Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

Status
Not open for further replies.
Dah kweli kunya anye kuku, akinya bata kaharisha.....we hujawahi jamba? jaman kupumua napo cku hiz kosa?
hebu mwache mwenzio acontrol mwili bana........afu siri kama hizo si vema kuziweka hadharan, wamdhalilisha mkeo....
 
Na wewe uwe unajamba na ili ushuzi unuke vizuri,chukua mayai mawili yaliyocheshwa,maharage bakuli 1,soda coca au pepsi na maziwa mgando glasi 1
 
Kitenfo CHA KUJAMBA OVYO NI KUSHINDEA KUHIMILI KIJAMBO NA HILI LINATOKANA NA MAMBO KADHAA..
IKIWEMO KUTUMIKA SEHEMU KUSIKOTAKIWA WAKRISTO WANAITA S &G

PILI UHARIBIFU HUU WAWEZA SABABISHWA NA MWOAJI KAMA WEWE

TATU
KUJAMBA OVYO NI LAANA..M NINA KAKAETU ALIMCHEKAGA BABU AKAMWAMBIA CHEKA IPO UDIKU UTACHEKWA. UTONIONA LEO ANAJAMBAPAKA AKIWA ANAFANYA TENDO LA NDOA..KUWENI MAKINI
 
Laana hii yaweza kuwa no urithi
.kama na wwwewe wajamba ovyo basi. Mkeo nae lazima ajambe ndio maananyabkuwa. Kitu. Kimoja na huyo uchomoi na siku ukimwacha. Sitaniiii mungu akakupe anaekunya kabisa
 
Kaka ake mie naomba nielekezee hiyo ya kunywaa maana labda na mie ntaanzaa kujambaa mbele ya shemeji yako

Mungu akuponyeshee,pili nenda Pharmacy wanazo zipo kupackti ivi unatia katika glass ya maji huyayuka "kama zile mfano wa Andrews liver salt " zenyewe zina flava za mauwa,matunda,nk. ukiweka kumaji huwaga ina fuka mfano wa soda tamu....ukikosa mie ntakuletea bila noma! ikusaidie tu.. pole na hali ya slow gesi productions!!
 
Ndugu wana MMU,
Nimeishi na mke wangu kwa muda wa miaka 2 na tuna mtoto mmoja. Kwa ufupi tunaelewana sana, tatizo kubwa ni tabia yake ya kujiachia(ushuzi) mbele yangu. Nimejaribu kumweleza kama sifurahishwi na anavyofanya aingie chooni lakini yeye anacheka na kunieleza anapumua.
Sasa nimeongea mpaka nimechoka, nimeamua kuacha tu.
Naomba ushauri wenu, je kujamba mbele ya mpenzi/mume/mke ni kupumua tu? Na je akijamba mgeni akiingia ndani(imewahi tokea) na kukutana na harufu atatuanaje?
Please help

Mpeleke kiwanda cha kutengeneza dawa za mbu. Inaweza kuwa dili. Badala ya karaha inaweza kuwa raha maana pesa sabuni ya roho.
Huyo wakati wa kujifungua itakuwa balaa
 
Yawezekana ulikuwa UNAMGEGEDA NYUMA halafu unategemea nn..! Jamba mamaaa alishang'oa kizibiti mwendo kunduchee na imebaki n mwendo wa fuuuu-fuuu
 
Mungu akuponyeshee,pili nenda Pharmacy wanazo zipo kupackti ivi unatia katika glass ya maji huyayuka "kama zile mfano wa Andrews liver salt " zenyewe zina flava za mauwa,matunda,nk. ukiweka kumaji huwaga ina fuka mfano wa soda tamu....ukikosa mie ntakuletea bila noma! ikusaidie tu.. pole na hali ya slow gesi productions!!

Sasa hazina majinaaa,unajua hayaa mambo ni aibu halaf kwa mtu unaempendaa ni aibu mie hutokaa njeee napumuliaa huko maanaa hayaa mambo ni raha uwe peke yako tu
 
huyo ni wakwako tu ndoa ni mwili mmoja hivyo la msingi hapo akiachia na wewe achia ili iwe ngoma droo...
 
Si bure una lako jambo, umekaa naye mpaka mmepata mtoto ndo vijambo vinakukwaza?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom