Mke wangu anamtesa sana mtoto wa marehemu dada yangu

Akirudi kutoka boarding ndo atajua atumie mbinu gani ili kumsaidia huyo mtoto aishi kwa amani hapo nyumbani. Ila kwa sasa atumie hiyo njia ya haraka ili kumuokoa huyo mtoto asizidi kuumia na kuharibika kisaikolojia zaidi
 
Akirudi kutoka boarding ndo atajua atumie mbinu gani ili kumsaidia huyo mtoto aishi kwa amani hapo nyumbani. Ila kwa sasa atumie hiyo njia ya haraka ili kumuokoa huyo mtoto asizidi kuumia na kuharibika kisaikolojia zaidi
Umeeleweka mkuu.
 
Pole sana ndugu,
Wanawake wengi wana roho mbaya sana naweza kusema hivyo,nimeona wengi wanaoishi na watoto wa watu ni mateso matupu,mimi nikiwa mmoja wa niliopitia changamoto hiyo miaka hiyo,

Ikibidi aende kwao ama akatafute pa kuishi kuliko yote hayo,kuna wakati mwanamke anatakiwa kujua sio kila kitu anaweza kuzungumza mbele yako,
Kama kuna kitu mke wangu hatowahi rudia maisha yake yote ni kutishia kwenda kwao.
 
Wanajua ndugu ni wa upande wao tu,
Ushauri : kumtafutia mahala pengine/kwa mtu mwingine ni tatizo labda bibi yake
Ukiweza mpeleke shule ya kulala likizo kwa bibi
 
Mimi wakaka nilikuta wanaongelea madem zao, kuna mtu akaniambia hapo pesa zako ndio zinahonga hao madem 😭😭
Mkinga pesa inavyoniuma mbona niliacha kurekodi nisije kukutana na mazito na hao ndio wananisaidia kiasi kikubwa hapo shop.!!

Huyo mwanamke mwenzetu kwa kifupi roho mbaya yake imepitiliza anaweza kuua km huyo mumewe asipofanya jambo.!!
 
Pole sana ila huyo mke ana roho mhaya sana
Nashukuru mdogo wangu ana msimamo alimuambiaga mkewe bora niishi single na wanangu kuliko kukaa na mke asiyependa watoto wa dada angu...!!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Jani jeuri ndo ampige na tofali huo ni ukatili mnoo
Wa kwake anaweza mpiga hvyoo kweli
Mtoto wa miaka mi 8?!

Hilo ndo limeonekana yasioyoonekana je
Huyo mwanamke ni mnyanyasi mnooo
Ana bahati kapata mume mstaarabu angekuta kichaa mda huu yuko kwao

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Yaani nimeumia mnoo
Haya hvyo huyu jamaa mpole sana aseehh au ndo anampenda mkewe kupitiliza anahisi akiondoka hapati mke mwingine ila honestly mwanamke sio huyuu ana roho ya kichawi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tukiacha unafiki hii ndio tabia halisi ya wanawake ila kwa juu ya uso watajionesha ni wema sana na wanaonewa ila mwanamke hawezi kuishi na mtoto hata wa miaka 2 kama hawana dam moja
 
MKUU
1. MWANAMKE ANAYOYAFANYA KWA MTOTO WAKO WA DADA NI ALAMA ZA KULE UZEENI ATAKAVOKUFANYA
2. FUKUZA HUYO MWANAMKE TAFTA MWANAMKE ASIE NA WAZAZI OA
3. USITHUBUTU KUMUACHA MTOTO HATA DAKIKA MOJA NA HUYO MAMA UTALISHWA HATA SUMU
 
Mpeleke boarding school
Hapana huo utakuwa ujinga, huyo mwanamke anatakiwa awe somo kwa wanawake wengine;

1.Aende kwao kwa miezi 6
2.Asiondoke na mtoto yoyote
3.Kurudi inabidi kifanyike kikao kikubwa cha wazazi wa pande zote.
4.Mda wote wa miezi 6 hakuna kuwasiliana nae.
5.Akikaribia kurudi funga kamera nyumbani.
6.Usimuamini tena kuhusu huyo mtoto.

Yote kwa yote jamaa yangu acha ubwege, ishi kiume,simamia nyumba yako kama baba na dogo asiende popote hakuna boarding wala kwa ndugu huyo bado malaika hakuna kumpeleka popote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…