Mke wangu anadai simridhishi kitandani

Mke wangu anadai simridhishi kitandani

Usilalamike tena mkuu ... Solution hiyo apo !!

Kitabu kina Page 147 🙌

Ngoja nikae chini nipate elimu mana mm najua kuisukumia ndani tuu sijui lingine.

Screenshot_20240906-232024.png
 
Habarini?

Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"

"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.

Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.

Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.

Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?

Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.

Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.

Ahsanteni
Hivi ni kwanini wanawake wasipo lizika kitandani wanatupia lawama wanaume? Yaani wao wenyewe hawajui miili yao halafu wnategemea wanaume ndio tujuwe miili yao! Mbona sisi kila tukifanya tendo la ndoa lazima tufike hata kama hatumpendi tunaye fanya naye? Hivi ili mwanamke alidhike yeye anachagia asilimia ngapi na mwanaume anachagia ngapi? Wanaume tuache kuumiza vichwa kwa ajiri ya kufurahisha wake .
 
Mkuu, Kama unamzungumzia kiumbe anayeitwa mwanamke ujaribu kukaa kwa kutulia. Hawajielewi. Mimi niliwahi kuambiwa na mwanamke ambaye sijawahi kufanya naye mapenzi kuwa simridhishi kitandani
Habarini?

Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"

"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.

Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.

Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.

Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?

Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.

Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.

Ahsanteni
 
Kasema kitandani humridhishi vipi kwenye kochi mmejaribu au unakimbilia tu kuachana?
 
Habarini?

Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"

"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.

Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.

Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.

Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?

Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.

Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.

Ahsanteni
Achaneni
 
Habarini?

Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"

"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.

Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.

Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.

Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?

Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.

Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.

Ahsanteni
Uwezo wa kuridhisha siyo kama ukubwa au udogo wa pua yako ambayo ni kitu cha kuzaliwa nacho na huwezi kukibadili. Kumridhisha ni namna ya kukata kiu yake, basi.

Na namna ya kukata kitu, nadhani hujengwa na mawasiliano, kama hivyo ambavyo mwenzi wako amefanya, naye kutoa mwongozo apendacho zaidi mkiwa kwenye jambo.

Pengine, wewe unaweza kutilia mkazo kwenye kingine, kumbe mwenzako 'gari lake' linawakia kule ambako wewe unapapita tu bila kutilia mkazo.

Na mbona kuna machapisho mengi ya kale na ya kileo ya miongozo rahisi tu ya namna ya kukatana kiu? Sikiliza hoja zake, zifanyie kazi na uzitatue.

Ova
 
Habarini?

Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"

"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.

Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.

Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.

Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?

Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.

Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.

Ahsanteni
Njoo Inbox nikuuzie Mundende mkuu ili urudishe heshima.
 
Hiyo ndio moja ya Hasara ya kuchelewa kuoa,.ukioa mwanamke mwenye 28+ body count yake ya hatari,anaijua ya kila rangi, kila size,kila style
IMG_20240828_080342.jpg
 
Mkuu wewe na Mkeo mnahitaji Therapy.Kwanza mkeo kukwambia kwamba Humfikishi sio Tatizo bali ni suluhu.Alichoksea ni kukwambia Miaka mitatu yote hujamridhisha hiyo kitaalamu tunaita ni Overkill.Sidhani kwamba Humridhishi nafikiri Haridhiki.

Sasa cha kufanya ni kama ifuatavyo.
Zungumzeni wenyewe Juu ya namna ambavyo mnafanya sex hasa katika namna ambavyo anataka Umfanyie na ww pia Akufanyie nini.Badili SEX yenu from JUST sex to Interactive Sex.Yaani Hakikisha Anakupa Malekezo ya nini uufanyie mwili wake hu na wewe ukiendelea kumjifunza UPYA.

Pili Jaribuni kubadilisha Location na Position ya SEX mfano kama mmezoa kitandani tu Jaribuni Pia On the Floor,Kitchen au sehemu yoyote na wakti wowote.

Tatu Jaribuni Alternative stimulation kama Hamjawhi kujaribu.Sasa Hapa kuna Options nyingi sana nyingine zitabaki kuwa siri yenu kama mtakuwa na Ujasiri wa kujaribu ila mzingatie kuheshimu hisia zenu.

All in all Pia angalia iwapo kuna maeneo mengine ya maisha yenu ambayo yana pwaya maana mwanamke anaweza kukuwambia humridhishi sexually kwa sababu tu kuna mambo mengine unakwama so anakuwa hana apetite na wewe.The fact kwamba amekwambia humridhishi sio sababu ya wewe kuamua muachane.Nafikiri ni wakti wa kumfurahia zaidi mkeo.

Nawatakia Kila la Heri katika hatua mpya ya mahusiano yenu.
 
Hiyo ndio moja ya Hasara ya kuchelewa kuoa,.ukioa mwanamke mwenye 28+ body count yake ya hatari,anaijua ya kila rangi, kila size,kila style
View attachment 3089222
Si Kweli ila Sema utelezi ni negative factor ya age. Miaka 18 ndiyo climax ya utelezi, jinsi anavyoongeza miaka na utelezi unapungua na uwezo wa kukojoa haraka unazidi kuisha. Ndo maana 50+ huwa ni wakavu ajabu
 
Wakiwahawajui au wanajua women test men
Ni baada ya kuwa too needy, too positive, kukonfes hisia zako kila wakati, kujua your next step, kuweza kukupredict, kuwa nice sana kwake, bila kuweka vitu vya kumchalenji ili akuwaze wanasema kuwe na tension mfano umpe atention msichana mwingine labda kwa kumsalimia na kumtania kidogo

Chakufanya usioneshe kuumia au kuwa emotions kwa namna yyte japo ndani unachemka kuwa neutral bila hizo mistake hapo juu, kuwa na mwanamke mwigineikiwezeka uwe unaichapa kwa muda hii insaidia kuwa neutral hapo ndani nk
Ukifanikiwa mwanamke atavutiwa sana nawewe atarudi km bomu la nyuklia na atakua chini yako na kukuheshimu

Nitaomgezea vyakufanya zaidi baadae..
 
Habarini?

Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"

"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.

Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.

Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.

Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?

Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.

Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.

Ahsanteni

Usiwe unaingiza yote uwe una muwekea juu juu na wakati mwingine unaingiza yote mara kidogo yani awe kama unamtesea dyudyu , tritri na shingo na hichi ki batani chake uwe unaviazibu pia. wanaume wengi tunajua kuzamisha lidude lote ndani na kumsugua kwa nguvu ndiyo kumridhisha mwanamke. Wanawake ni kitu kidogo sana msome mkeo anataka nini .
Onyo:; Chumvini usizame na ukiyaweka akilini maneno yake ndiyo chanzo cha wewe kushindwa kusimamisha uume kabisa alafu tuje tuanze kukuuzia dawa za uongo
 
Back
Top Bottom