Mr levoman
Member
- Jul 23, 2015
- 5
- 9
Lakini mbona kwa muda mfupi sana na kwa tatizo dogo sana umeshasahau kiapo chenu mlichokula cha kuvumiliana kwa shida na raha??? Ulipomuoa hakuwa hivyo, kwa nini usiamini kuwa hilo ni tatizo na unapaswa kulivumilia???
Mwisho, mke mpe heshima yake bana!! Asipojiachia kwako akajiachie kwa nani tena, ulipaswa kumtania na kucheka pamoja akijamba badala ya kumfokea na kununiana bana!!
Utamweshimu vp mtu asiyejiheshimu....? HARD TO SWALLOW.
Ndugu wana MMU,
Nimeishi na mke wangu kwa muda wa miaka 2 na tuna mtoto mmoja. Kwa ufupi tunaelewana sana, tatizo kubwa ni tabia yake ya kujiachia(ushuzi) mbele yangu. Nimejaribu kumweleza kama sifurahishwi na anavyofanya aingie chooni lakini yeye anacheka na kunieleza anapumua.
Sasa nimeongea mpaka nimechoka, nimeamua kuacha tu.
Naomba ushauri wenu, je kujamba mbele ya mpenzi/mume/mke ni kupumua tu? Na je akijamba mgeni akiingia ndani(imewahi tokea) na kukutana na harufu atatuanaje?
Please help
Kwa style hii wengi mtagongewa sana.
Sisi wengine tunatamani mrembo ajambe. Na akijamba tu athumani anasimama kama jiwe, dadeki.
Utamweshimu vp mtu asiyejiheshimu....? HARD TO SWALLOW.
unaonkana ww ni mlaji mzuri wa tigo..!
Hadi nahisi kinyaa.
Kuoana si tiketi ya kufanyiana karaha.
Huyo mwanamke hana adabu na hana staarabu. Mashuzi ni karaha na ni kitu cha kijistiri na si kitu cha kujivunia.
Hakuna binaadam asiyepumuwa lakini wote tunatakiwa tuwe na staha katika mambo kama hayo.
Wakuja wengi huwa wanatucheka sisi watu wa pwani kwa kufukiza maudi majumba yetu na miili yetu. Laiti wangeelewa kuwa harufu nzuri ni moja katika raha za dunia na si harufu za choo majumbani mwetu basi wasingejambiana.
Huyo mwanamke ongea nae seriously ili ajuwe kuwa uko serious. Ni karaha hiyo na hakuna raha hapo.