Mke wangu ananinyima unyumba, haniheshimu na anatoa siri zetu za ndani kwa nduguze

Mke wangu ananinyima unyumba, haniheshimu na anatoa siri zetu za ndani kwa nduguze

mkuu karne hii unatafutiwa mke wakuoaa alihali mzigo ndio unakaa nao ndani ama kweli umebeshwa gunia la misumari alihali una upara.
Pole sana wajulishe hao waliokutafutia huyo mke wajue hali unayopitia ....ila mwanamke kama unamsugua vyema mbususu hawezi kukunyima kamwe labda pengine hana hisia na wewe"
Je ulimkuta bikra?
Hapana hakuwa bikra
 
wasalamu wakuu.
Ni hivi huyu binti kanichosha.
tukiwa kitandani usiku ana vitimbi sio poa. Nikimgusa au kumtomasa ananitolea kauli za Ajabu mara utasikia wewe hebu niache mara mambo gani hayo mi sitaki. Wakati mwingine nikimshika anaukamata Mkono wangu na kuurusha kutoka kwenye mwili. Nambembeleza Sana lakini Lakin wapi naumbulia Mzungu wa Nne. !! imefika muda namwambia your not romantic hata kidogo eti kunipa Utamu mpaka ajisikie mwenyewe ndo utasikia haya leo tufanye sasa.
Juzi nilimtumia meseji nzuri ya Mahaba jinsi ninavyoikubali K yake huku nikimuelekeza jinsi ya Kufinyia kwa ndani binti akanijibu "Hivi wewe ni mjinga umechanganyikiwa" aisee nilichoka kabisa. Hapa nilipo Sina hamu tena.
Huyo binti ni Mke Wangu nilie-mtolea mahari. Kwa lugha nyepesi ananinyima unyumba au kunipangia siku za kunipa.
Nafikiria kumrudisha kwao maana hata kuzaa aliniambia atazaa baada ya Miaka miwili eti hawezi kuingia kwenye Ndoa na kukimbilia kuzaa.
Pia heshima yake kwangu ni ndogo Sana. Anapenda kunibishia ndani ya nyumba hatusikilizani. Muda mwingi yupo busy anachat na Mama ake na Ndugu zake wengine. Anapenda kutoa Siri za ndani kwetu yaani nikikwama kidogo tayari kashamwambia mama ake au dada ake "Hela yenyewe hamna leo kaniachia 2000" [emoji24][emoji24]


Kabla sijachukua maamuzi magumu tafadhali naomba mnishauri vipi Kuna mke kweli hapa. Au napoteza muda.
Namimi ni muhanga wa hiki kitu
 
wasalamu wakuu.
Ni hivi huyu binti kanichosha.
tukiwa kitandani usiku ana vitimbi sio poa. Nikimgusa au kumtomasa ananitolea kauli za Ajabu mara utasikia wewe hebu niache mara mambo gani hayo mi sitaki. Wakati mwingine nikimshika anaukamata Mkono wangu na kuurusha kutoka kwenye mwili. Nambembeleza Sana lakini Lakin wapi naumbulia Mzungu wa Nne. !! imefika muda namwambia your not romantic hata kidogo eti kunipa Utamu mpaka ajisikie mwenyewe ndo utasikia haya leo tufanye sasa.
Juzi nilimtumia meseji nzuri ya Mahaba jinsi ninavyoikubali K yake huku nikimuelekeza jinsi ya Kufinyia kwa ndani binti akanijibu "Hivi wewe ni mjinga umechanganyikiwa" aisee nilichoka kabisa. Hapa nilipo Sina hamu tena.
Huyo binti ni Mke Wangu nilie-mtolea mahari. Kwa lugha nyepesi ananinyima unyumba au kunipangia siku za kunipa.
Nafikiria kumrudisha kwao maana hata kuzaa aliniambia atazaa baada ya Miaka miwili eti hawezi kuingia kwenye Ndoa na kukimbilia kuzaa.
Pia heshima yake kwangu ni ndogo Sana. Anapenda kunibishia ndani ya nyumba hatusikilizani. Muda mwingi yupo busy anachat na Mama ake na Ndugu zake wengine. Anapenda kutoa Siri za ndani kwetu yaani nikikwama kidogo tayari kashamwambia mama ake au dada ake "Hela yenyewe hamna leo kaniachia 2000" [emoji24][emoji24]


Kabla sijachukua maamuzi magumu tafadhali naomba mnishauri vipi Kuna mke kweli hapa. Au napoteza muda.
Chukua maamuzi magumu kisha uje kutuomba ushauri hapa
 
Hatukakaa kwenye Uchumba. Nilifahamiana nae kwa muda wa wiki Moja nikaoa. Maana nilienda kuoa Kikabila huko kijijini kwetu. Hata kukutana nae tulikutanishwa na Wakubwa wetu.
Kwisha habari yako...

Yaani karne hii bado unataftiwa mke?

Ebu acha utani rudisha mke wa watu na ukatafte wako

Huyo hakupendi na hatokaa akupende...umelala yooooo
 
Hatukakaa kwenye Uchumba. Nilifahamiana nae kwa muda wa wiki Moja nikaoa. Maana nilienda kuoa Kikabila huko kijijini kwetu. Hata kukutana nae tulikutanishwa na Wakubwa wetu.
Hapa ndo tatizo lilipoanzia .ulioaje kabla hujajua kama utaweza kuishi nae
 
Wewe unajuaje kuwa anawasiliana na Nduguze na Mamake na kuwaambia kuwa umeacha pesa ndogo nyumbani?

Ila Binti dizaini anakudharau na hana hisia na wewe. Uwezekano kuwa unato*mb*ewa ni mkubwa pia.

Pole!
 
wasalamu wakuu.
Ni hivi huyu binti kanichosha.
tukiwa kitandani usiku ana vitimbi sio poa. Nikimgusa au kumtomasa ananitolea kauli za Ajabu mara utasikia wewe hebu niache mara mambo gani hayo mi sitaki. Wakati mwingine nikimshika anaukamata Mkono wangu na kuurusha kutoka kwenye mwili. Nambembeleza Sana lakini Lakin wapi naumbulia Mzungu wa Nne. !! imefika muda namwambia your not romantic hata kidogo eti kunipa Utamu mpaka ajisikie mwenyewe ndo utasikia haya leo tufanye sasa.
Juzi nilimtumia meseji nzuri ya Mahaba jinsi ninavyoikubali K yake huku nikimuelekeza jinsi ya Kufinyia kwa ndani binti akanijibu "Hivi wewe ni mjinga umechanganyikiwa" aisee nilichoka kabisa. Hapa nilipo Sina hamu tena.
Huyo binti ni Mke Wangu nilie-mtolea mahari. Kwa lugha nyepesi ananinyima unyumba au kunipangia siku za kunipa.
Nafikiria kumrudisha kwao maana hata kuzaa aliniambia atazaa baada ya Miaka miwili eti hawezi kuingia kwenye Ndoa na kukimbilia kuzaa.
Pia heshima yake kwangu ni ndogo Sana. Anapenda kunibishia ndani ya nyumba hatusikilizani. Muda mwingi yupo busy anachat na Mama ake na Ndugu zake wengine. Anapenda kutoa Siri za ndani kwetu yaani nikikwama kidogo tayari kashamwambia mama ake au dada ake "Hela yenyewe hamna leo kaniachia 2000" [emoji24][emoji24]


Kabla sijachukua maamuzi magumu tafadhali naomba mnishauri vipi Kuna mke kweli hapa. Au napoteza muda.
Wanawake wengi sana muache....toa mahali kwingine oa

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
tafuta mtaalamu wa nyota aangalie nyota yako na yake au Google jinsi ya jumla limbwata au kamroge
 
Back
Top Bottom