Mke wangu anamtesa sana mtoto wa marehemu dada yangu

Mke wangu anamtesa sana mtoto wa marehemu dada yangu

Ongea na mkeo umuulize mtoto ana shida naye gani labda Kama ana muona jeuri na Kama kuna changamoto nyengine muitatue
Na umsisitize awe na upendo kwa huyo mtoto,inawezekana akabadilisha tabia yake
Ila ikishindikana chagua kumpa likizo mke au kumuhamisha mtoto
Huwajui Wanawake Mkuu...!

Kwa jinsi huyo Mwanamke alivyo hawezi kujenga Upendo na huyo Mtoto hata Kwa Bunduki...!

Just imagine na huyo ni Mtoto wa Marehemu Wifi yake, vipi kama ndo ingekua Jamaa alizaa nje ya Ndoa ama kabla ya Ndoa, si angeua Kabisa....!

Ni Ngumu kweli kumwacha Mke Kwa sababu Hiyo, ila ningekua Mimi....!

Ningemwambia Mke Kwa sababu ameshindwa kuishi na Mtoto wa Dada yangu ambaye ni Marehemu.
Na Kwa vile Mimi naishi Vizuri na Ndugu zake ama Watoto wa Ndugu zake ikiwepo kuwalipia Ada...! Na nafanya bila Kinyongo...!

Namwamisha huyu Mtoto hapa Nyumbani, na pale ninapomwamisha huyu Mtoto hapa Nyumbani, na yeye atafute pa kuwapeleka Ndugu za Mke wake,, Yani sitaki kuona Mtoto wa Ndugu yeyote hapa Nyumbani, na Huduma ya Ada nasitisha, sikuoa kuja kkutatua matatizo ya Ndugu zako, wakati wewe umeshindwa kuishi na Mtoto wa Marehemu Dada yangu...!

Huo ndo ungekua Msimamo, na siku namuondoa Mtoto wa Ndugu yangu ndo Siku Watoto wa Ndugu ya Mke wangu nao wataondoka...!

Na itakua marufuku kuishi na Watoto wa Ndugu zaidi ya Wageni wataokuja na Kukaa siku mbili ama tatu.

Kama ataona Utaratibu ni Mgumu, basi aondoke na Watoto wa Ndugu zake.
 
Huwajui Wanawake Mkuu...!

Kwa jinsi huyo Mwanamke alivyo hawezi kujenga Upendo na huyo Mtoto hata Kwa Bunduki...!

Just imagine na huyo ni Mtoto wa Marehemu Wifi yake, vipi kama ndo ingekua Jamaa alizaa nje ya Ndoa ama kabla ya Ndoa, si angeua Kabisa....!

Ni Ngumu kweli kumwacha Mke Kwa sababu Hiyo, ila ningekua Mimi....!

Ningemwambia Mke Kwa sababu ameshindwa kuishi na Mtoto wa Dada yangu ambaye ni Marehemu.
Na Kwa vile Mimi naishi Vizuri na Ndugu zake ama Watoto wa Ndugu zake ikiwepo kuwalipia Ada...! Na nafanya bila Kinyongo...!

Namwamisha huyu Mtoto hapa Nyumbani, na pale ninapomwamisha huyu Mtoto hapa Nyumbani, na yeye atafute pa kuwapeleka Ndugu za Mke wake,, Yani sitaki kuona Mtoto wa Ndugu yeyote hapa Nyumbani, na Huduma ya Ada nasitisha, sikuoa kuja kkutatua matatizo ya Ndugu zako, wakati wewe umeshindwa kuishi na Mtoto wa Marehemu Dada yangu...!

Huo ndo ungekua Msimamo, na siku namuondoa Mtoto wa Ndugu yangu ndo Siku Watoto wa Ndugu ya Mke wangu nao wataondoka...!

Na itakua marufuku kuishi na Watoto wa Ndugu zaidi ya Wageni wataokuja na Kukaa siku mbili ama tatu.

Kama ataona Utaratibu ni Mgumu, basi aondoke na Watoto wa Ndugu zake.
Nimeipenda sana hii
 
Wake zetu wanawapenda ndugu zao tu. Na wanatubebesha mizigo ya kuwalea wanapokwama.
Kuna uzi "Mke wangu anachukia rafiki zangu na hapendi mgeni yeyotr tofauti na ndugu zake", watu waliishia kukashifu.
Lakini ukweli ni kwamba wanaume kama tutashindwa kuungana kwa hali na mali dhidi ya wanawake waliofanikiwa kulishana matangopori na kuja kutu athiri sisi, basi tukubali wanawake ndio vichwa na final say kwenye jamii/ familia zetu
Unabishanaje na mtu ambae haogi kichwa mwezi mzima?
Fukuza hiyo mbuzi ikikuletea ujuaji Kwan hajui wapo wengi mtaani wanalilia ndoa?
 
Kama mjuavyo sisi wanaume mara nyingi ni kuamka asubuhi na mapema na kuondoka, na kurudi ni usiku, muda ambao Mimi nashinda nyumbani ni jumamosi na jumapili.

Usiku wa kuamkia Jana alhamis mtoto wa marehemu dada yangu alianza kulia sana chumbani, akalia sana mpaka ikabidi niamke niende chumbani kwao Ili nione Kuna nini, nilivyo fika nilimkuta kakaa chini huku wenzie wamelala, nikamwuliza Kuna nini? Akanijibu mguu unamuuma sana, ikabidi niuangalie mguu, aisee nilijikuta nalia na Mimi, mguu ulikuwa umevimba sana, nikamwuliza ilikuwaje? Akaniambia mke wangu alimpiga na kipande Cha tofali.

Pale pale nikaenda kumwamusha mke wangu kumwuliza hiki alicho fanya, akawa amekataa na kuanza kumfokea mtoto eti anataka kutugombanisha, Nikasema sawa, ila kwanini mguu unafikia hatua hii ina maana alikuwa hamuoni? Akawa amezidisha hasira eti natafuta sababu kama nime mchoka niseme arudi kwao, nikaona maneno yasiwe mengi ikabidi nimpakie mtoto kwenye gari nikampeleka hospital usiku ule ule, iligundulika kuwa mfupa wa mbele wa mguu uliachia kidogo akafungwa P.O.P.

Nilivyo rudi nyumbani asubuhi Jana hiyo asubuhi ilibidi nishinde nyumbani, ikabidi nifanye upelelezi mana Kuna vitu niliiona haviko sawa, ndo mpangaji wangu mmoja akaniambia kama Kuna sehemu naweza kumpeleka huyu mtoto Bora nimpeleke vinginevyo itatokea hatari kubwa, mtoto anateswa mno na mara nyingi shuleni haendi, na siku alivyo mpiga na tofari alikuwa amemtuma vitafunwa asubuhi akachelewa kurudi, tofari alimpiga mbele ya wapangaji siku tatu nyuma, na siku zote hizo hakwenda shule.

Nawaza mtoto nimpeleke wapi, marehemu dada yangu baada ya kufariki 2022 tuligawana watoto sisi ndugu zake, hili tukio limefanya nimkumbuke marehemu dada yangu aliye fariki Kwa maumivu makubwa ya kansa akiwa mikononi mwangu, nawaza Bora kuachana na mke wangu kuliko kuacha mtoto wa dada ateseke ntakuwa nimemkosea dada.

Mke wangu alimchukua mtoto wa kaka yake anaishi hapa na anaelekea kumaliza form 4 Kwa Gharama zangu, ila mtoto wa upande wangu kashindwa kumlea Kwa miaka miwili tu,hii ni sawa kweli?

Halafu baada ya mtoto kuniambia kuwa yeye ndo alimpiga, muda wote saivi ni kumuangalia Kwa jicho Kali sana na kumwambia eti ametumwa aje kutugombanisha, mtoto wa miaka 8 anawezaje kutugombanisha?

Sikuwahi kumfikiria mke wangu kuwa anaweza fanya hiki alicho fanya kutokana na mambo ninayo wafanyia ndugu zake, na ndiyo maana huyu mtoto nilimleta hapa Kwa kuamini atamsimamia kama mwanae na kama anavyo wasimamia watoto wetu wawili.

Mpaka naogopa kwenda kazini na huyu mtoto kumuacha hapa, nahisi atampiga Yani
Pole sana mkuu.

Huyo mkeo ni mshamba sana, ana roho mbaya kuzidi shetani, ni mshenzi kuliko ushenzi wenyewe.

Anastahili kuwepo ndani sasa hivi maana ana kesi ya kujibu.

Madhara ya kutokea familia masikini na kujipata kidogo ndio hayo, mkeo anaona keshamaliza maisha kabisa.
 
Halafu kaka zetu kuna muda mnatufelisha sans, hiki kitu sio cha kuomba ushauri!!

Wewe ni Baba, kichwa cha familia kuwa na maamuzi ya kiume
 
Kama mjuavyo sisi wanaume mara nyingi ni kuamka asubuhi na mapema na kuondoka, na kurudi ni usiku, muda ambao Mimi nashinda nyumbani ni jumamosi na jumapili.

Usiku wa kuamkia Jana alhamis mtoto wa marehemu dada yangu alianza kulia sana chumbani, akalia sana mpaka ikabidi niamke niende chumbani kwao Ili nione Kuna nini, nilivyo fika nilimkuta kakaa chini huku wenzie wamelala, nikamwuliza Kuna nini? Akanijibu mguu unamuuma sana, ikabidi niuangalie mguu, aisee nilijikuta nalia na Mimi, mguu ulikuwa umevimba sana, nikamwuliza ilikuwaje? Akaniambia mke wangu alimpiga na kipande Cha tofali.

Pale pale nikaenda kumwamusha mke wangu kumwuliza hiki alicho fanya, akawa amekataa na kuanza kumfokea mtoto eti anataka kutugombanisha, Nikasema sawa, ila kwanini mguu unafikia hatua hii ina maana alikuwa hamuoni? Akawa amezidisha hasira eti natafuta sababu kama nime mchoka niseme arudi kwao, nikaona maneno yasiwe mengi ikabidi nimpakie mtoto kwenye gari nikampeleka hospital usiku ule ule, iligundulika kuwa mfupa wa mbele wa mguu uliachia kidogo akafungwa P.O.P.

Nilivyo rudi nyumbani asubuhi Jana hiyo asubuhi ilibidi nishinde nyumbani, ikabidi nifanye upelelezi mana Kuna vitu niliiona haviko sawa, ndo mpangaji wangu mmoja akaniambia kama Kuna sehemu naweza kumpeleka huyu mtoto Bora nimpeleke vinginevyo itatokea hatari kubwa, mtoto anateswa mno na mara nyingi shuleni haendi, na siku alivyo mpiga na tofari alikuwa amemtuma vitafunwa asubuhi akachelewa kurudi, tofari alimpiga mbele ya wapangaji siku tatu nyuma, na siku zote hizo hakwenda shule.

Nawaza mtoto nimpeleke wapi, marehemu dada yangu baada ya kufariki 2022 tuligawana watoto sisi ndugu zake, hili tukio limefanya nimkumbuke marehemu dada yangu aliye fariki Kwa maumivu makubwa ya kansa akiwa mikononi mwangu, nawaza Bora kuachana na mke wangu kuliko kuacha mtoto wa dada ateseke ntakuwa nimemkosea dada.

Mke wangu alimchukua mtoto wa kaka yake anaishi hapa na anaelekea kumaliza form 4 Kwa Gharama zangu, ila mtoto wa upande wangu kashindwa kumlea Kwa miaka miwili tu,hii ni sawa kweli?

Halafu baada ya mtoto kuniambia kuwa yeye ndo alimpiga, muda wote saivi ni kumuangalia Kwa jicho Kali sana na kumwambia eti ametumwa aje kutugombanisha, mtoto wa miaka 8 anawezaje kutugombanisha?

Sikuwahi kumfikiria mke wangu kuwa anaweza fanya hiki alicho fanya kutokana na mambo ninayo wafanyia ndugu zake, na ndiyo maana huyu mtoto nilimleta hapa Kwa kuamini atamsimamia kama mwanae na kama anavyo wasimamia watoto wetu wawili.

Mpaka naogopa kwenda kazini na huyu mtoto kumuacha hapa, nahisi atampiga Yani
Mpeleke shule ya boarding mtoto wa dada yako mambo yasiwe mengi.

Ww ndio mwanaume kuwa na sauti mwanamke mwenye roho mbaya hivyo hana tofauti na mchawi.
 
Kama mjuavyo sisi wanaume mara nyingi ni kuamka asubuhi na mapema na kuondoka, na kurudi ni usiku, muda ambao Mimi nashinda nyumbani ni jumamosi na jumapili.

Usiku wa kuamkia Jana alhamis mtoto wa marehemu dada yangu alianza kulia sana chumbani, akalia sana mpaka ikabidi niamke niende chumbani kwao Ili nione Kuna nini, nilivyo fika nilimkuta kakaa chini huku wenzie wamelala, nikamwuliza Kuna nini? Akanijibu mguu unamuuma sana, ikabidi niuangalie mguu, aisee nilijikuta nalia na Mimi, mguu ulikuwa umevimba sana, nikamwuliza ilikuwaje? Akaniambia mke wangu alimpiga na kipande Cha tofali.

Pale pale nikaenda kumwamusha mke wangu kumwuliza hiki alicho fanya, akawa amekataa na kuanza kumfokea mtoto eti anataka kutugombanisha, Nikasema sawa, ila kwanini mguu unafikia hatua hii ina maana alikuwa hamuoni? Akawa amezidisha hasira eti natafuta sababu kama nime mchoka niseme arudi kwao, nikaona maneno yasiwe mengi ikabidi nimpakie mtoto kwenye gari nikampeleka hospital usiku ule ule, iligundulika kuwa mfupa wa mbele wa mguu uliachia kidogo akafungwa P.O.P.

Nilivyo rudi nyumbani asubuhi Jana hiyo asubuhi ilibidi nishinde nyumbani, ikabidi nifanye upelelezi mana Kuna vitu niliiona haviko sawa, ndo mpangaji wangu mmoja akaniambia kama Kuna sehemu naweza kumpeleka huyu mtoto Bora nimpeleke vinginevyo itatokea hatari kubwa, mtoto anateswa mno na mara nyingi shuleni haendi, na siku alivyo mpiga na tofari alikuwa amemtuma vitafunwa asubuhi akachelewa kurudi, tofari alimpiga mbele ya wapangaji siku tatu nyuma, na siku zote hizo hakwenda shule.

Nawaza mtoto nimpeleke wapi, marehemu dada yangu baada ya kufariki 2022 tuligawana watoto sisi ndugu zake, hili tukio limefanya nimkumbuke marehemu dada yangu aliye fariki Kwa maumivu makubwa ya kansa akiwa mikononi mwangu, nawaza Bora kuachana na mke wangu kuliko kuacha mtoto wa dada ateseke ntakuwa nimemkosea dada.

Mke wangu alimchukua mtoto wa kaka yake anaishi hapa na anaelekea kumaliza form 4 Kwa Gharama zangu, ila mtoto wa upande wangu kashindwa kumlea Kwa miaka miwili tu,hii ni sawa kweli?

Halafu baada ya mtoto kuniambia kuwa yeye ndo alimpiga, muda wote saivi ni kumuangalia Kwa jicho Kali sana na kumwambia eti ametumwa aje kutugombanisha, mtoto wa miaka 8 anawezaje kutugombanisha?

Sikuwahi kumfikiria mke wangu kuwa anaweza fanya hiki alicho fanya kutokana na mambo ninayo wafanyia ndugu zake, na ndiyo maana huyu mtoto nilimleta hapa Kwa kuamini atamsimamia kama mwanae na kama anavyo wasimamia watoto wetu wawili.

Mpaka naogopa kwenda kazini na huyu mtoto kumuacha hapa, nahisi atampiga Yani
Fukuza kunguru .
 
Nini?? Huyo mwanmke mbona muuaji!!
Hivi unaweza kumpiga mtoto na tofari?
Kaka huyo mkeo hakufai anaweza kumuwekea hata sumu huyo mtoto.!!

Ninavyopenda watoto halafu nikisikia kesi km hizi naumia sana.!
Hebu kuwa na maamuzi ya kiume, mwambie km anaenda kwao aende tu.!
 
Kama mjuavyo sisi wanaume mara nyingi ni kuamka asubuhi na mapema na kuondoka, na kurudi ni usiku, muda ambao Mimi nashinda nyumbani ni jumamosi na jumapili.

Usiku wa kuamkia Jana alhamis mtoto wa marehemu dada yangu alianza kulia sana chumbani, akalia sana mpaka ikabidi niamke niende chumbani kwao Ili nione Kuna nini, nilivyo fika nilimkuta kakaa chini huku wenzie wamelala, nikamwuliza Kuna nini? Akanijibu mguu unamuuma sana, ikabidi niuangalie mguu, aisee nilijikuta nalia na Mimi, mguu ulikuwa umevimba sana, nikamwuliza ilikuwaje? Akaniambia mke wangu alimpiga na kipande Cha tofali.

Pale pale nikaenda kumwamusha mke wangu kumwuliza hiki alicho fanya, akawa amekataa na kuanza kumfokea mtoto eti anataka kutugombanisha, Nikasema sawa, ila kwanini mguu unafikia hatua hii ina maana alikuwa hamuoni? Akawa amezidisha hasira eti natafuta sababu kama nime mchoka niseme arudi kwao, nikaona maneno yasiwe mengi ikabidi nimpakie mtoto kwenye gari nikampeleka hospital usiku ule ule, iligundulika kuwa mfupa wa mbele wa mguu uliachia kidogo akafungwa P.O.P.

Nilivyo rudi nyumbani asubuhi Jana hiyo asubuhi ilibidi nishinde nyumbani, ikabidi nifanye upelelezi mana Kuna vitu niliiona haviko sawa, ndo mpangaji wangu mmoja akaniambia kama Kuna sehemu naweza kumpeleka huyu mtoto Bora nimpeleke vinginevyo itatokea hatari kubwa, mtoto anateswa mno na mara nyingi shuleni haendi, na siku alivyo mpiga na tofari alikuwa amemtuma vitafunwa asubuhi akachelewa kurudi, tofari alimpiga mbele ya wapangaji siku tatu nyuma, na siku zote hizo hakwenda shule.

Nawaza mtoto nimpeleke wapi, marehemu dada yangu baada ya kufariki 2022 tuligawana watoto sisi ndugu zake, hili tukio limefanya nimkumbuke marehemu dada yangu aliye fariki Kwa maumivu makubwa ya kansa akiwa mikononi mwangu, nawaza Bora kuachana na mke wangu kuliko kuacha mtoto wa dada ateseke ntakuwa nimemkosea dada.

Mke wangu alimchukua mtoto wa kaka yake anaishi hapa na anaelekea kumaliza form 4 Kwa Gharama zangu, ila mtoto wa upande wangu kashindwa kumlea Kwa miaka miwili tu,hii ni sawa kweli?

Halafu baada ya mtoto kuniambia kuwa yeye ndo alimpiga, muda wote saivi ni kumuangalia Kwa jicho Kali sana na kumwambia eti ametumwa aje kutugombanisha, mtoto wa miaka 8 anawezaje kutugombanisha?

Sikuwahi kumfikiria mke wangu kuwa anaweza fanya hiki alicho fanya kutokana na mambo ninayo wafanyia ndugu zake, na ndiyo maana huyu mtoto nilimleta hapa Kwa kuamini atamsimamia kama mwanae na kama anavyo wasimamia watoto wetu wawili.

Mpaka naogopa kwenda kazini na huyu mtoto kumuacha hapa, nahisi atampiga Yani
Huo ni ukatili dhidi ya mtoto kamripoti kituo cha polisi dawati la watoto na jinsia.

Ama mpeleke muonye mke wako kwamba akiendelea na ukatili dhidi ya huyo mtoto utamripoti kwenye mamlaka ya serikali kama ustawi wa jamii ili achukuliwe hatua nadhani ataogopa na ataacha ukatili.

Usishuhudie ukatili ukifanyika ama hata kwa kuhisi tu na sawa na wewe kushiriki ukatili huo kama hukutoa taarifa.
 
Mkeo ni mjinga sana ashawaza siku na yeye akitangulia mbele za haki watoto wake nao wateswe hivyo.

Kuna WANAWAKE ni wapumbavu sana kwenye hii Dunia, akili zao huwa zina funza.
 
Dah yaani
Aisee nina mtoto wa mume wangu anakujaga likizo umr wa miaka 12
Aiseee sionagi baya lake japo wanaokujaga ndo wanasema mtoto mkubwa hivi hajui hata kutoa chombo
Akimaliza kula,naonaga sawa tu maana hata wanangu naenda nao hivyo hivyo
Nasema kama wa kiume hawajui hizo kazi why mdogo hivi kisa wa kike awe anafanya hizo activities
Mi napenda watoto wa kike sana
Wa ndugu zangu natamani kuja kumchukua ni ishi nae kabisa

Aisee mtu anae enda physical kwa mtoto wa miaka nane si ni la pili??
Kwa nini anamkokota namna hiyo??
Dah aiseee
 
Back
Top Bottom