CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,048
- 7,608
Muite budahMambo vipi honey
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muite budahMambo vipi honey
Sawa mkuu ila sio kila mahara kuniita hivyo awe anaangalia na mazingira ya kuniitia, kweli tuko kwenye msiba unaanza kuniita jina la mahabah citaki hivo unaonyesha nini?Wewe una tatizo kubwa mkuu.Hilo ni jambo la kufurahia na hata kupeleka sadaka ya shukrani kanisani na siyo kunungunika unless kama ulioa mtu usiyempenda.
Mimi nina miaka kama saba kwenye ndoa nafurahia sana wife akiniita atakavyo hata iwe kanisani kwenye umati wa kutosha.
[emoji1787][emoji1787] pole mkuuSawa kabisa mkuu,Mimi mtoto wangu wa kiume nikisikia anamwita mama yake mamiiii ile ya kuvuta nakasirika kinoma. Mkishakuwa na watoto itaneni baba au mama Fulani inatosha.
Kuna jamaa anaitwaga mbele ya ya yeyote "we Mbwa" sijui yy aweke wapi bandiko lake!!!Ndugu zanguni wa JF baadhi mtaniwia radhi wale ambao hawa tapendezwa na hulka yangu hi.
Nimeka na mke wangu sasa takribani miaka 11 baada ya ndoa ya kwanza kushindikana, huyu mke wangu nyumbani huniita hny jina ambalo na lichukulia kuwa la utani na upendo na c mind sana na mimi humiita my......
Sasa majuzi tulienda nyumbani kijijini kuhani pia na tulikuwa na kikao cha kujuana kama wana ukoo, ni mara yake ya kwanza kuenda nae kijijini kwetu, ila jambo lilonikera kwa mke wangu ni kunifuata fuata kila napoenda kukaa na ndugu kupiga stori na asiponiona kuniita kwa sauti honieeee ndgu wote walikua kimya, kumsikiliza yeye hana muda wa kushangaaa au kushituka kabisa.
Kuna shangazi moja anae mfuata Baba angu kaniita na kuniuliza mwanangu ulibadili jina siku zote tunakujua unaitwa fulani au baba fulani mbona nasikia jina jipya? Sikumpa jibu la moja kwa moja......
Sio kutokua romantic nataka kumwambia mke wangu aache kuniita hivyo mbele za watu hususani ndugu zangu na staki kumkatisha tamaa kwasababu ananiita kwa hisia kali (out of emotion) ila hajui kujicontrol kujua wapi pakuniitia hayo majina yake, naomba ushauri nimuanze je huyu mke wangu bila kumuathiri kihisia na kisaikolojia.
Kwamba ndugu wanapata karaha na chuki mkeo akikuita honey 🙄, hiyo relation ni yako na mkeo au na ndugu nao wamo humo humo?!!Soma hoja yangu sio kuiitwa hilo jina hapana tatizo ni mazingira anao niitia hilo jina, inakua kero, kwamiaka yote ananiita hivo tukia home sina shida nalo ila tukiwa msibani kwa ndgu na jamaa nikama linaleta karaha na chuki kwao.
unachukia nini sasa mtoto kumuita hivo mamy ake 😃Sawa kabisa mkuu,Mimi mtoto wangu wa kiume nikisikia anamwita mama yake mamiiii ile ya kuvuta nakasirika kinoma. Mkishakuwa na watoto itaneni baba au mama Fulani inatosha.
Ndgu ni muhimu katika relation zetu za kiafrixa ukitenga ndgu umejitenga wewe mwenyewe, huyu mama mke wo sio ndgu wako wakudumu mda wowote anakugeuka, usibugudhi ndgu zo kwaajili ya mke wako.Kwamba ndugu wanapata karaha na chuki mkeo akikuita honey [emoji849], hiyo relation ni yako na mkeo au na ndugu nao wamo humo humo?!!
[emoji28][emoji28][emoji28]Hili unataka wana JF wakushauri?? Nini kazi ya hilo boga juu ya shingo??[emoji848]
[emoji28][emoji28]Mi alikuaga ananiita 'baby'.....nikafanya ujinga kama wako siku hizi ananiita 'babaake'
Skye[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Raha sana uku jaman[emoji1787][emoji1787]Ataanza kukuita covaaaaa wewe covaaaa uko wapi si hutaki kuitwa honey eeh
Hili unataka wana JF wakushauri?? Nini kazi ya hilo boga juu ya shingo??[emoji848]
okay honeyNdgu ni muhimu katika relation zetu za kiafrixa ukitenga ndgu umejitenga wewe mwenyewe, huyu mama mke wo sio ndgu wako wakudumu mda wowote anakugeuka, usibugudhi ndgu zo kwaajili ya mke wako.
Yaan mtu kukuita honey ndo unaonekana umetawaliwa na mwanamke? Aisee baadhi ya wanaume wa kibongo ni shida na masikitiko. Duuh[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Ahsante mkuu, kwakweli mbele ya watu unainekana kama mtu ambaye kasha tekwa na unatawaliwa na mke,
Ila wengine wamezidi jamaniacha gubu
unataka akamuite nani
kuna nini cha ajabu hapo???
Mtu kaitwa honey, kaja kuanzisha uzi anataka ashauriwe. Eti na yeye ameoa!
Mwambie aanze kukuita mmbwa
Nyie raia mmetisha?....teh teh teh teh teh...😂😂😂Hili unataka wana JF wakushauri?? Nini kazi ya hilo boga juu ya shingo??🤔
Teh teh teh teh teh..😂😂😂..huyu mwamba kuna 'fyuzi' imelegea kichwani haaaa haaa haaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 we jamaa hii Id yako bana sikuisoma mkuu upo sawa kweli!😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅
Imagine 🤣🤣🙌🏽Hili unataka wana JF wakushauri?? Nini kazi ya hilo boga juu ya shingo??🤔