Unafukua mkuuuna matatizo ya problem
Nimeoa Bibi wa miaka 60 mimi ni under 30. Je, ni sahihi?
Wakuu Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu Maswala ya kitandani hata binti wa under 20 akasome,kiuno kinazungushwa kama feni. Baada ya wenge la mapenzi kuisha,nimejikuta natafakari kuwa,kuwa na...www.jamiiforums.com
Mnyime na wewe.Wakuu,
Nilioa na nina miaka 7 kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.
Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa, mara amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.
Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida, lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali.
Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba, ila ndiyo hivyo.
Wazazi wangu, viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale.
Nifanye nini wakuu, je niachane nae, nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?
Nasoma comments.
Hisia na wewe zimeisha 😅😅😅 Jaribu kuji updateWakuu,
Nilioa na nina miaka 7 kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.
Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa, mara amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.
Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida, lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali.
Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba, ila ndiyo hivyo.
Wazazi wangu, viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale.
Nifanye nini wakuu, je niachane nae, nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?
Nasoma comments.
Inabidi upewe tajiWakuu,
Nilioa na nina miaka 7 kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.
Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa, mara amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.
Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida, lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali.
Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba, ila ndiyo hivyo.
Wazazi wangu, viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale.
Nifanye nini wakuu, je niachane nae, nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?
Nasoma comments.
Shida ilianzia hapauna matatizo ya problem
Nimeoa Bibi wa miaka 60 mimi ni under 30. Je, ni sahihi?
Wakuu Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu Maswala ya kitandani hata binti wa under 20 akasome,kiuno kinazungushwa kama feni. Baada ya wenge la mapenzi kuisha,nimejikuta natafakari kuwa,kuwa na...www.jamiiforums.com
Wanawake wana siri nyingi. Unaweza kukuta amekanyaga mawaya anakuokoa using'ang'anie. FIKIRIA ZAIDI. KAMA HAJAKUDAI ZAIDI NA MnAISHI WOTE NENDA UKAPIME KAMA UKO SALAMA. MKWEPE. HUKO KWINGINE HAKIKISHA KINGA MUHIMU.Wakuu,
Nilioa na nina miaka 7 kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.
Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa, mara amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.
Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida, lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali.
Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba, ila ndiyo hivyo.
Wazazi wangu, viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale.
Nifanye nini wakuu, je niachane nae, nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?
Nasoma comments.
jibu swalisoma kwa uangalifu na umakini mkubwa, utagundua kuwa niliandika "mwanzo hali hiyo ilinisumbua,ila nilipoanza kuchepuka nikaona kawaida."
Ndilo jukumu letuUnafukua mkuu
Kwenye Jambo la mtu ambalo ni serious issue si vizuri kuingia utaniKamuulize bwana chatGPT akupe ushauri
Mkuu naaona unataka kucheka kupitia comments Za wadau.Wakuu,
Nilioa na nina miaka 7 kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili.
Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa, mara amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa.
Hali hii ilinitesa sana siku za mwanzo lakini baada ya kuanza kuchepuka nikawa naona kawaida, lakini kila nikimuomba hadi wa leo hakubali.
Hakuna mgogoro au shida yeyote iliyosababisha mke wangu aache kunipa unyumba, ila ndiyo hivyo.
Wazazi wangu, viongozi wa serikali na wa kidini wameshauri mno ila hali iko palepale.
Nifanye nini wakuu, je niachane nae, nikaripoti katika dawati la jinsia kuwa nafanyiwa ukatili au nifanyaje?
Nasoma comments.
Mimi naona hayupo serious mkuu jaribu kufatilia thread zake utanielewaKwenye Jambo la mtu ambalo ni serious issue si vizuri kuingia utani
Hehehe!!!Kamuulize bwana chatGPT akupe ushauri
Hehehe!!!Hujaoa ACHA kutufanya wajinga wote humu
Ukiona uwezi andika UPUUZI huu miaka miwili Jf uje kukusaidia nn KWENYE ndoa
Kweli huyu jamaa ni muongo nimepitia uzi zake ya nyumaMimi naona hayupo serious mkuu jaribu kufatilia thread zake utanielewa