baby success
JF-Expert Member
- Jul 14, 2022
- 548
- 1,799
Ndoa ikikushinda jaribu kufuatilia kombe la dunia linaweza kukupa furaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thread closedUZI ULITAKIWA UISHIE HAPO KWENYE UMEOA (MRANGI)
UJue vijana tunakosea kujua tabia za makabila,
Huwezi kuishi na mke wa kirangi kama unavyoishi na mke mnyamwezi!
Huwezi ishi na mke wa kichaga kama unavyoishi na mke mzaramo!
Kila kabila lina mbinu zake, Tatizo kubwa lipo kwa waoaji wanaume sisi ndo hatutambui!
Kabla hujaoa kama huwezi kucheza na biti za hilo kabila kwanini unaoa?
Walangi ni wababe na ni watamu na ubabe wao , wachaga ni jeuri lakini ujeuli wao unafaida, wazaramo wana mauno wanafaida na mauno yao!
Ukitaka sofa za huku ulete kule utachemka tu!
Oweni wake wa matamanio yenu bhana mnatusumbua kutoa ushauri
Mke wa mengi, billgate,nk waume zao hawana pesa? Huu ni msemo wa kuwafariji masikini.Hakuna mwanamke mjeuri mbele ya mwanaume mwenye pesa
Msingi wa maisha ya ndoa unatakiwa uanze kuuweka pale tu mnapo anza kuishi pamoja ili mwanamke ajue nini unapenda na nini hupendelei; Ukisha poteza hiyo fursa, kuja kuianzisha baada ya miaka kadhaa umechelewa sana kwani unaonekana kama umebadilikaHabari zenu humu kwenye Jukwaa hili pendwa, mimi nimeoa mke ( Mrangi) na tumefanikiwa kupata watoto wa 3 wote wa kike sasa mke huyu mwaka wa 8 huu hajawahi kuniwekea maji bafuni wala kunufulia nguo zangu sasa watoto wangu hatimae wamekuwa na wameanza kijitambua, kinachoniuma ni kuona watoto wakishuhudia mimi kama baba wa familia nikiwa nafua nguo zangu mwenyewe mke nikimwambia anifulie wakati mwingine anajibu kabisa kuwa sifui hali hii inanishangaza na kunisikitisha sasa naombeni ushauri nioe mwingine au nifanyeje upendo kwake kiukweli haupo kutokana na anavyonidharau naomba ushauri wenu.
Nawasilisha.
Habari zenu humu kwenye Jukwaa hili pendwa, mimi nimeoa mke ( Mrangi) na tumefanikiwa kupata watoto wa 3 wote wa kike sasa mke huyu mwaka wa 8 huu hajawahi kuniwekea maji bafuni wala kunufulia nguo zangu sasa watoto wangu hatimae wamekuwa na wameanza kijitambua, kinachoniuma ni kuona watoto wakishuhudia mimi kama baba wa familia nikiwa nafua nguo zangu mwenyewe mke nikimwambia anifulie wakati mwingine anajibu kabisa kuwa sifui hali hii inanishangaza na kunisikitisha sasa naombeni ushauri nioe mwingine au nifanyeje upendo kwake kiukweli haupo kutokana na anavyonidharau naomba ushauri wenu.
Nawasilisha.
Siku Majukumu yote ya ndani mnawaachia dada wa Kazi kwani tumeoa dada wa Kazi. Kazi yenu kubwa ni kuweka rangi kucha, kuchat na kuangalia tathmilia tu.Kwani umesikia mke ni drycleaned kuwa akufulie ngue au make no chief kuwa akupikie... Wanaume tubadilike mitazamo na kusoma alama za nyakati... Sio mbaya mwanamke kukufanyia utakacho ila vingine kama unaweza Fanya mwenyewe tena kwa upendo mkubwa
Halafu hizo hela akishatafuta?Badala ya kutafuta hela we unataka uoe mke mwingine, uko sawa kichwani kweli?
Kwahiyo kama anakaa keko akaoge mto Msimbazi? AU kama anakaa Kongowe ya Mbagala akaoge mto Mzinga?Kwenda kuoga mtoni unaona nini?Yani kuwekewa maji ya kuoga ndiyo iwe habari?Nenda mtoni uoge.