Mke wangu ananipiga makofi kila ninapochelewa kurudi nyumbani, nifanyaje jamani nimechoka!

Mke wangu ananipiga makofi kila ninapochelewa kurudi nyumbani, nifanyaje jamani nimechoka!

Make suure unarudi na chochote.unachelewa halafu hela huna wala kimfuko cha nusu kuku huna unategemea nn,si ungewahi kurudi tu
 
duh mzee mke km uyo anaekupga mpk unalia wkt wa kugegedana unackia radha kweli??
 
Kampuni za kichina zilizotapakaa dar.....wanaume wa dar bwana ..sasa fundi ujenzi umeshindwa hata Kofi msawazo moja ....mashikolo mageni
 
Mtoa mada muongo tu ww sasa umekuja jf kuomba msaada gani?wakutopigwa au kuja kukuamilia?it doesnt make sense...ukinmbia mkeo anakufokea naweza kukuelewa lakn sio kupigwa eti ulie fala nini wewe...kama vipi ukae ndani uwe mke ye awe mume...mbwiga wewe...
 
Uwe unawahi kurudi nyumbani , anakupiga anajua anakufunza sio anakudharau. Halafu acha ujinga tafuta hela mtoe out uone kama atakupiga siku hiyo
 
mmmh my dear isije ikanitanduka mwenyewe hiyo fimbo maana hiyo inatakaga wenyewe mabavu yao
[emoji28] [emoji28] [emoji28] jamani hapana kuweka sehemu yakuonekana unaificha huko wakati anakula mabanzi ndiyo unaitoa baada hapo unaihamishia sehemu nyingine[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kampuni za kichina zilizotapakaa dar.....wanaume wa dar bwana ..sasa fundi ujenzi umeshindwa hata Kofi msawazo moja ....mashikolo mageni
Huyo atakuwa kuna sehemu anaingia kulelewa tena mtaa wa 2 tu kutoka kwake
 
Weweeeee labda
[emoji28] [emoji28] [emoji28] jamani hapana kuweka sehemu yakuonekana unaificha huko wakati anakula mabanzi ndiyo unaitoa baada hapo unaihamishia sehemu nyingine[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umeguswa mibanzi hasa ikukolee utakumbuka hata ulifichia wapi.

Ila mtaani hapa kuna mama anamtandika mumewe balaaa gani wakigombana mumewe anasimama nje mbali nje anamtupia maneno mkewe anasimama mlangoni anamfanyia ishara tu anamwita kwa mkono tu a namwambia njoo ndani weeee haendi ngo'ooo..kuna wanawake sio wakisport
 
Mwambie abadili utaratibu wa makofi,anze kukuchapa viboko viwili unaporejea na asubuhi viwili unapoondoka.
 
Weweeeee labda

Umeguswa mibanzi hasa ikukolee utakumbuka hata ulifichia wapi.

Ila mtaani hapa kuna mama anamtandika mumewe balaaa gani wakigombana mumewe anasimama nje mbali nje anamtupia maneno mkewe anasimama mlangoni anamfanyia ishara tu anamwita kwa mkono tu a namwambia njoo ndani weeee haendi ngo'ooo..kuna wanawake sio wakisport
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] si unaona kulikuwa baba mmoja tena police traffic boss nyumbani akimuuzi mkewe tena kuchepuka alikuwa anakula mkong'onto wanguvu halafu huku nje kujitutumua kama maandazi ya amira ndani empty
 
Back
Top Bottom