Mke wangu ananinyima unyumba, ni mwaka wa 2 sasa nifanyaje?

Mke wangu ananinyima unyumba, ni mwaka wa 2 sasa nifanyaje?

una matatizo ya problem

Unafukua mkuu
 
Wakuu,
Nilioa na nina miaka 7 kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.

Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa, mara amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.

Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida, lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali.

Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba, ila ndiyo hivyo.

Wazazi wangu, viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale.

Nifanye nini wakuu, je niachane nae, nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?

Nasoma comments.
Mnyime na wewe.

Bora uendelee kunyimwa siku zote. Kwa akili unategemea atakupa, hujitambui
 
Shida ni kwamba wewe mwenye umekosa maamuzi,, huyo Kuna muhuni anapiga sasa kwako anaona michosho chakufanya tafuta manzi mwingine hrf hamia huko huko hapo unakuwa unatoa huduma za msingi tuuu ili watoto wasiteteleke, hakikisha unapotea kwenye macho yake wala usitumie nguvu nyingi potea uwe unatoa matumizi tuuuu na kujipangia siku maalum kwaajir ya kuwaona watoto huyo mwanamke hakutaki penzi limeisha Isha,, sasa ili kumuonyesha kwamba wew ni mwanaume muachie nyumba tembea!
 
Mkuu waza na upande chanya .

Pengine wife wako amechepuka na mtu mwenye Ukimwi . Sasa akajua unakuta hawezi kukwambia na hatakai nawewe uumie .
 
Wakuu,
Nilioa na nina miaka 7 kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.

Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa, mara amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.

Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida, lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali.

Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba, ila ndiyo hivyo.

Wazazi wangu, viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale.

Nifanye nini wakuu, je niachane nae, nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?

Nasoma comments.
Hisia na wewe zimeisha 😅😅😅 Jaribu kuji update
 
Wakuu,
Nilioa na nina miaka 7 kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.

Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa, mara amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.

Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida, lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali.

Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba, ila ndiyo hivyo.

Wazazi wangu, viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale.

Nifanye nini wakuu, je niachane nae, nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?

Nasoma comments.
Inabidi upewe taji
 
una matatizo ya problem

Shida ilianzia hapa
 
Wakuu,
Nilioa na nina miaka 7 kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.

Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa, mara amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.

Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida, lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali.

Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba, ila ndiyo hivyo.

Wazazi wangu, viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale.

Nifanye nini wakuu, je niachane nae, nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?

Nasoma comments.
Wanawake wana siri nyingi. Unaweza kukuta amekanyaga mawaya anakuokoa using'ang'anie. FIKIRIA ZAIDI. KAMA HAJAKUDAI ZAIDI NA MnAISHI WOTE NENDA UKAPIME KAMA UKO SALAMA. MKWEPE. HUKO KWINGINE HAKIKISHA KINGA MUHIMU.
 
Wakuu,
Nilioa na nina miaka 7 kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.

Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa, mara amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.

Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida, lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali.

Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba, ila ndiyo hivyo.

Wazazi wangu, viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale.

Nifanye nini wakuu, je niachane nae, nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?

Nasoma comments.
Mkuu naaona unataka kucheka kupitia comments Za wadau.

Kwanini upate tabu wakati sinza kitambaa cheupe sio Mbali.
 
Back
Top Bottom