Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Kwamba shangaziyo alijua umebadili jina,day nimecheka sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashangazi wana balaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Mzee wa jamaa hakuona tatizo ila dada zake sasa.. Lakini pia sio tabia nzuri kwamba Kuonesha wao ndo wanapendana sana au ndp uzungu??? Hapo msibani alisikia nani mwingine wanaitama hivyo na mumewe???Kwamba shangaziyo alijua umebadili jina,day nimecheka sana.
Huu ni mwaka wa 10 nikiwa na mke wangu na tuna watoto watatu, tunaitana Dear miaka yote tangu tukiwa wapenzi mpaka sasa, iwe mbele ya ndugu zangu au ndugu zake hata wazazi na sijawahi kuhisi vibaya naona poa tu hata watoto wetu wamezoea, sijawahi kumuita mama flani au kuitwa baba flani au hata kuitana majina.
Sasa sijui kwako shida inatoka wapi?
Hahahhahahah sina mashaka kabisa jamaa atakuwa kachiziiTeh teh teh teh teh..😂😂😂..huyu mwamba kuna 'fyuzi' imelegea kichwani haaaa haaa haaaa 😂😂
Jaribu kujitahidi uwe mbali na ushamba ili ufurahie maisha yako na mkeoNdugu zanguni wa JF baadhi mtaniwia radhi wale ambao hawa tapendezwa na hulka yangu hi.
Nimeka na mke wangu sasa takribani miaka 11 baada ya ndoa ya kwanza kushindikana, huyu mke wangu nyumbani huniita hny jina ambalo na lichukulia
😂😂😂mdau kakaa na mkewe miaka 11 ila mwaka huu ndo kaenda nae kijijini sijui mnawaza nachokiwaza hapaNdugu zanguni wa JF baadhi mtaniwia radhi wale ambao hawa tapendezwa na hulka yangu hi.
Siku ukifukuzwa kazi uliyonayo hapo ndipo itakapokuwa mwisho wa jina hilo.Ndugu zanguni wa JF baadhi mtaniwia radhi wale ambao hawa tapendezwa na hulka yangu hi.
Nimeka na mke wangu sasa takribani miaka 11 baada ya ndoa ya kwanza kushindikana, huyu mke wangu nyumbani huniita hny jina ambalo na lichukulia kuwa la utani na upendo na c mind sana na mimi humiita my......
Na mie nashangaa hapo. [emoji23][emoji23][emoji23]Huu ni mwaka wa 10 nikiwa na mke wangu na tuna watoto watatu, tunaitana Dear miaka yote tangu tukiwa wapenzi mpaka sasa, iwe mbele ya ndugu zangu au ndugu zake hata wazazi na sijawahi kuhisi vibaya naona poa tu hata watoto wetu wamezoea, sijawahi kumuita mama flani au kuitwa baba flani au hata kuitana majina.
Sasa sijui kwako shida inatoka wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umekaa miaka 11 kwenye n abado unaomba ushaufi wa kijinga hivyo?![emoji15][emoji15][emoji15]
Kwa kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo shangazi yako angepata wa kubebika nae angepunguza gubu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi alikuaga ananiita 'baby'.....nikafanya ujinga kama wako siku hizi ananiita 'babaake'
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uwe unaitika haraka haraka kabla wengi hawajasikia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akaaaah sitaki mie lolLabda anaogopa wazazi wake wataona wamefananishwa na nyuki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe na ndugu zako, mambo yake muachieni mwenyewe...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu lolSawa kabisa mkuu,Mimi mtoto wangu wa kiume nikisikia anamwita mama yake mamiiii ile ya kuvuta nakasirika kinoma. Mkishakuwa na watoto itaneni baba au mama Fulani inatosha.
Kwani leo imekuwaje? Naona unanifuata hadi bafuni. Angalia babu anaoga utapata laana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akaaaah sitaki mie lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unachukia nini sasa mtoto kumuita hivo mamy ake [emoji2]
Sasa si waachane, kila mtu atafute wa type yake lol.Ila wengine wamezidi jamani
Sisi waafrika tuna mila zenye staha kidogo sio kama hao wazungu tunaowaiga wanaopigana denda hata mbele ya wazazi wao.
Kuna mmoja huyo tuko msibani anakazana tu kumuita mumewe Darling na kujibebisha hovyohovyo mbele za watu.
Sisi wanaume wa kiafrika hayo mambo hatujayazoea jamani, kuna mazingira hua tunaona ni kero.