Mke wangu ananinyima uroda! Nifanyeje?

Mke wangu ananinyima uroda! Nifanyeje?

we tafuta pa kupoozea kiu,mkikutana kitandani hamna kusumbuana,wala hata usimwombe unyumba,akiona mwezi mzima hasumbuliwi atajistukia
 
hilo ndo taizo la chama kimoja.jitahidi kuanzisha demoklasia ya mapenzi.kwake huzungushi,yaani kakuweka kiganjani ndo maana anatingisha kiberiti.wanawake ni wengi kuliko wanaume so nashangaa kinachokuumiza kichwa.lakini uwe mwangalifu sana na usiniige mimi coz UKIMWI unaua.
halafu uwe unapiga hodi kabla ya yote.
 
Imenukuliwa kutoka katika utafiti wa 'saidia jamii'....
*****************************************************************

Mimi na mke wangu tumekuwa katika ndoa yapata miaka mi 3 sasa! Hali ilikuwa ni nzuri kwani tulikiuwa tunakula tunda kila siku angalau asubuhi kamoja na jioni kabla ya kulala kamoja!

Siku hizi hali imebadilika kwani hataki tena na huwa naboreka sana pale anaponijibu eti "nasikia usingizi, tutafanya asubuhi (lakini asubuhi ikifika oooh ngoja nifanye usafi, mara kwanza watoto niwaandalie chai) mpaka siku inapita! Mara ooh nimechoka, sina hamu, sijisikii kufanya, wewe unataka kila siku, kwani umesikia hii ni pipi? etc"...

Roho inaniuma sana mpaka nimeamua kumwangalia tu kwani najua nikimuomba tunda la roho nitapewa majibu na sababu hizo hapo juu na mwisho wake tuanze kugombana bure...

Mimi sasa hivi 'feelings' zinanisumbua sana na sijawahi kutembea nnje ya ndoa ila kwa tabia yake hiyo nashawishika kwenda nnje kitu ambacho nadhani sio kizuri!

Je, bora tuendelee kuishi kama kaka na dada? au nitafute 'kajumba' kadogo huko nnje niwe napunguza taratibu?

Je, nikitoka nnje ya ndoa nitakuwa nimemkosea mke wangu? Nifanyeje ili niweze kumshawishi mwandani wangu ili tuwe tunakula tunda kama zamani?


@Mchango wako unahitajika (true story)!

Si bure kama atakuwa na ugonjwa wa zinaa basi atakuwa ametingwa na mtu. Find out.
 
Imenukuliwa kutoka katika utafiti wa 'saidia jamii'....
*****************************************************************

Mim
"nasikia usingizi, tutafanya asubuhi (lakini asubuhi ikifika oooh ngoja nifanye usafi, mara kwanza watoto niwaandalie chai) mpaka siku inapita! Mara ooh nimechoka, sina hamu, sijisikii kufanya, wewe unataka kila siku, kwani umesikia hii ni pipi? etc"...



Swali moja kabla sijachangia mna watoto wangapi?
 
Yazekana kuna hali ambayo mkeo haipendi kwako. 1. Yazekana hujifanyii usafi kama vile usafi wa kinywa. 2. Kutokwa na jasho lenye harufu mbaya wakati wa majambozi. 3. Kutokunyoa sehemu za siri pamoja na ndevu. 4. Kutomfikisha mkeo kileleni. 5. Kutokumletea mkeo zawadi kama Chupi, sindiria na skintait. Ukitekeleza haya mambo hakika majibu utayapata mkuu.
 
mnavyopenda kushabikia uasherati!hebu muacheni afb wangu,siku hizi nampa haya yalikuwa ya 2011,saa hizi tuna kasi zaidi, ari zaidi ila nguvu ndo ya zamani!
we tafuta pa kupoozea kiu,mkikutana kitandani hamna kusumbuana,wala hata usimwombe unyumba,akiona mwezi mzima hasumbuliwi atajistukia
 
Kama anageuka geuka ina maana anayoandika hapa ni uongo mtupu, hakuna haja ya kumpa ushauri, wastage of time!!!!!
 
Hayo ni matatizo yanayozikumba ndoa nyingi,kaa nae chini umwambie ukweli kwa upole,asipokuelewa au kusema ukweli kinachomsumbua fanya maamuzi ya busara broda!
 
Back
Top Bottom