujauzito wangu lakini kwenye kadi la clinic kaweka jina la mtu mwingine!

Ukimuuliza Mama yake mzazi na mke wangu anasema lile jina ni la mjomba wake yeye! Cha Ajabu kila nilipotaka kuliona kadi la Clinic nilikua napigishwa chenga!

Mnanishaurije wadau!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulio au uliozeshwa?
Tafakari chukua hatua acha uboya
 
Back
Top Bottom