Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Hehehe!!!Mkuu kwani unalipwa kuanzisha thread kila siku hapa JF.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehe!!!Mkuu kwani unalipwa kuanzisha thread kila siku hapa JF.
Hilo linafahamika ila acha tujiburudishechai
Kiufupi huyo ni content creatorHivyo unafurahisha genge si uhalisia
Kiufupi punguza chaiumepitia nyuzi zangu zipi?.ziambatanishe hapa.
For sureMimi naona hayupo serious mkuu jaribu kufatilia thread zake utanielewa
HeheheKweli huyu jamaa ni muongo nimepitia uzi zake ya nyuma
HeheheKiufupi punguza chai
Ni vigumu kutoa ushauri bila kusikiliza upande wa pili, I.e ku balance story, ili kujua chanzo cha huo mgogoroWakuu,
Nilioa na nina miaka 7 kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.
Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa, mara amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.
Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida, lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali.
Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba, ila ndiyo hivyo.
Wazazi wangu, viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale.
Nifanye nini wakuu, je niachane nae, nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?
Nasoma comments.
Hii ngonjera tupu.Wakuu,
Nilioa na nina miaka 7 kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.
Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa, mara amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.
Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida, lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali.
Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba, ila ndiyo hivyo.
Wazazi wangu, viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale.
Nifanye nini wakuu, je niachane nae, nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?
Nasoma comments.
Pole sana. Nadhani kuna tatizo analo anaogopa kukushirikisha.kama si hivyo basi amevamiwa na jini mahaba.hilo sasa ni suala la koroho kabisa.Inawezekana akikushirikisha tatizo lake ndoa inaweza kufia hapoWakuu,
Nilioa na nina miaka 7 kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.
Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa, mara amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.
Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida, lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali.
Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba, ila ndiyo hivyo.
Wazazi wangu, viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale.
Nifanye nini wakuu, je niachane nae, nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?
Nasoma comments.
Wanawake wengine? wamefwarikiWakuu,
Nilioa na nina miaka 7 kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.
Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa, mara amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.
Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida, lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali.
Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba, ila ndiyo hivyo.
Wazazi wangu, viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale.
Nifanye nini wakuu, je niachane nae, nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?
Nasoma comments.