Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
NA wewe mdharauHabari zenu humu kwenye Jukwaa hili pendwa, mimi nimeoa mke ( Mrangi) na tumefanikiwa kupata watoto wa 3 wote wa kike sasa mke huyu mwaka wa 8 huu hajawahi kuniwekea maji bafuni wala kunufulia nguo zangu sasa watoto wangu hatimae wamekuwa na wameanza kujitambua, kinachoniuma ni kuona watoto wakishuhudia mimi kama baba wa familia nikiwa nafua nguo zangu mwenyewe mke nikimwambia anifulie wakati mwingine anajibu kabisa kuwa sifui hali hii inanishangaza na kunisikitisha sasa naombeni ushauri nioe mwingine au nifanyeje upendo kwake kiukweli haupo kutokana na anavyonidharau naomba ushauri wenu.
Nawasilisha.
Mkuu ebu idadavue kidogo hii kituMwanaume yeyeto asiyeheshimika na mke wake hawezi kuwa na maendeleo. KILA nyuma ya maendeleo ya mwanaume yupo mwanamke na kinyume chake pia.
Hakuna mwanamke mjeuri mbele ya mwanaume mwenye pesa
Noma sana!Mrangi??
Anyway, huyo mpandishe cheo awe mke mkubwa tena mtafutie mrangi mwenzake walogane vizuri.
Mwanaume yeyeto asiyeheshimika na mke wake hawezi kuwa na maendeleo. KILA nyuma ya maendeleo ya mwanaume yupo mwanamke na kinyume chake pia.
Kwahiyo nitafute mwingine, Mkuu nimefika mwisho
Kwa nn uoe tafuta dada wa kazi mpime ukimwi na magonjwa mengineHabari zenu humu kwenye Jukwaa hili pendwa, mimi nimeoa mke ( Mrangi) na tumefanikiwa kupata watoto wa 3 wote wa kike sasa mke huyu mwaka wa 8 huu hajawahi kuniwekea maji bafuni wala kunufulia nguo zangu sasa watoto wangu hatimae wamekuwa na wameanza kujitambua, kinachoniuma ni kuona watoto wakishuhudia mimi kama baba wa familia nikiwa nafua nguo zangu mwenyewe mke nikimwambia anifulie wakati mwingine anajibu kabisa kuwa sifui hali hii inanishangaza na kunisikitisha sasa naombeni ushauri nioe mwingine au nifanyeje upendo kwake kiukweli haupo kutokana na anavyonidharau naomba ushauri wenu.
Nawasilisha.
Ili mwanaume awe na maendeleo anategemea utulivu wa mke nyumbani, nyumba yeyeto yenye vurugu na kelele malaika wa pesa au ridhiki akai nyumba hio.Mwanamke anapokuwa positive anakujaza nguvu za kiroho za utafutaji.
Kazi kwakoMkuu mbona mimi Baba yangu siyo Muislamu na ana wake wawili, Babu yangu pia siyo Muislamu lakini kaoa wake wa3
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Binafsi Mimi sipendagi dharau. Huwa Niko straight sana. Maisha magumu sana. Sasa kuishi kwa kumlamba mwanamke miguu hapana. Unajua wanaume tunaumia sana lakini bado Huwa tunajipa moyo eti ndio uanaume.. sio kweli, tunakuwa mishumaa tu!Habari zenu humu kwenye Jukwaa hili pendwa, mimi nimeoa mke ( Mrangi) na tumefanikiwa kupata watoto wa 3 wote wa kike sasa mke huyu mwaka wa 8 huu hajawahi kuniwekea maji bafuni wala kunufulia nguo zangu sasa watoto wangu hatimae wamekuwa na wameanza kujitambua, kinachoniuma ni kuona watoto wakishuhudia mimi kama baba wa familia nikiwa nafua nguo zangu mwenyewe mke nikimwambia anifulie wakati mwingine anajibu kabisa kuwa sifui hali hii inanishangaza na kunisikitisha sasa naombeni ushauri nioe mwingine au nifanyeje upendo kwake kiukweli haupo kutokana na anavyonidharau naomba ushauri wenu.
Nawasilisha.
Na wewe ni mwanaume kweli? Au umeolewa ety?Habari zenu humu kwenye Jukwaa hili pendwa, mimi nimeoa mke ( Mrangi) na tumefanikiwa kupata watoto wa 3 wote wa kike sasa mke huyu mwaka wa 8 huu hajawahi kuniwekea maji bafuni wala kunufulia nguo zangu sasa watoto wangu hatimae wamekuwa na wameanza kujitambua, kinachoniuma ni kuona watoto wakishuhudia mimi kama baba wa familia nikiwa nafua nguo zangu mwenyewe mke nikimwambia anifulie wakati mwingine anajibu kabisa kuwa sifui hali hii inanishangaza na kunisikitisha sasa naombeni ushauri nioe mwingine au nifanyeje upendo kwake kiukweli haupo kutokana na anavyonidharau naomba ushauri wenu.
Nawasilisha.
Daa! Huu ushauri ni komeshaJipigepige kifua ujisemee kuwa wewe ni mpumbavu
Ndo hivyo mkuu hawa viumbe ni pasua kichwaDaah!
Kabisaa mzeee kazi ndogo sana hizi mke anakazi nyingi so kazi kama hizi unamsaidia tuKatika vitu sivipendi ni kama hivyo ,kuwekewa maji bafuni ,kunawishwa mikono ,kutengewa chakula ,kufuliwa nguo hapana ,mimi wife apike tu na kuosha vyombo tu,hayo mambo madogo madogo nafanya mwenyewe labda aamue mwenyewe ila sijawai kumwambia nipeleke maji.