Mke wangu ananinyima unyumba, ni mwaka wa 2 sasa nifanyaje?

Mke wangu ananinyima unyumba, ni mwaka wa 2 sasa nifanyaje?

Wakuu
Nilioa na nina miaka 7kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.

Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa,mala amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.

Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida,lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali

Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba,ila ndiyo hivyo.

Wazazi wangu,viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale,

Nifanye nini wakuu, je niachane nae,nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?

Nasoma comments.
1.Mwambie atoe vizibiti mimba.
2. Tafuta hela. Atakupa usiku na mchana
 
Wakuu
Nilioa na nina miaka 7kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.

Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa,mala amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.

Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida,lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali

Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba,ila ndiyo hivyo.

Wazazi wangu,viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale,

Nifanye nini wakuu, je niachane nae,nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?

Nasoma comments.
Omba ukiwanja sasa.
 
nawe kamuulize daktari kwamwanamke ambaye miaka miwili hajapelekewa kijinga ....ukewake unakuwaje wewe endelea kuhesabu tu
 
Wakuu
Nilioa na nina miaka 7kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.

Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa,mala amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.

Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida,lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali

Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba,ila ndiyo hivyo.

Wazazi wangu,viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale,

Nifanye nini wakuu, je niachane nae,nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?

Nasoma comments.
Ongeza mke wa pili
 
Wakuu,
Nilioa na nina miaka 7 kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.

Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa, mara amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.

Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida, lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali.

Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba, ila ndiyo hivyo.

Wazazi wangu, viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale.

Nifanye nini wakuu, je niachane nae, nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?

Nasoma comments.
Mpe promosheni awe mke mkubwa.
 
Back
Top Bottom