MarianaTrench
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 1,212
- 941
Mimi sio mlaji na sijawahi na sitofanya.mimi sio mtu wa pwani
kwanza shukuru ulimuoa huyo dada huna sifa za kuwa mume, watu wana matatizo makubwa unaleta upuuuzi hapa halafu unaeleza kwa strong feeling hivyo shutup!! eboooo wewe unajua maana ya ndoa kwelo mwambie tu asijambe mbele za watu na umwache kwa raha zake jambo hiilo si lakukunyima usingizi kwenye ndoa watu wana mitihani mikubwa wewe!! tena usijwlalamika akaacha halafu akaibuka na vingine
hahahaaaaa naona imekutachi kinomanoma....
kwanza shukuru ulimuoa huyo dada huna sifa za kuwa mume, watu wana matatizo makubwa unaleta upuuuzi hapa halafu unaeleza kwa strong feeling hivyo shutup!! eboooo wewe unajua maana ya ndoa kwelo mwambie tu asijambe mbele za watu na umwache kwa raha zake jambo hiilo si lakukunyima usingizi kwenye ndoa watu wana mitihani mikubwa wewe!! tena usijwlalamika akaacha halafu akaibuka na vingine
Bora ungesema "nina rafiki yangu anajamba" ila sio mke bro, mke kitengo kingine kaka. Watu wataanza kuimagen mkeo anajambaje mpaka watapata picha kamili ya kijambio
Mimi na mke wangu tunapenda sana utani. Lakini huu utani wa kufikia mahala haoni aibu mpaka anakua ananijambia tukiwa kitandani..mi sipendi kweli. Mpaka nasafoketi. Afu anajamba mpaka pua inachachuka kabisa. Nikimwambia anaona kama utani...
Nipeni ushauri wadau.... Nampenda sana mke wangu.