Mke wangu ananinyima unyumba, ni mwaka wa 2 sasa nifanyaje?

Ni vigumu kutoa ushauri bila kusikiliza upande wa pili, I.e ku balance story, ili kujua chanzo cha huo mgogoro
 
Your browser is not able to display this video.
 

Attachments

  • 17417168260570.mp4
    1.7 MB
Mwambie aachane na hizo family planning, zinakata sana stimu kwa wanawake
 
Hii ngonjera tupu.

Lambda kama uko single ndio utaielewa.
 
Pole sana. Nadhani kuna tatizo analo anaogopa kukushirikisha.kama si hivyo basi amevamiwa na jini mahaba.hilo sasa ni suala la koroho kabisa.Inawezekana akikushirikisha tatizo lake ndoa inaweza kufia hapo
 
Wanawake wengine? wamefwariki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…