Mke wangu anamtesa sana mtoto wa marehemu dada yangu

Mke wangu anamtesa sana mtoto wa marehemu dada yangu

Kama mjuavyo sisi wanaume mara nyingi ni kuamka asubuhi na mapema na kuondoka, na kurudi ni usiku, muda ambao Mimi nashinda nyumbani ni jumamosi na jumapili.

Usiku wa kuamkia Jana alhamis mtoto wa marehemu dada yangu alianza kulia sana chumbani, akalia sana mpaka ikabidi niamke niende chumbani kwao Ili nione Kuna nini, nilivyo fika nilimkuta kakaa chini huku wenzie wamelala, nikamwuliza Kuna nini? Akanijibu mguu unamuuma sana, ikabidi niuangalie mguu, aisee nilijikuta nalia na Mimi, mguu ulikuwa umevimba sana, nikamwuliza ilikuwaje? Akaniambia mke wangu alimpiga na kipande Cha tofali.

Pale pale nikaenda kumwamusha mke wangu kumwuliza hiki alicho fanya, akawa amekataa na kuanza kumfokea mtoto eti anataka kutugombanisha, Nikasema sawa, ila kwanini mguu unafikia hatua hii ina maana alikuwa hamuoni? Akawa amezidisha hasira eti natafuta sababu kama nime mchoka niseme arudi kwao, nikaona maneno yasiwe mengi ikabidi nimpakie mtoto kwenye gari nikampeleka hospital usiku ule ule, iligundulika kuwa mfupa wa mbele wa mguu uliachia kidogo akafungwa P.O.P.

Nilivyo rudi nyumbani asubuhi Jana hiyo asubuhi ilibidi nishinde nyumbani, ikabidi nifanye upelelezi mana Kuna vitu niliiona haviko sawa, ndo mpangaji wangu mmoja akaniambia kama Kuna sehemu naweza kumpeleka huyu mtoto Bora nimpeleke vinginevyo itatokea hatari kubwa, mtoto anateswa mno na mara nyingi shuleni haendi, na siku alivyo mpiga na tofari alikuwa amemtuma vitafunwa asubuhi akachelewa kurudi, tofari alimpiga mbele ya wapangaji siku tatu nyuma, na siku zote hizo hakwenda shule.

Nawaza mtoto nimpeleke wapi, marehemu dada yangu baada ya kufariki 2022 tuligawana watoto sisi ndugu zake, hili tukio limefanya nimkumbuke marehemu dada yangu aliye fariki Kwa maumivu makubwa ya kansa akiwa mikononi mwangu, nawaza Bora kuachana na mke wangu kuliko kuacha mtoto wa dada ateseke ntakuwa nimemkosea dada.

Mke wangu alimchukua mtoto wa kaka yake anaishi hapa na anaelekea kumaliza form 4 Kwa Gharama zangu, ila mtoto wa upande wangu kashindwa kumlea Kwa miaka miwili tu,hii ni sawa kweli?

Halafu baada ya mtoto kuniambia kuwa yeye ndo alimpiga, muda wote saivi ni kumuangalia Kwa jicho Kali sana na kumwambia eti ametumwa aje kutugombanisha, mtoto wa miaka 8 anawezaje kutugombanisha?

Sikuwahi kumfikiria mke wangu kuwa anaweza fanya hiki alicho fanya kutokana na mambo ninayo wafanyia ndugu zake, na ndiyo maana huyu mtoto nilimleta hapa Kwa kuamini atamsimamia kama mwanae na kama anavyo wasimamia watoto wetu wawili.

Mpaka naogopa kwenda kazini na huyu mtoto kumuacha hapa, nahisi atampiga Yani
Huyo Mke ni Shetani na hakupendi.

Utasadiki maneno yangu siku utakapokuwa huna tena msaada kwake kiuchumi, aidha ukiugua na usiweze tena kuhudumia familia ama siku yeye mwanamke atakapokuzidi kipato...
 
Ukimfukuza mke wanao watapata shida.
Ukimuhamisha mtoto ataishi kwa masononeko sana.
Ukiwaacha wote hapo mtoto ataendelea kuteseka coz huyo mkeo ni pepo hata umkamye hatabadilika bali atabadili tu mbinu usijue.

Na je ukimuhamisha mtoto una uhakika moyo wako utaendelea kumpenda huyo mkeo?

Unaweza kweli hata kusimamisha kwa mwanamke anayevunja mtoto mguu kwa tofali?UNAWEZA?

Alichofanya kwa huyo mtoto ni red flag ya mambo mengi sana ila sikiliza moyo wako katika kufanya maamuzi sahihi.
 
Ukimfukuza mke wanao watapata shida.
Ukimuhamisha mtoto ataishi kwa masononeko sana.
Ukiwaacha wote hapo mtoto ataendelea kuteseka coz huyo mkeo ni pepo hata umkamye hatabadilika bali atabadili tu mbinu usijue.

Na je ukimuhamisha mtoto una uhakika moyo wako utaendelea kumpenda huyo mkeo?

Unaweza kweli hata kusimamisha kwa mwanamke anayevunja mtoto mguu kwa tofali?UNAWEZA?

Alichofanya kwa huyo mtoto ni red flag ya mambo mengi sana ila sikiliza moyo wako katika kufanya maamuzi sahihi.
Ndiyo wanawake mlivo mna ubinafsi na uchoyo....
 
Kama mkeo hamtaki huyo mtoto wa miaka nane, hata mtaka hata ufanyeje. hapo ni kuchagua mkeo au mtoto wa dada yako.

Ukichagua mkeo utakuwa mpumbavu ni sawa na kumtoa kafara huyo mtoto na ukimchagua huyo mtoto utakuwa umeamua kuvunja ndoa yako. hapo wa kuchagua ni wewe.

ni upumbavu kumtafutia sehemu nyingine huyo mtoto akakae wakati kwako papo na ndugu wa mkewako wapo, mimi naona tatizo ni wewe sababu mkeo anaongea upuuzi mbele yako.

Mkewako anatakiwa kuwa na nidhamu ya hali ya juu, nidhamu haiji tu from no where, nidhamu inatengenezwa. fanya kuitengeneza.


Ingekuwa ni mimi ningemuhamisha huyo mtoto hapo ila ntabalance equation ndugu wote wa mwanamke wanafungasha virago na huduma nakata. mtoto wa dada yako, mama yake katangulia mkeo ndo alitakiwa kuwa mama yake.
 
Ndiyo wanawake mlivo mna ubinafsi na uchoyo....
Nakuheshimu mkuu ila umenikosea sana kunijumuisha na huyo pepo mgonjwa wa akili.

Mimi sio malaika ila inataka uwe na kiwango kikubwa cha roho mbaya ili uweze kuchukua tofali na kumpiga nalo mtu haijalishi ni mtoto au mtu mzima.

Kwanza mimi mtoto atanishindaje hadi nimchukie?Huyo hata kulea halijui.
Mimi hata uniletee mtoto bandidu kiasi gani nitamshape kwa njia sahihi hadi awe aina ya mtoto tutakayependana..
Na huo uchoyo sasa mtoto wa 8 yrs anamalizw nini?

NIKOME hunijui usinifananishe na mianamke yenu ya hovyo
 
Nakuheshimu mkuu ila umenikosea sana kunijumuisha na huyo pepo mgonjwa wa akili.

Mimi sio malaika ila inataka uwe na kiwango kikubwa cha roho mbaya ili uweze kuchukua tofali na kumpiga nalo mtu haijalishi ni mtoto au mtu mzima.

Kwanza mimi mtoto atanishindaje hadi nimchukie?Huyo hata kulea halijui.
Mimi hata uniletee mtoto bandidu kiasi gani nitamshape kwa njia sahihi hadi awe aina ya mtoto tutakayependana..
Na huo uchoyo sasa mtoto wa 8 yrs anamalizw nini?

NIKOME hunijui usinifananishe na mianamke yenu ya hovyo
😅😅😅 pole na samahani, nimeelewa wewe sio kama wale.
 
Wanawake tuna ubinafsi ule wa kuzaliwa nao sema kuna wengine maisha yanafunika hiyo roho, wengine ndo kama hivyo wanajiweka hadharani km mkeo,

Hatokaa ampende huyo mtoto hata ufanye nini, kwanza ndo itamuongezea mateso, cha kufanya kata misaada uliyokuwa ukimpa kwa ndg zake, funga kamera upate ushahidi wa manyanyaso yake kwa huyo mtoto, mpeleke kwenye vyombo vya sheria, huyo ni kiburi pambana nae kijeuri jeuri ukilegeza tu huyo mtoto utamkuta maiti siku moja
 
Nakuheshimu mkuu ila umenikosea sana kunijumuisha na huyo pepo mgonjwa wa akili.

Mimi sio malaika ila inataka uwe na kiwango kikubwa cha roho mbaya ili uweze kuchukua tofali na kumpiga nalo mtu haijalishi ni mtoto au mtu mzima.

Kwanza mimi mtoto atanishindaje hadi nimchukie?Huyo hata kulea halijui.
Mimi hata uniletee mtoto bandidu kiasi gani nitamshape kwa njia sahihi hadi awe aina ya mtoto tutakayependana..
Na huo uchoyo sasa mtoto wa 8 yrs anamalizw nini?

NIKOME hunijui usinifananishe na mianamke yenu ya hovyo
Kila mwanamke ana roho nzuri hadi utakapoamua kuishi nae 😂
 
Wanawake bana, miaka ya mwanzo wa ndoa yangu walikuja ndugu zangu wawili wanasoma chuo kutokea nyumbani kwangu, ikawa kila siku ni mashtaka na kununa. Nikawapangia wale madogo chumba kila mmoja cha kwake maana ni jinsi tofauti.

Alivyojua mimi ndo ninayelipa kodi aka washa tena moto! Hatutakaa tuendelee, bla bla...

Tuende nao tu hivyo...
Wanawake wana choyo ya asili
 
Kusanya ushahidi wa kutosha kisha nenda ustawi wa jamii,kapeleke taarifa na ushahidi huo, nao watafika eneo hilo na kufanya uchunguzi ,watamuita na kumuhoji ,na kufunguliwa mashitaka, hiyo Ni njia sahihi ya kumuondoa, au nenda kwa court kaombe taraka.

Kimafia rudisha kwao akafundwe malezi, akigeuka wahuni wameshawahi siti ya mbele
 
Kama mjuavyo sisi wanaume mara nyingi ni kuamka asubuhi na mapema na kuondoka, na kurudi ni usiku, muda ambao Mimi nashinda nyumbani ni Jumamosi na Jumapili.

Usiku wa kuamkia Jana alhamis mtoto wa marehemu dada yangu alianza kulia sana chumbani, akalia sana mpaka ikabidi niamke niende chumbani kwao Ili nione Kuna nini, nilivyo fika nilimkuta kakaa chini huku wenzie wamelala, nikamwuliza Kuna nini? Akanijibu mguu unamuuma sana, ikabidi niuangalie mguu, aisee nilijikuta nalia na Mimi, mguu ulikuwa umevimba sana, nikamwuliza ilikuwaje? Akaniambia mke wangu alimpiga na kipande Cha tofali.

Pale pale nikaenda kumwamusha mke wangu kumwuliza hiki alicho fanya, akawa amekataa na kuanza kumfokea mtoto eti anataka kutugombanisha, Nikasema sawa, ila kwanini mguu unafikia hatua hii ina maana alikuwa hamuoni? Akawa amezidisha hasira eti natafuta sababu kama nime mchoka niseme arudi kwao, nikaona maneno yasiwe mengi ikabidi nimpakie mtoto kwenye gari nikampeleka hospital usiku ule ule, iligundulika kuwa mfupa wa mbele wa mguu uliachia kidogo akafungwa P.O.P.

Nilivyo rudi nyumbani asubuhi Jana hiyo asubuhi ilibidi nishinde nyumbani, ikabidi nifanye upelelezi mana Kuna vitu niliiona haviko sawa, ndo mpangaji wangu mmoja akaniambia kama Kuna sehemu naweza kumpeleka huyu mtoto Bora nimpeleke vinginevyo itatokea hatari kubwa, mtoto anateswa mno na mara nyingi shuleni haendi, na siku alivyo mpiga na tofari alikuwa amemtuma vitafunwa asubuhi akachelewa kurudi, tofari alimpiga mbele ya wapangaji siku tatu nyuma, na siku zote hizo hakwenda shule.

Nawaza mtoto nimpeleke wapi, marehemu dada yangu baada ya kufariki 2022 tuligawana watoto sisi ndugu zake, hili tukio limefanya nimkumbuke marehemu dada yangu aliye fariki Kwa maumivu makubwa ya kansa akiwa mikononi mwangu, nawaza Bora kuachana na mke wangu kuliko kuacha mtoto wa dada ateseke ntakuwa nimemkosea dada.

Mke wangu alimchukua mtoto wa kaka yake anaishi hapa na anaelekea kumaliza form 4 Kwa Gharama zangu, ila mtoto wa upande wangu kashindwa kumlea Kwa miaka miwili tu,hii ni sawa kweli?

Halafu baada ya mtoto kuniambia kuwa yeye ndo alimpiga, muda wote saivi ni kumuangalia Kwa jicho Kali sana na kumwambia eti ametumwa aje kutugombanisha, mtoto wa miaka 8 anawezaje kutugombanisha?

Sikuwahi kumfikiria mke wangu kuwa anaweza fanya hiki alicho fanya kutokana na mambo ninayo wafanyia ndugu zake, na ndiyo maana huyu mtoto nilimleta hapa Kwa kuamini atamsimamia kama mwanae na kama anavyo wasimamia watoto wetu wawili.

Mpaka naogopa kwenda kazini na huyu mtoto kumuacha hapa, nahisi atampiga Yani

Hapo hauna mke ndugu yetu.
Ikitokea umedondoka gafla uko kitandani huyo mwanamke atakufanyia manyanyaso hujawai ona.
Kama mama ako yupo mpeleke huko
 
Kama mjuavyo sisi wanaume mara nyingi ni kuamka asubuhi na mapema na kuondoka, na kurudi ni usiku, muda ambao Mimi nashinda nyumbani ni Jumamosi na Jumapili.

Usiku wa kuamkia Jana alhamis mtoto wa marehemu dada yangu alianza kulia sana chumbani, akalia sana mpaka ikabidi niamke niende chumbani kwao Ili nione Kuna nini, nilivyo fika nilimkuta kakaa chini huku wenzie wamelala, nikamwuliza Kuna nini? Akanijibu mguu unamuuma sana, ikabidi niuangalie mguu, aisee nilijikuta nalia na Mimi, mguu ulikuwa umevimba sana, nikamwuliza ilikuwaje? Akaniambia mke wangu alimpiga na kipande Cha tofali.

Pale pale nikaenda kumwamusha mke wangu kumwuliza hiki alicho fanya, akawa amekataa na kuanza kumfokea mtoto eti anataka kutugombanisha, Nikasema sawa, ila kwanini mguu unafikia hatua hii ina maana alikuwa hamuoni? Akawa amezidisha hasira eti natafuta sababu kama nime mchoka niseme arudi kwao, nikaona maneno yasiwe mengi ikabidi nimpakie mtoto kwenye gari nikampeleka hospital usiku ule ule, iligundulika kuwa mfupa wa mbele wa mguu uliachia kidogo akafungwa P.O.P.

Nilivyo rudi nyumbani asubuhi Jana hiyo asubuhi ilibidi nishinde nyumbani, ikabidi nifanye upelelezi mana Kuna vitu niliiona haviko sawa, ndo mpangaji wangu mmoja akaniambia kama Kuna sehemu naweza kumpeleka huyu mtoto Bora nimpeleke vinginevyo itatokea hatari kubwa, mtoto anateswa mno na mara nyingi shuleni haendi, na siku alivyo mpiga na tofari alikuwa amemtuma vitafunwa asubuhi akachelewa kurudi, tofari alimpiga mbele ya wapangaji siku tatu nyuma, na siku zote hizo hakwenda shule.

Nawaza mtoto nimpeleke wapi, marehemu dada yangu baada ya kufariki 2022 tuligawana watoto sisi ndugu zake, hili tukio limefanya nimkumbuke marehemu dada yangu aliye fariki Kwa maumivu makubwa ya kansa akiwa mikononi mwangu, nawaza Bora kuachana na mke wangu kuliko kuacha mtoto wa dada ateseke ntakuwa nimemkosea dada.

Mke wangu alimchukua mtoto wa kaka yake anaishi hapa na anaelekea kumaliza form 4 Kwa Gharama zangu, ila mtoto wa upande wangu kashindwa kumlea Kwa miaka miwili tu,hii ni sawa kweli?

Halafu baada ya mtoto kuniambia kuwa yeye ndo alimpiga, muda wote saivi ni kumuangalia Kwa jicho Kali sana na kumwambia eti ametumwa aje kutugombanisha, mtoto wa miaka 8 anawezaje kutugombanisha?

Sikuwahi kumfikiria mke wangu kuwa anaweza fanya hiki alicho fanya kutokana na mambo ninayo wafanyia ndugu zake, na ndiyo maana huyu mtoto nilimleta hapa Kwa kuamini atamsimamia kama mwanae na kama anavyo wasimamia watoto wetu wawili.

Mpaka naogopa kwenda kazini na huyu mtoto kumuacha hapa, nahisi atampiga Yani

Mjomba ni mama , unaruhusu vipi mkeo kumtesa mwanao
 
Kama mkeo hamtaki huyo mtoto wa miaka nane, hata mtaka hata ufanyeje. hapo ni kuchagua mkeo au mtoto wa dada yako.

Ukichagua mkeo utakuwa mpumbavu ni sawa na kumtoa kafara huyo mtoto na ukimchagua huyo mtoto utakuwa umeamua kuvunja ndoa yako. hapo wa kuchagua ni wewe.

ni upumbavu kumtafutia sehemu nyingine huyo mtoto akakae wakati kwako papo na ndugu wa mkewako wapo, mimi naona tatizo ni wewe sababu mkeo anaongea upuuzi mbele yako.

Mkewako anatakiwa kuwa na nidhamu ya hali ya juu, nidhamu haiji tu from no where, nidhamu inatengenezwa. fanya kuitengeneza.


Ingekuwa ni mimi ningemuhamisha huyo mtoto hapo ila ntabalance equation ndugu wote wa mwanamke wanafungasha virago na huduma nakata. mtoto wa dada yako, mama yake katangulia mkeo ndo alitakiwa kuwa mama yake.
Au ampeleke mtoto kwa Baba yake mzazi, au kwa mashangazi zake!alafu inakuwaje mnagawana watoto wa.Dada yenu wakati baba au baba zao wapo!?
 
Au ampeleke mtoto kwa Baba yake mzazi, au kwa mashangazi zake!alafu inakuwaje mnagawana watoto wa.Dada yenu wakati baba au baba zao wapo!?
kuwepo sio issue, nadhani uwezo/kipato na anayetaka kulea, ndo maana wakagawana watoto.
 
Back
Top Bottom