Powder
JF-Expert Member
- Jan 6, 2016
- 4,977
- 6,635
Huwajui Wanawake Mkuu...!Ongea na mkeo umuulize mtoto ana shida naye gani labda Kama ana muona jeuri na Kama kuna changamoto nyengine muitatue
Na umsisitize awe na upendo kwa huyo mtoto,inawezekana akabadilisha tabia yake
Ila ikishindikana chagua kumpa likizo mke au kumuhamisha mtoto
Kwa jinsi huyo Mwanamke alivyo hawezi kujenga Upendo na huyo Mtoto hata Kwa Bunduki...!
Just imagine na huyo ni Mtoto wa Marehemu Wifi yake, vipi kama ndo ingekua Jamaa alizaa nje ya Ndoa ama kabla ya Ndoa, si angeua Kabisa....!
Ni Ngumu kweli kumwacha Mke Kwa sababu Hiyo, ila ningekua Mimi....!
Ningemwambia Mke Kwa sababu ameshindwa kuishi na Mtoto wa Dada yangu ambaye ni Marehemu.
Na Kwa vile Mimi naishi Vizuri na Ndugu zake ama Watoto wa Ndugu zake ikiwepo kuwalipia Ada...! Na nafanya bila Kinyongo...!
Namwamisha huyu Mtoto hapa Nyumbani, na pale ninapomwamisha huyu Mtoto hapa Nyumbani, na yeye atafute pa kuwapeleka Ndugu za Mke wake,, Yani sitaki kuona Mtoto wa Ndugu yeyote hapa Nyumbani, na Huduma ya Ada nasitisha, sikuoa kuja kkutatua matatizo ya Ndugu zako, wakati wewe umeshindwa kuishi na Mtoto wa Marehemu Dada yangu...!
Huo ndo ungekua Msimamo, na siku namuondoa Mtoto wa Ndugu yangu ndo Siku Watoto wa Ndugu ya Mke wangu nao wataondoka...!
Na itakua marufuku kuishi na Watoto wa Ndugu zaidi ya Wageni wataokuja na Kukaa siku mbili ama tatu.
Kama ataona Utaratibu ni Mgumu, basi aondoke na Watoto wa Ndugu zake.