Mke wangu ananifuatilia FB

Kumbe wanaong'ang'ania kukagua Simu za wapenzi wao wanakuwa si waaminifu eeh?

Pole sana kaka, mara nyingi macheaters ndio wanaoongoza kuwa na wivu!
 
IGWE jua kwamba huyu sio demu wangu, ni MKE wa ndoa na hapo ndipo nashindwa nifanye nini na kuamua kuwaomba ushauri
<br /> <br / mtandike kama humjui then mtimulie mbali, mke gani anamegwa hovyohovyo? Hy hana tofauti na jibwa koko.
 

NN twapaswa kutatua tatizo badala ya kulikimbia...... Atakimbia social networks ngapi? Maendeleo yatakua yanasonga sisi tunarudi hatua tatu nyuma na kujipongeza kama alivyosema Prof J.....

Kimsingi hapo jamaa yeye ndo anajua root of the prob. Naamini hajasema yote...... Ameonyesha kidogo tu kwamba there's a marital infidelity...... Kutoka kwa wote na hususani kwa mwenza wake.... Na it appears hawajakaa na kuongea.... Anasubiri wamarekani watoe tena mafungu ya matangazo ya kuhamasasisha wanandoa au waliok ktk uhusiano kukaa na ku-discuss kuhusu mahusiano yao??????????
 
huwezi kuishi bila FB? wengine tulishasahau kitu inaitwa FB!!
 
huwezi kuishi bila FB? wengine tulishasahau kitu inaitwa FB!!

kumbuka alianzia katika simu, je ningeacha kutumia simu ili yaishe? akahamia kuwa nina wapenzi kazini, je ningeacha kazi pia ili aniamini?
 

Kwangu Facebook haina umuhimu wowote na siifagilii. Ninaweza kuishi bila nayo.
 
Kwangu Facebook haina umuhimu wowote na siifagilii. Ninaweza kuishi bila nayo.

NN kumbuka huko awali aliwahi kunituhumu kwa kutumia simu, je ningeacha kutumia simu? n baadae akadai kazini nina wapenzi, je ningeacha kazi pia? leo faceboo na kesho itakuwa kingine, kila kitu niwe nakiacha??
 
kumbuka alianzia katika simu, je ningeacha kutumia simu ili yaishe? akahamia kuwa nina wapenzi kazini, je ningeacha kazi pia ili aniamini?

daaah huyo wako kiboko.. hawa watu ni vigumu sana kuwaelewa japo sio wote! ukiona mtu anakushuku sana ujue yeye ndio anafanya hivyo
 
Mie Mlutheri, Mke mmoja maisha yote na hapo ndipo pananikosesha amani kila ninapofikiria kumuacha

Haya mambo ya kukariri hayana maana kabisa_wanandoa hawataachana ila kwa uzinifu(ugoni),....kama anamegwa na ushahidi unao achana nae,...ila mm hata kama nikifunga ndoa leo halaf kesho nikagundua mama igwe kamegwa_hapo hapo ni ooshhhh_koshiiii....sipendi maisha ya kujitesa wakati kuna way out
 
NN kumbuka huko awali aliwahi kunituhumu kwa kutumia simu, je ningeacha kutumia simu? n baadae akadai kazini nina wapenzi, je ningeacha kazi pia? leo faceboo na kesho itakuwa kingine, kila kitu niwe nakiacha??

Kwani ulikuwa unaificha ficha na kumkataza kuishika simu yako?
 
Hii story ya upande mmoja.why mkeo akufuatilie.inawezekana na ww hujatulia
 
Kwani ulikuwa unaificha ficha na kumkataza kuishika simu yako?

Sijamkataza, lakini ilikuwa akiishika asione msg toka kwa msichana yoyote hata ikiwa ni salamu tu patachimbika. baada ya simu kahamia kazini eti kaambiwa nano nina wanawake kibao
 
Hii story ya upande mmoja.why mkeo akufuatilie.inawezekana na ww hujatulia

Fe, siwezi kupingana na hisia zako, lakini kama umesoma vema posti utakuwa umeelewa kuwa kote anakofanya mie nikigusa tu namgundua kufanya uchafu. Kwenye simu nikagundua na akakiri, kutembea na rafiki yangu nikagundua na akakiri pia. Ninachohisi ni kwamba anahisi yale anayoyafanya basi na mie nayafanya pia kitu ambacho sio
 
Sijamkataza, lakini ilikuwa akiishika asione msg toka kwa msichana yoyote hata ikiwa ni salamu tu patachimbika. baada ya simu kahamia kazini eti kaambiwa nano nina wanawake kibao

Lakini kwa nini kama umeoa uachie/ uruhusu wasichana wawe wanakutumia salamu kwenye simu yako? Wewe huoni kama ulimpa sababu ya kukushuku?
 
mbona hyo ipo wazi kabisaa? Mkeo ana mahawara fb na kwingineko. Halafu wewe ni mwanaume hebu kuwa serious (mkali) na mkeo. Kakupanda kichwani then anamegwa. Kha!
 
Lakini kwa nini kama umeoa uachie/ uruhusu wasichana wawe wanakutumia salamu kwenye simu yako? Wewe huoni kama ulimpa sababu ya kukushuku?

NN unataka kusema kwakuwa nimeoa basi sitakiwi kusalimiwa na wasichana wa aina yoyote? mfano wale tuliosoma nao, wale tunaotoka nao kijiji kimoja ama mkoa mmoja? wale niliowahi kukutana nao kwenye mikutano ya kikazi il mradi tu eti mke wangu asione nawasiliana na msichana yoyote???? Tena sio msg ya mapenzi ama dalili ya kuwepo mapenzi, salamu tu???
 


Mkuu...
Unasema kwamba u mtakatifu katika uhusiano wenu?
Kwamba huna noma?
Kwamba unasamehe noma zote?
 

Mimi kwa kweli sidhani kama ni busara ku maintain mawasiliano na wana wa jinsia tofauti ilihali umeoa. Maneno yangu yanatokana na maoni yangu. Hivyo ndivyo nionavyo mimi. Wengine wanaweza wakaona tofauti.

Mwisho wa siku kila mtu na maisha yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…