MTOA MADA SOMA HII ITAKUSAIDIA.....
Kwa wanaojua wanajua hiyo ni dalili nzuri,kwanza wewe ndo ulitakiwa kumfanya awe huru kabisa mbele yako in the first place.hiyo huwa inawajengea picha wanawake kujiona wako salama mbele ya waume zao,hivyo kua huru kufanya lolote mbele yako kama hivyo kujamba,kua huru kukojoa(haja ndogo) ukiwa unamuangalia nk.hayo mambo pamoja na mengine mengi yatafanya mind ya mwanamke wako kua relaxed wakati wote anapokua na wewe,na ni relaxation hiyo ya nje ya kitanda itakayomfanya kurelax zaidi na kua huru mkiwa kitandani.relaxation hiyo na uhuru huo kitandani ndo kichocheo kikuu cha kuamsha hisia kali zaidi ndani yake,hisia ambazo zitafanya iwe ni rahisi kwako kumpa orgasm after juicy orgasm,na hata squirting orgasm(the queen of orgasms,ambayo wanawake wengi huwa ni kama wanajaribu kuizuia hasa pale wanapokosa huo uhuru nliosema awali,mana kama usipojua aina hii ya orgasm ilivyo unaeza ukamuita mwanamke wako kikojozi,maana ukiangalia kwa haraka akiwa anasquirt unaeza dhani ni mkojo unaotoka).kwa kufanya hivi sio tu kwamba utakua na uhakika wa kua na mwanamke ulienae for as long as you want,lakini pia atakua tayari kukupa au kukuonyesha kila anachokijua kitandani katika kujaribu kukuridhisha kama ulivyotoka kumridhisha,na kwake utakua ni one of the best lovers she ever had.kumbuka wanawake wote wanaendeshwa na hisia.hizi ni advanced techniques.
So hapo tatizo sio yeye,ni wewe jombaa,jiongeze.usipokua makini utakua umempa kila sababu ya kuchepuka kutafuta anaeendana nae na anaejua kucheza na mind yake wakati wote,ndani na nje ya kitanda,na hivyo kufanya mind yake iwe relaxed wakati wote.
Najua maelezo ni marefu,ila SOMA YATAKUSAIDIA.asante.
Off i go.....