Mke wangu ananinyima unyumba, ni mwaka wa 2 sasa nifanyaje?

Mke wangu ananinyima unyumba, ni mwaka wa 2 sasa nifanyaje?

holoholo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
1,859
Reaction score
2,986
Wakuu,
Nilioa na nina miaka 7 kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.

Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa, mara amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.

Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida, lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali.

Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba, ila ndiyo hivyo.

Wazazi wangu, viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale.

Nifanye nini wakuu, je niachane nae, nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?

Nasoma comments.
 
Wakuu
Nilioa na nina miaka 7kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.

Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa,mala amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.

Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida,lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali

Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba,ila ndiyo hivyo.

Wazazi wangu,viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale,

Nifanye nini wakuu, je niachane nae,nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?

Nasoma comments.
Wewe ni mwanaume kabisa au tuwaze tofauti?
 
Wakuu
Nilioa na nina miaka 7kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.

Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa,mala amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.

Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida,lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali

Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba,ila ndiyo hivyo.

Wazazi wangu,viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale,

Nifanye nini wakuu, je niachane nae,nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?

Nasoma comments.
Hujaoa ACHA kutufanya wajinga wote humu
Ukiona uwezi andika UPUUZI huu miaka miwili Jf uje kukusaidia nn KWENYE ndoa
 
Wakuu
Nilioa na nina miaka 7kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.

Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa,mala amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.

Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida,lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali

Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba,ila ndiyo hivyo.

Wazazi wangu,viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale,

Nifanye nini wakuu, je niachane nae,nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?

Nasoma comments.
una matatizo ya problem

 
Wakuu
Nilioa na nina miaka 7kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.

Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa,mala amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.

Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida,lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali

Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba,ila ndiyo hivyo.

Wazazi wangu,viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale,

Nifanye nini wakuu, je niachane nae,nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?

Nasoma comments.
Vuta kitu ingine
 
Tafuta mwanamke mwengine hakikisha anakupigia simu kila unaporudi nyumbani na wewe ongea kimahaba kabisa tena mbele yake
 
Wakuu
Nilioa na nina miaka 7kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.

Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa,mala amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.

Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida,lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali

Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba,ila ndiyo hivyo.

Wazazi wangu,viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale,

Nifanye nini wakuu, je niachane nae,nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?

Nasoma comments.
Naomba nikusaidie mkuu
Una chombo chochote cha usafiri hapo home
 
Screenshot_20250221-124946~2.jpg
 
una matatizo ya problem

uzi wangu mmoja hauna uhusiano wowote na uzi wangu mwingine. Umenielewa
 
Back
Top Bottom