Mke wangu ananipiga makofi kila ninapochelewa kurudi nyumbani, nifanyaje jamani nimechoka!

Mke wangu ananipiga makofi kila ninapochelewa kurudi nyumbani, nifanyaje jamani nimechoka!

Nani alikutuma uoe mwanamke anayekuzidi nguvu.ushauri wangu tafuta tu gym ya ngumi ukajifue,au dojo lililokaribu nawe
 
mijanaume ya hapa Dar inatudhalilisha sana wanaume
 
Ww unajitetea tu si useme ukitoka unapitia bar na kwa machangudoa tu....huyo mkeo aongeze jitihada akutandike has a hadi unyooke
Muongo huyo atakuwa anapitia kwa michepuko, sizani kama mke n i kichaa mme yupo kazini akirudi mlapue hivi hivi anajitetea tu ngoja ale tu vibanzi mpaka akili imkae sawa
 
Muongo huyo atakuwa anapitia kwa michepuko, sizani kama mke n i kichaa mme yupo kazini akirudi mlapue hivi hivi anajitetea tu ngoja ale tu vibanzi mpaka akili imkae sawa
Umeona eeeh kwakweli achezee tu vitasa
 
Rudi mapema ukiwa umebeba kitenge na biskuti za watoto ili awe na sababu ya kukupokea badala ya kukubutua.
 
Mimi ni mwanaume niliejaaliwa kuwa na watoto wawili wakike na wa kiume na mke wangu nimemuoa miaka kumi iliyopita huko mkoani iringa, shughuli zangu ni fundi seremala katika hizi kampuni za ujenzi za kichina zilizotapakaa hapa jijini dar ambazo tunajenga nyumba mbalimbali za miradi ya jamii.

Sasa mara nyingi pesa huwa tunalipwa kwa kila wiki, sasa hapa kati huwa napigika sana yaani nakuwa sina pesa hivyo ni lazima nijiongeze kwa kufanya kazi za ziada pindi ninapotoka kazini ile saa kumi, sasa najikuta nakuwa huko mitaani mpaka saa mbili au saa tatu usiku ndipo namaliza kazi zangu za ziada na kupata pesa then naelekea home.

Lakini ninapofika nyumbani nakumgongea mke wangu anifungulie mlango nikiingia ndani tu maneno yanaanza, nikimjibu kuwa nilipitia sehemu kufanya kazi maana nimerudi kazini nikiwa sina pesa naambulia vibao usoni napigwa mpaka nalia ndugu zangu huku nikiambiwa na mke wangu...usinijibu mimi nakwambia...roho inaniuma sana ndugu zangu naomba mnishauri nifanye nini ili kuepukana na vipigo hivi mimi jamani?.
Tafuta kazi nyengine unayosema unafanya sio Seremala fundi seremala nawajua vizuri kama atampiga kibao mwanamke lazima azimie tena kesi ya seremala kupigana kawaida tu ni sawa ya mcheza karati kupigana na raiya wa kawaida ni kosa kubwa nafahamu sulubu za seremala Leo unapigwa hadi unalia ww labda FUNDI Suruali ww
 
Jikaze na wee nae eboo!!

Mungu jaalia mimi katika kizazi changu nisipate mzembe kama huyu maana hii kwangu ni murder case, unakuja kwangu unashitaki mkeo anakupiga, nakutwanga risasi za bega na pumbu mie nijue moja tuu
 
Wanaume wamezidi sana wanawafanyia wake zao sio kabisa hata umfanyie nini lakini bado unaonekana mke hufai acha apigwe tu mpaka akili imkae vizuri
Naunga hoja mikono my dear achezee natamaninungekuwa na nguvu ningekuwa sitaki mchezo kabisa
 
ulioa au uliolewa?
Mimi ni mwanaume niliejaaliwa kuwa na watoto wawili wakike na wa kiume na mke wangu nimemuoa miaka kumi iliyopita huko mkoani iringa, shughuli zangu ni fundi seremala katika hizi kampuni za ujenzi za kichina zilizotapakaa hapa jijini dar ambazo tunajenga nyumba mbalimbali za miradi ya jamii.

Sasa mara nyingi pesa huwa tunalipwa kwa kila wiki, sasa hapa kati huwa napigika sana yaani nakuwa sina pesa hivyo ni lazima nijiongeze kwa kufanya kazi za ziada pindi ninapotoka kazini ile saa kumi, sasa najikuta nakuwa huko mitaani mpaka saa mbili au saa tatu usiku ndipo namaliza kazi zangu za ziada na kupata pesa then naelekea home.

Lakini ninapofika nyumbani nakumgongea mke wangu anifungulie mlango nikiingia ndani tu maneno yanaanza, nikimjibu kuwa nilipitia sehemu kufanya kazi maana nimerudi kazini nikiwa sina pesa naambulia vibao usoni napigwa mpaka nalia ndugu zangu huku nikiambiwa na mke wangu...usinijibu mimi nakwambia...roho inaniuma sana ndugu zangu naomba mnishauri nifanye nini ili kuepukana na vipigo hivi mimi jamani?.
 
Mimi ni mwanaume niliejaaliwa kuwa na watoto wawili wakike na wa kiume na mke wangu nimemuoa miaka kumi iliyopita huko mkoani iringa, shughuli zangu ni fundi seremala katika hizi kampuni za ujenzi za kichina zilizotapakaa hapa jijini dar ambazo tunajenga nyumba mbalimbali za miradi ya jamii.

Sasa mara nyingi pesa huwa tunalipwa kwa kila wiki, sasa hapa kati huwa napigika sana yaani nakuwa sina pesa hivyo ni lazima nijiongeze kwa kufanya kazi za ziada pindi ninapotoka kazini ile saa kumi, sasa najikuta nakuwa huko mitaani mpaka saa mbili au saa tatu usiku ndipo namaliza kazi zangu za ziada na kupata pesa then naelekea home.

Lakini ninapofika nyumbani nakumgongea mke wangu anifungulie mlango nikiingia ndani tu maneno yanaanza, nikimjibu kuwa nilipitia sehemu kufanya kazi maana nimerudi kazini nikiwa sina pesa naambulia vibao usoni napigwa mpaka nalia ndugu zangu huku nikiambiwa na mke wangu...usinijibu mimi nakwambia...roho inaniuma sana ndugu zangu naomba mnishauri nifanye nini ili kuepukana na vipigo hivi mimi jamani?.
UKIPATA KAZI YA ZIADA MWITE AJE AKUSAIDIE ILI MMALIZE MAPEMA. NINA UHAKIKA HATARUDIA TENA WALA HATAKUJA KUKUSAIDA MARA YA PILI AU YA TATU.
 
Utakuwa umeolewa bcoz Inaonekana kiuchumi upo chini na hapo kazini ni kwa huyo unayemuita mkeo. Mwanaume ukipenda mteremko jiandae kupokea vitasa. Katubu ili upate mke badala ya Mume
 
Kaka unadhalikisha wanaume wenzio. Mke wako anakupigaje makofi? Tena umetoka kutafuta kwa shidah namna hiyo
 
Back
Top Bottom