Mke wangu ananinyima tendo la ndoa bila sababu ya msingi

Kama ni kweli hiyo ndoa haitadumu tayari ina ufa. Ni mapema mno kunyimana utamu. Huyo jamaa cha kufanya angetafuta chepuko fulani la kutoa ugwadu ili akinyimwa homu anakula kubisi tu kimya huku akiendelea kuishi na mke wake. Si vema sana kuwa na mchepuko ila ikibidi unakuwa nae kama mke hataki kutoa uroda. Unafika hom unaomba utamu akikataa unaenda kwa mchepuko anakupa unarudi nyumbani mwepesi huhangaiki kuomba mke ambaye hataki. Moja ya sababu kuu ya kuwa na ndoa ni kupiga shoo tu kwa uhuru na amani. Ndoa bila shoo ni vurugu
 
Shida Iko hapo kwenye kutunishiana misuri!
 
Duh ndoa zina mambo mengi sana, hapo tafuta kidemu nje uwe unajipigia tu yan ni kupeleka moto mwanzo mwisho unarud zako nyumbani kimya maisha yanasonga
Kidume mzima unaanza kumuomba mkeonpapuchi ni ujinga uliopitiliza. Mke hakupi mbushsu wee gegeda huko nje na huduma ndani ya nyumba unapunguza taratibu.
 
Pole nioe mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…