Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmmh my dear isije ikanitanduka mwenyewe hiyo fimbo maana hiyo inatakaga wenyewe mabavu yaoTena sana unakata kabisa fimbo unahifadhi ndani
[emoji28] [emoji28] [emoji28] jamani hapana kuweka sehemu yakuonekana unaificha huko wakati anakula mabanzi ndiyo unaitoa baada hapo unaihamishia sehemu nyingine[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mmmh my dear isije ikanitanduka mwenyewe hiyo fimbo maana hiyo inatakaga wenyewe mabavu yao
Wanaisha kweli [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Duh! Kizazi cha wanaume kinaisha siku hadi siku
Huyo atakuwa kuna sehemu anaingia kulelewa tena mtaa wa 2 tu kutoka kwakeKampuni za kichina zilizotapakaa dar.....wanaume wa dar bwana ..sasa fundi ujenzi umeshindwa hata Kofi msawazo moja ....mashikolo mageni
Umeguswa mibanzi hasa ikukolee utakumbuka hata ulifichia wapi.[emoji28] [emoji28] [emoji28] jamani hapana kuweka sehemu yakuonekana unaificha huko wakati anakula mabanzi ndiyo unaitoa baada hapo unaihamishia sehemu nyingine[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] si unaona kulikuwa baba mmoja tena police traffic boss nyumbani akimuuzi mkewe tena kuchepuka alikuwa anakula mkong'onto wanguvu halafu huku nje kujitutumua kama maandazi ya amira ndani emptyWeweeeee labda
Umeguswa mibanzi hasa ikukolee utakumbuka hata ulifichia wapi.
Ila mtaani hapa kuna mama anamtandika mumewe balaaa gani wakigombana mumewe anasimama nje mbali nje anamtupia maneno mkewe anasimama mlangoni anamfanyia ishara tu anamwita kwa mkono tu a namwambia njoo ndani weeee haendi ngo'ooo..kuna wanawake sio wakisport
kabisa mkuuNa siku zinavyozid kwenda ndio atazidi kudharaulika.