thatonegAl
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 825
- 1,884
Leo cku yangu imeisha vizuri,shukrani kwa mleta uzi na wachangiaji wote kwanza nipumzishe mbavu zngu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi na mke wangu tunapenda sana utani. Lakin huu utan wa kufikia mahala haoni aibu mpaka anakua ananijambia tukiwa kitandani..mi sipendi kweli. Mpaka nasafoketi. Afu anajamba mpaka pua inachachuka kabisa. Nikimwambia anaona kama utani...nipeni ushauri wadau....nampenda sana mke wangu.
Mkuu huo ni mtihan,maana unatakiwa kujua kama kizibo kipo salama au laah. Mara nyengne huo utan usizidi lakin mara nyengine unakuta kizibo kilishatolewa so chunguza hyo kitu.
Swali:
Je unapokua unasokomeza mkia kwa papuchi yake anajamba pia????
Mimi na mke wangu tunapenda sana utani. Lakin huu utan wa kufikia mahala haoni aibu mpaka anakua ananijambia tukiwa kitandani..mi sipendi kweli. Mpaka nasafoketi. Afu anajamba mpaka pua inachachuka kabisa. Nikimwambia anaona kama utani...nipeni ushauri wadau....nampenda sana mke wangu.
Hio ni strike. . .haah . . maharage kila siku. . .ujumbe huo anakutumia indirect
Mimi na mke wangu tunapenda sana utani. Lakin huu utan wa kufikia mahala haoni aibu mpaka anakua ananijambia tukiwa kitandani..mi sipendi kweli. Mpaka nasafoketi. Afu anajamba mpaka pua inachachuka kabisa. Nikimwambia anaona kama utani...nipeni ushauri wadau....nampenda sana mke wangu.
pole sana mkuu! tatizo wewe unasema kimahaba zaidi..!! *acha basi kunyampa sweetieeeeee*!!!
basi na yeye anayaachia akijua unapenda!!