Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

Status
Not open for further replies.
nyie acheni utani jamani...! Hivi mnafikiri mmoja akimwaga ugali na mwingine mboga wote si mtalala njaa tu? Basi kwa vyovyote vile mwenye tatizo hilo basi kakumbwa na balaa husika....!

mie sijapenda alivyokuja kunianika hapa. Nilishamwambia nitaenda kumwona daktari yeye anakimbilia jf!
 
mtu anafinyanga ugali kama anaenda kwenye mazoezi ya ngumi
kumbe anaenda kulala, ukute na mibia keshabugia kibao kwa nini asipumue
usiku kucha,

huyo mwanaume ampe masharti kama mambo yanazidi bana mi nahamia chumba
cha wageni aone kama hataacha kuachia hayo mabomu yake ya usiku.

umeona mama kuna wanawake wanakula utadhani ugomvi kumbe anaenda tu kulala
matokeo yake ndo hayo kumpigia mumewe vuvuzela usiku kucha
wacha watu wawe na nyumba ndogo sasa!
 
mtu anafinyanga ugali kama anaenda kwenye mazoezi ya ngumi
kumbe anaenda kulala, ukute na mibia keshabugia kibao kwa nini asipumue
usiku kucha,

huyo mwanaume ampe masharti kama mambo yanazidi bana mi nahamia chumba
cha wageni aone kama hataacha kuachia hayo mabomu yake ya usiku.
amwambie anaoa mke mwingine na appetite itaisha
 
Hahahahahah! wewe mtoa mada huna Adabu maana siri za ndani na ni mkeo unazimwaga hapa hadharani Du! menifanya nicheke sana. IoI
 
kwani kuna shida gani jamani.? mshauri bwana


smile.....u must be so gentle and extratolerant-excellent qualities

utakuwa muungwana mno/mstahimilivu mno/mstaarabu balaa...sidhani kwa maneno tu...

keep it up
 
smile.....u must be so gentle and extratolerant-excellent qualities

utakuwa muungwana mno/mstahimilivu mno/mstaarabu balaa...sidhani kwa maneno tu...

keep it up
mmh ingia kwenye tisini zangu uone moto wake
ahahaaaa
 
Mimi najamba sana nikifululiza kula chips tumbo linakuwa lina gesi sana
sasa kama na yeye anakula chips sana mwambie aache kwa siku 3 mfululizo kisha awe anazila kwa kushtua
 
mwambie amuone dokta ni dalili ya vidonda vya tumbo
pia mwambieaache kula ovyoovyo asione amefika saaana hapo!
by the way umepata ring tone weka kwenye simu kama alarm!

yaani Smile, una balaa wewe. lol...hii thread nimeiona ya kipuuzi/kijinga sana, maswali mengine ya ajabu sana, sema wewe mrembo umeniua, eti alarm, ha!
 
Mkuu isije kuwa ni wewe ila unatafuta pa kupumzikia! Anyway, vidonda vya tumbo maarufu kama ulcers huweza kusababisha pia hali hii
 
kabla ya kulala fungulia muziki hadi asubuhi
 
mleta mada hivi kweli ulihudhuria mafinzo ya ndoa? kama unahisi ni tatizo mpeleke mkeo kwa daktari sio kumdhalilisha hapa jamvini embu fikiri kama kuna mtu anajua ID yako ina maana anakujua wewe basi atakuwa anjua mkeo anafanya nini. kwa vile tumesema watu wasifiche matatizo yao haina maana uyaanike namna hii, hosp madaktari wasingekuwa katika vyumba vyao wangekaa katika uwazi na kuwasikiliza watu hapo.
kwa kweli umemkosea adabu mkeo, hata namna ulivyoieleza inaonesha umemchoka mkeo.

mke umpendae utamjali na kumuheshimu na kumthamini. ungetafuta namna ya kistarabu ukapata suluhu ya tatizo ikiwa hilo ni tatizo.
au umeleta mada kujifurahisha.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom