nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Kuna siku mme wangu alipropose tujitoe FB nikamuhoji kwa nini; hakuwa na strong arguments. Mimi nikaisifu kuwa inasaidia ku connect na marafiki zetu wa siku nyingi wengine wa primary school ambao hatukutarajia kucommunicate nao tena.
Ila sasa naanza kushawishika. Kwanza mimi sifungui FB mpaka nikute e mail alert kuwa nina message; hence am not addicted to it at all. Ngoja nimwambie tujitoe ila sijuhi kama atakubali maana naona sasa amekuwa engaged sana na hiyo kitu kuliko mimi niliepinga.
Kweli unajua hii yaweze kufanya ma ex kurudiana. Hasara ni kubwa kuliko faida ya kuwa FB.
Ila sasa naanza kushawishika. Kwanza mimi sifungui FB mpaka nikute e mail alert kuwa nina message; hence am not addicted to it at all. Ngoja nimwambie tujitoe ila sijuhi kama atakubali maana naona sasa amekuwa engaged sana na hiyo kitu kuliko mimi niliepinga.
Kweli unajua hii yaweze kufanya ma ex kurudiana. Hasara ni kubwa kuliko faida ya kuwa FB.
Achana na Facebook.
Facebook imekuwa chanzo cha mitafaruku mingi sana kwenye mahusiano. Mimi kama mimi sipo huko Facebook. Nipo ila nipo ki JF zaidi. Natumia jina la Nyani Ngabu na hata hivyo sijaingia huko tokea sijui lini..hata sikumbuki.
Watu huko huuza sura tu. Kila leo wanabandika mapicha yao halafu wanasubiri kumwagiwa misifa...ooh sijui you are beautiful...sijui I miss you...mara you look gorgeous...sasa kaka hebu fikiria kidogo. Yaani kama una mwenzako yuko huko halafu minjemba inamwagia misifa hivyo utapata amani kweli moyoni na akilini mwako? Vivyo hivyo kwako. Kama wachuchu wanakumwagia misifa kem kem mkeo au mpenzio unadhani atakuwa na amani kweli? Mimi sidhani hata kidogo.
Uamuzi wa mwisho ni wako. Ukiamua kubaki..poa tu...ukiamua kuachana nayo...na yenyewe haina ubaya. Mwisho wa siku pima uone jambo lipi ni la muhimu zaidi na fanya uamuzi kulingana na majibu utakayopata.